Inawezekana kahama unaisoma kwenye mtandao huijui wilaya ya kahama ina migodi mikubwa miwili mgodi wa buzwagi na mgodi wa bulyankulu wilaya ya geita wana mgodi mkubwa mmoja unaitwa GGMZinatoka sehemu tofauti na Kahama,kuwa specific unazungumzia Mkoa au Kahama?
Geita Wana haki ya kulalamika sio Kahama.
Unarudia rudia picha hiyo hiyo katafute na zingine za aina hiyo, utapata tabu sana🤣🤣🤣Hayo hayo ndio yanawafanya muwe mkiani,hayo hayo ndio yanafanya watu wa Mbeya wawe juu kimapato huku nyie mkiishi kama nguruwe 👇
View attachment 1945133
View attachment 1945134
Hahahaha jiji linaenda kujifunza kwa mc.chamgaWanaenda kujifunza ili walibadili likijiji likuuubwa kuwa mji
we ushakuwa ndezi,sasa hao waislam unaosema wapo unawajua walipo au unaamua kubishana tu.Soma historia ndio ujue kwanini Njombe hakuna waumini wa kiislamu.Mkoa mzima wa Njombe hakuna waumini wa kiislam kufika hata 1000 na hiyo sio bahati mbaya ni historical background.Mtafute sheikh wa mkoa mwulize anawaamini wangapi.Angalau Iringa wako wengi lakini sio Njombe japo msikiti upo lakini watu hawaslim.Acha uongo. Waislamu wapo Sana tu sema hawana hela za kujenga misikiti mikubwa.
Kama miji yenu Ina wahindi na waarabu waislamu hawawezi kukosa
Waislamu wahaya wa bukoba Wana akili Sana na ninawakubali Wana shule zao Kama istaqaam,jamia,lake view,katoro Islamic nk
Na Wana misikiti mikubwa kuliko Zanzibar
Na Wana maendeleo ingawa ni wachache sana
kweli TZ bado sanaUpcoming bukoba shopping mall Uganda road bukobaView attachment 1944800View attachment 1944802View attachment 1944803
Bukoba na uislam wap na wap.we ushakuwa ndezi,sasa hao waislam unaosema wapo unawajua walipo au unaamua kubishana tu.Soma historia ndio ujue kwanini Njombe hakuna waumini wa kiislamu.Mkoa mzima wa Njombe hakuna waumini wa kiislam kufika hata 1000 na hiyo sio bahati mbaya ni historical background.Mtafute sheikh wa mkoa mwulize anawaamini wangapi.Angalau Iringa wako wengi lakini sio Njombe japo msikiti upo lakini watu hawaslim.
Hakuna demu wetu ni wewe 🏃🏃Hiv huko kusini Kuna mademu kweli?
We kweli kima,Mbeya ni kama Dar(kariakoo& posts),ina mwanjelwa na soko matolaMbona hayo magorofa yanahesabika halafu katikat ya mji kuna vinyumba vya udongo kama vyote, hayo maslum katikati ya jiji nayo ni sifa ya jiji
Nimecheka Sana 😆😆 Yaani hizi ndio barabara za Bukoba village town?Shore road bukoba from bukoba club to bukoba spice beachesView attachment 1944857View attachment 1944859View attachment 1944860View attachment 1944861
True City outside Dar ni Chuga ,sio ushago wa Mwanza.Mji wa Arusha ni mdogo Sana kulinganisha na mwanza.
Anyway naona umekimbilia Arusha.
Mimi bado Niko bukoba.
Kibira plaza and mall bukobaView attachment 1944838View attachment 1944839View attachment 1944840View attachment 1944841View attachment 1944842View attachment 1944843View attachment 1944845
Mnaacha kufanya vitu vya maana kama kujenga barabara kwenye hicho kijiji cha wavuvi eti mko busy na mall.Nyegera waitu plaza bukoba townView attachment 1945129View attachment 1945131View attachment 1945132
Kusini kumesahaulika 😄😁Tanesco HQ bukoba Tanzania under constructionView attachment 1945127View attachment 1945128
Ukipata Mji kama Iringa huko Nyumbu zone nitag 👇
Mnaacha kufanya vitu vya maana kama kujenga barabara kwenye hicho kijiji cha wavuvi eti mko busy na mall.
Siku tukitoa Takwimu mkiwa mnaongoza kwa umaskini msije kusema hatukuwaambia
Ujenzi wa barabara za lami ukiendelea Mjini Sumbawanga
View attachment 1946416
View attachment 1946417
View attachment 1946418
View attachment 1946419
View attachment 1946420
View attachment 1946421
View attachment 1946422
View attachment 1946423
View attachment 1946425

huko ndo wanajenga Leo?