Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kisiasa ni hivi 👇

View attachment 1944741
Halmashauri nyingi hasikusanyi mapato yanayostahili lkn kuna mzunguko mkubwa wa biashara pia kuna wakwepa kodi pia kuna ufisadi unaweza kutokea au muda mwingine ni amri tu kutoka juu ww kwa akili yako dodoma inaweza kukusanya kiasi hicho kwa miradi gani huko kwa fursa gani tumia akili usitumie viazi kufikiri.
 
Halmashauri nyingi hasikusanyi mapato yanayostahili lkn kuna mzunguko mkubwa wa biashara pia kuna wakwepa kodi pia kuna ufisadi unaweza kutokea au muda mwingine ni amri tu kutoka juu ww kwa akili yako dodoma inaweza kukusanya kiasi hicho kwa miradi gani huko kwa fursa gani tumia akili usitumie viazi kufikiri.
Mnakariri Sana ,shida ni Michembe..Kwa hiyo hicho kijiji chenu kinaweza kuizidi Dom kwa lipi labda?

Kwa hiyo haiwezi kukusanya so huo ni uongo au? Huna akili wewe ..

Mzunguko gani kwenye watu maskini hapo Mwanza? Wanakokusanya pesa nyingi ndiko kwenye mzunguko.
 
Onyesha barabara kama hizi hapo village town ya Bukoba na Uchwara City ya Mwanza.

Swax Baby

View attachment 1944702

View attachment 1944703

View attachment 1944704

View attachment 1944705

View attachment 1944706
Pamoja na kuwa bukoba Kuna wakristu wengi hasa wakatoliki.


Waislamu wa bukoba nao wako moto.
Cheki msikiti mpya uliojengwa mjini bukoba.


Kusini nzima niletee msikiti Kama huu
FB_IMG_16319831646248706.jpg
FB_IMG_16319832403555224.jpg
FB_IMG_16319831947164459.jpg
 
Mbeya yenyewe ilipewa adhi ya jiji kisiasa zaidi kuliko kiuhalisia, bukoba ipo juu sana kuliko hilo likijiji la wakulima et jiji la mbeya
Wambie wazunguke kusini nzima waonyeshe msikiti Kama huu mpya uliopo bukoba


Bukoba new mosque
FB_IMG_16319831646248706.jpg
FB_IMG_16319832403555224.jpg
Screenshot_20210716-062721.jpg
 
Ukisikia Jiji kwa Tzn nje ya Dar ni Arusha,sio uchafu huo mwingine wa huko Mwanza ..

Jiji linakuwa hivi sasa ,👇

2933852_IMG_2340.jpg


2933853_IMG_2338.jpg
 
Viongozi wapo Kanda ya ziwa

Ufunguzi wa kiwanda Cha kahawa wilayani ngara mkoani kagera
FB_IMG_16320567504373087.jpg
FB_IMG_16320567534946435.jpg
 
Mnakariri Sana ,shida ni Michembe..Kwa hiyo hicho kijiji chenu kinaweza kuizidi Dom kwa lipi labda?

Kwa hiyo haiwezi kukusanya so huo ni uongo au? Huna akili wewe ..

Mzunguko gani kwenye watu maskini hapo Mwanza? Wanakokusanya pesa nyingi ndiko kwenye mzunguko.
Populationa ndio inadetermine uchumi wa sehemu husika kuna nini dodoma nambie mbali na bunge na maofisi ya serikali kuna nini kwa wanachi wa hapo dodoma?
 
Back
Top Bottom