Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Screenshot_20211230-220646.png
 
Makambako iyoo miji mingi nchini inakua kwa Kasi kila mjii unamabadilikoo kwamfanoo makambako imebadilika Sanaa na sensa ya mwaka huuu wakiipa hadhi ya wilaya makambako itayapita baazi ya makao makuu ya mkoaa na viwanda vinavyojengwa vikikamilikaa population itaongezekaa na maendeleoo yataonekanaa tuuuu ka ilivyo kwa kahama idadi ya watu inachangia Sana ukuaji wa mjii
 
Nimetoka kuishi njombe kwasasa nipo kahama, kwasasa kahama IPO juu Sana kimaendeleo, ukubwa na hata idadi ya watu bdo kahama IPO juu
Njombe battle zake labd Ni makambako, mpanda, Lindi ila kwa kahama hapana asee
Kuna tofauti ya uzuri wa mji,maendeleo na idadi ya watu.Kahama ni disorganised town wakati Njombe ni modern na organised town.Je hilo umeonaje?
 
Makampuni tayari yameanza kuwekeza viwanda vya bidhaa za chuma makambako na hii ni kutokana uwepo wa chuma mchuchuma ludewa na hichi Ni moja ya ya kiwanda Cha bidhaa za chuma Kama misumari ,nondo nk
IMG_20220212_175521.jpg
 
Kuna tofauti ya uzuri wa mji,maendeleo na idadi ya watu.Kahama ni disorganised town wakati Njombe ni modern na organised town.Je hilo umeonaje?
Uwe unasoma comments vizuri, kasema Kahama inaizidi Njombe kwa MAENDELEO, Ukubwa na IDADI ya watu. (Development+Population). Sasa we Kalia modernisation na watu hawataki kuishi hapo kwenye modernisation. Kahama kila siku inapokea wageni kutoka kila kona ya Tanzania na wengine wametoka huko huko Njombe na wamethibisha hapa hapa Kahama ni Mwalimu kwa Njombe.

Kama hamkumuelewa Mnjombe mwenzenu wacha nimquote hapa chini "Njombe battle zake labd Ni makambako, mpanda, Lindi ila kwa kahama hapana asee"
 
Karibuni kwenye mada.

Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.

Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Mkuu Njombe ni Mkoa,,

Mafinga ni wilaya ndini ya mkoa wa Iringa.

Ila yote na yote kwa kilimo hauko ni noma hasa miti,mahindi,ulezi,viazi,parachichi nk
 
Back
Top Bottom