Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,325
- 62,205
Unaweza ukawa mke wangu pia maana una maneno ya kikeMkeo ndio dogo.Nani ambae hajaishi? Afu kama uliishi Njombe enzi hizo unajidanganya Rudi kaishi upya afu ulinganisho na huko uswahilini..
Nimekwambia nimeishi kote njombe na kahama ila kahama ipo vizuri zaid huo ni mtizamo wangu mimi sijakuzuia ww uwe na mtizamo wako tofauti Sasa taarabu za nini? We endelea kuamini unavyo amini ila watu walioishi hizo sehem kibiashara ukweli wanaujua

