Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

View attachment 2157695View attachment 2157697View attachment 2157698
Project za barabara za lami zinaendelea kushika kasi kwenye mitaa mbalimbali ya makambako

Hizo nyumba za makazi ni kawaida sana, kwa sasa miji mingi iko na makazi mazuri. Nikichukulia ukanda huo Ilula na Mtua, Ifunda, Tosa, Mbalamaziwa, Tanangozi, Nyororo, Igawa, Chimala, Igurusi nk kote huko kumejengwa nyumba nzuri tu, kinachoweza kutofautisha ni labda ukubwa wa jiografia tu ya mji, kwa hiyo sioni kama kuna cha ajabu( nimetolea mifano ya ukanda huo tu kwa ajili ya Rejea@ Mdatchu)
 
Avocado mojor producing Regions is Njombe👇

Screenshot_20220215-224258.png
 
Hizo nyumba za makazi ni kawaida sana, kwa sasa miji mingi iko na makazi mazuri. Nikichukulia ukanda huo Ilula na Mtua, Ifunda, Tosa, Mbalamaziwa, Tanangozi, Nyororo, Igawa, Chimala, Igurusi nk kote huko kumejengwa nyumba nzuri tu, kinachoweza kutofautisha ni labda ukubwa wa jiografia tu ya mji, kwa hiyo sioni kama kuna cha ajabu( nimetolea mifano ya ukanda huo tu kwa ajili ya Rejea@ Mdatchu)
Town Ni town tu miundo mbinu ya barabara Ina matter Sana wacha project ziendelee tutaelewana tu
IMG_20220121_174445.jpg
IMG_20220305_141032.jpg
IMG_20220213_121913~3.jpg
IMG_20220116_092653~3.jpg
 
Hiyo Ni hali ya kawaida ukiona mji wako hauna vitendo hivyo ujue mji huo umelala sana
Hiyo hapana wizi ni ishara ya akili zilizolala japo hakuna mji Tanzania usio na vijana wenye za tabia.In short Africa nzima ina vibaka japo ni aibu
 
Mji ni lazima uwe na purukushani nyingi..ndio unanoga..sasa mji gani sa2 watu wamelala..manake hapo hakuna harakati za pesa ni kijijini tu.

Karibu kahama.

#MaendeleoHayanaChama
Moshi ni mji ambao ilifika hiyo mida ya saa mbili kuna kuwa kutulivu sana kutokana hali ya ubaridi vipi nao umezidiwa na kahama? Moja ya sababu ambayo kweli hata Mimi wa Njombe ningependa kuiweka wazi ni ugiza wa Njombe,yes kuna taa za barabarani lakini zile taa ni substandard na hazikuwekwa na watu makini hazina mwanga wa kutosha wakati kuna taa LED za solar zilo vizri in the same Solar Capacity.
 
Back
Top Bottom