instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Hiv huko kusini Kuna mademu kweli?Watoto wakali wana vinyungu hatari
Hiv huko kusini Kuna mademu kweli?Watoto wakali wana vinyungu hatari
Mbona hayo magorofa yanahesabika halafu katikat ya mji kuna vinyumba vya udongo kama vyote, hayo maslum katikati ya jiji nayo ni sifa ya jijiUkisikia Jiji kwa Tzn nje ya Dar ni Arusha,sio uchafu huo mwingine wa huko Mwanza ..
Jiji linakuwa hivi sasa ,👇
View attachment 1944808
View attachment 1944809
Dom ina wakazi zaidi ya 600,000 tena wenye pesa tofauti na wakazi 1,200,000 wa Mwanza ambao robo tatu ni maskini..Populationa ndio inadetermine uchumi wa sehemu husika kuna nini dodoma nambie mbali na bunge na maofisi ya serikali kuna nini kwa wanachi wa hapo dodoma?
Kama yanahesabika tupe idadi yake basi..Hilo ndio Jiji sasa , skyline nzuri, mazingira mazuri na barabara nzuri sio uchafu wa Mwanza..Mbona hayo magorofa yanahesabika halafu katikat ya mji kuna vinyumba vya udongo kama vyote, hayo maslum katikati ya jiji nayo ni sifa ya jiji
Nipo huku aisee, kuna watoto wanamikono migumu kama huwa wanalima kwa mikono.Hiv huko kusini Kuna mademu kweli?
Southern Highland uislam upo kwa mbali sana mkuu.Kwa mkoa mzima wa Njombe waislam hawafiki 1000Wambie wazunguke kusini nzima waonyeshe msikiti Kama huu mpya uliopo bukoba
Bukoba new mosqueView attachment 1944771View attachment 1944772View attachment 1944773
Acha uongo. Waislamu wapo Sana tu sema hawana hela za kujenga misikiti mikubwa.Southern Highland uislam upo kwa mbali sana mkuu.Kwa mkoa mzima wa Njombe waislam hawafiki 1000
Wivu utakupeleka pabaya na chuki zako dhidi ya MWANZA ni sawa na kazi buree we endeleza chuki lakini hili jiji ndo linazidi kusonga na kuwa kitovu cha kibiashara kwa nchi za maziwa makuu na kuhaidi kuwa hakuna kama Mwanza nje ya Dar ata tukisimama kwa miaka 1000.Kama yanahesabika tupe idadi yake basi..Hilo ndio Jiji sasa , skyline nzuri, mazingira mazuri na barabara nzuri sio uchafu wa Mwanza..
Huwezi Kuta nalinganisha Mbeya na Arusha Wala Dom ,,hayo ni majiji yenye hadhi kuliko Uchwara City ya Mwanza
Wapi hapasongi? Ndio maana mko mkiani kwa MbeyaWivu utakupeleka pabaya na chuki zako dhidi ya MWANZA ni sawa na kazi buree we endeleza chuki lakini hili jiji ndo linazidi kusonga na kuwa kitovu cha kibiashara kwa nchi za maziwa makuu na kuhaidi kuwa hakuna kama Mwanza nje ya Dar ata tukisimama kwa miaka 1000.
Mambo ya mwanza hayoWapi hapasongi? Ndio maana mko mkiani kwa Mbeya
Kuna nini.cha.ziada mbeya zaidi ya mashamba makubwa ya mpunga na maparachichiWapi hapasongi? Ndio maana mko mkiani kwa Mbeya
Hivyo vijiji mbona vinazidi li kijiji la mbeya na njombe mji.
Yan huko bukoba vijijini ukitoa ile migomba na maharage linakuwa jiji kubwa Tena zuri kuliko mbeyaHivyo vijiji mbona vinazidi li kijiji la mbeya na njombe mji.
Kuna nini.cha.ziada mbeya zaidi ya mashamba makubwa ya mpunga na maparachichi