instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
AiseeNarudia picha sio?
Swax kiboko ya Bukoba
View attachment 1948740
View attachment 1948741
View attachment 1948743
View attachment 1948744
View attachment 1948745
Sorry hapa ni mjini?


AiseeNarudia picha sio?
Swax kiboko ya Bukoba
View attachment 1948740
View attachment 1948741
View attachment 1948743
View attachment 1948744
View attachment 1948745


Maskini



Ndio hiyo ni side view ya Jengo la Mkuu wa Mkoa..😆😆😆😆
😆😆 Sasa hapo street lights ziko wapi? Hizo si ni taa za majumbani tuu..
Acha kuweweseka kama bao la kwanza,weka picha Wacha manenoAkili za makada wa CCM buana, huu upuuzi gani umepost we kada, bukoba ni zaidi ya lile likijiji likuuubwa + hiyo ufipa
Ndiyo wanalalamika kuwa taa zimeharibika sio kwamba hazipo.Sasa hapo street lights ziko wapi? Hizo si ni taa za majumbani tuu..
Afu juzi tuu hapo wakazi wa Bukoba walikuwa wanailalamikia Manispaa kwa kushindwa kuweka taa mitaani,kwamba ukifika usiku ni mtihani vibaka wanatawala.
Kweli mwenye nacho uongezewa .Ndio hiyo ni side view ya Jengo la Mkuu wa Mkoa..
Sasa unaweza Jenga ghorofa kama hilo kijijini?
Kwani hata maghorofa ya Njombe pembezoni mwa Mji si yako katikati ya uoto mkubwa wa miti kama hivyo? Nitatafuta picha ya upande wa mbele uone
Kweli mwenye nacho uongezewa .
Hospital mpya ya wilaya ya karagwe.
Kwa Sasa karagwe Ina hospital nneView attachment 1949182View attachment 1949183View attachment 1949184
Nothing sijui hata unaongea nininyie fresh from school hua mnasumbua sana
Acha upumbavu,vihospital uchwara kama hivyo vimejengwa kila Wilaya,Njombe District Hospital.👇Kweli mwenye nacho uongezewa .
Hospital mpya ya wilaya ya karagwe.
Kwa Sasa karagwe Ina hospital nneView attachment 1949182View attachment 1949183View attachment 1949184
Kumbe hamkuwa na hospital kabisaAcha upumbavu,vihospital uchwara kama hivyo vimejengwa kila Wilaya,Njombe District Hospital.
View attachment 1949211
View attachment 1949212
View attachment 1949213
Barabara ni kama hizi , Sumbawanga 👇Ndiyo wanalalamika kuwa taa zimeharibika sio kwamba hazipo.
Ukweli ni kwamba bukoba iko mbali Sana kimaendeleo huwezi linganisha na miji ya huko kusiniView attachment 1949177View attachment 1949179View attachment 1949180
Zilikuwepo hospital za mashirika ya dini ndio zilikuwa zinatumika kama hospital za Wilaya yaani DDH..Kumbe hamkuwa na hospital kabisa
Sasa hii si barabara kuu hii.
Ukisikia povu ujue dozi imekolea 💉💉Sasa hii si barabara kuu hii.
Huu ni ushamba au Nini???
Halafu huko ni pabaya Sana ,pakame , Kuna baridi ,vumbi na bado wachawi
Picha nishaweka lakin cha ajabu wewe badala ya kuweka picha unaweka uchafu wa kwenye mtaro wako wa huko nyumaAcha kuweweseka kama bao la kwanza,weka picha Wacha maneno
Picha ziko wapi? 😆😆 ..Picha nishaweka lakin cha ajabu wewe badala ya kuweka picha unaweka uchafu wa kwenye mtaro wako wa huko nyuma