Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Songea road
IMG_20220318_175653.jpg
 
Mama samia jana alimwambia mkuu wa mkoa mpya wa njombe aende akapambane na utapiamlo kwenye huo mkoa kwani unaongoza Tanzania nzima ingawa wanalima mazao ya chakula.
Tatizo liko Wilaya za makete na Ludewa na sababu zipo hasa hasa ilikuwa ni miundombinu duninya barabara kutawanya vyakula vinavyotoka Wilaya nyingine.
 
Njombe bado pako nyuma..... Njombe saa mbili usiku watu mjini hakuna wameenda kulala...Kahama hakuna kulala mpaka asubuhi

Mimi huwa nashangaa sana, kufananisha mizania ya mji na uchangamfu wa vurugu za usiku, wenyewe wanasema mji umechangamka, ikiwa kuna mji hauna hulka ya vilabu vya pombe na Bar kubwa kubwa basi huitwa huo mji haujachangamka! Lakini kila watu na taratibu walizojiwekea
 
Mimi huwa nashangaa sana, kufananisha mizania ya mji na uchangamfu wa vurugu za usiku, wenyewe wanasema mji umechangamka, ikiwa kuna mji hauna hulka ya vilabu vya pombe na Bar kubwa kubwa basi huitwa huo mji haujachangamka! Lakini kila watu na taratibu walizojiwekea
Mji ni lazima uwe na purukushani nyingi..ndio unanoga..sasa mji gani sa2 watu wamelala..manake hapo hakuna harakati za pesa ni kijijini tu.

Karibu kahama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mimi huwa nashangaa sana, kufananisha mizania ya mji na uchangamfu wa vurugu za usiku, wenyewe wanasema mji umechangamka, ikiwa kuna mji hauna hulka ya vilabu vya pombe na Bar kubwa kubwa basi huitwa huo mji haujachangamka! Lakini kila watu na taratibu walizojiwekea
Huo huwa ni ulimbukeni fulani hivi, yaani wanadhani kila Mji utakuwa vibanda vya pombe na kujaa wachuuzi.

Miji yote ya wastaarabu haina huo upuuzi,miji ilinganishwe kwa vigezo vya msingi sio upuuzi wa sijui kuchangamkia and such nonsense.
 
Back
Top Bottom