Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Leo ni Mimi na plaza tu bukoba.


Rwabizi plaza bukoba
images%20(100).jpg
images%20-%202021-09-19T191222.820.jpg
EfyB0U5WAAA50gN.jpg
images%20(100).jpg
images%20-%202021-09-19T191456.657.jpg
 
Wale wazee wa honeymoon na vacation bukoba ipo kwa akili yako.


Balamaga bed and breakfast busimbe bukoba munispality
images%20-%202021-09-19T191850.154.jpg
images%20-%202021-09-19T191900.364.jpg
images%20-%202021-09-19T191906.805.jpg
images%20-%202021-09-19T191916.004.jpg
images%20-%202021-09-19T191952.888.jpg
images%20-%202021-09-19T191943.368.jpg
images%20-%202021-09-19T191932.871.jpg
images%20-%202021-09-19T192022.126.jpg
images%20-%202021-09-19T191932.871.jpg
photo0jpg.jpg
balamaga-b-b%20(1).jpg
balamaga-b-b%20(2).jpg
beautiful-garden.jpg
 
Zinatoka sehemu tofauti na Kahama,kuwa specific unazungumzia Mkoa au Kahama?

Geita Wana haki ya kulalamika sio Kahama.
Inawezekana kahama unaisoma kwenye mtandao huijui wilaya ya kahama ina migodi mikubwa miwili mgodi wa buzwagi na mgodi wa bulyankulu wilaya ya geita wana mgodi mkubwa mmoja unaitwa GGM
 
Acha uongo. Waislamu wapo Sana tu sema hawana hela za kujenga misikiti mikubwa.


Kama miji yenu Ina wahindi na waarabu waislamu hawawezi kukosa


Waislamu wahaya wa bukoba Wana akili Sana na ninawakubali Wana shule zao Kama istaqaam,jamia,lake view,katoro Islamic nk
Na Wana misikiti mikubwa kuliko Zanzibar
Na Wana maendeleo ingawa ni wachache sana
we ushakuwa ndezi,sasa hao waislam unaosema wapo unawajua walipo au unaamua kubishana tu.Soma historia ndio ujue kwanini Njombe hakuna waumini wa kiislamu.Mkoa mzima wa Njombe hakuna waumini wa kiislam kufika hata 1000 na hiyo sio bahati mbaya ni historical background.Mtafute sheikh wa mkoa mwulize anawaamini wangapi.Angalau Iringa wako wengi lakini sio Njombe japo msikiti upo lakini watu hawaslim.
 
we ushakuwa ndezi,sasa hao waislam unaosema wapo unawajua walipo au unaamua kubishana tu.Soma historia ndio ujue kwanini Njombe hakuna waumini wa kiislamu.Mkoa mzima wa Njombe hakuna waumini wa kiislam kufika hata 1000 na hiyo sio bahati mbaya ni historical background.Mtafute sheikh wa mkoa mwulize anawaamini wangapi.Angalau Iringa wako wengi lakini sio Njombe japo msikiti upo lakini watu hawaslim.
Bukoba na uislam wap na wap.

Waislamu ni wachache Tena zaidi kuliko huko njombe lakin wako wizuri kuzidi waislamu waliojazana huko pwani
 
Mnaacha kufanya vitu vya maana kama kujenga barabara kwenye hicho kijiji cha wavuvi eti mko busy na mall.

Siku tukitoa Takwimu mkiwa mnaongoza kwa umaskini msije kusema hatukuwaambia

Ujenzi wa barabara za lami ukiendelea Mjini Sumbawanga

View attachment 1946416

View attachment 1946417

View attachment 1946418

View attachment 1946419

View attachment 1946420

View attachment 1946421

View attachment 1946422

View attachment 1946423

View attachment 1946425
huko ndo wanajenga Leo?

Mambo ya barabara yalishapitwa na wakati mjini bukoba.
Vitu minor Sana.

Sasa wanarekebisha zile old roads bukoba sio kujenga barabara za lami



Anyway baadhi ya barabara mjini bukoba
dffgg.PNG
weee.PNG
v.PNG
ddddddddddd.PNG
ffff.PNG
cxxxx.PNG
vccc.PNG
 
Back
Top Bottom