Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Source nyingine hii hapa 👇
1631963291855.png

1631963942516.png

1631963334597.png

1631963369463.png

1631963448119.png

1631963633111.png
1631963572537.png

1631963986473.png

1631963503395.png

1631963676465.png

1631963805370.png

1631963733948.png

1631963769532.png


1631963531956.png
 
Under construction
1. Nyegezi bus Stand
hqdefault.jpg
1631964144013.jpeg
EDemaz3WkAAIxHQ.jpg
EDemaz3WkAAIxHQ.jpg


2. Mwanza city market under construction
sddefault.jpg

1631964303425.jpeg
 
Unawaumbua ndugu zako Sexer na Instanbul..

Kwamba lazima kuunganisha Halmashauri 2 ndio Mwanza iweze kushindana na Mbeya? 😄😁

Uchwara City 🏃🏃
Sijaunganisha Ilemela inajitetegemea kama ilivyo Mbeya District Council
 
Barabara hujaziona au unataka barabara ambazo chini yanapita magari afu juu wanapita watu na hata Rais anapita Kama hizi, onyesha kama kwenye likijiji likuu mnazo
Pia bado tunasubiri genge la nyanya, parking ya kupandia mabasi, na CBD ya likijiji likuuView attachment 1943414View attachment 1943416View attachment 1943419View attachment 1943420View attachment 1943421View attachment 1943425
Kwa hiyo hizo ndio barabarani za City uchwara? 😄😄😄😌😌😌😌
 
Ipo vizuri kwa kufungwa viwanda? Wewe kweli ni Mzilankende
Ufungaji wa viwanda inategemea na policy za nchi kwa wakati huo. Wanaweza funga viwanda ili kutoa nafasi samaki kuzaliana au kuboresha mazingira ya biashara ili kuleta tija, Kumbuka kufungwa kwa mgodi wa Buzwagi na makinikia
 
Nilikwambia Waziri amewaruhusu watu kutafuna pesa, unadhani nani ataacha fursa ya posho? Per diem 100,000 kwa wiki 2 ni sh. ngapi?
Soon yanayofanyika Kahama yatafanyika Njombe, ila sio kwa mafanikio kama Kahama 😀😀😀😀
 
Unawaumbua ndugu zako Sexer na Instanbul..

Kwamba lazima kuunganisha Halmashauri 2 ndio Mwanza iweze kushindana na Mbeya?

Uchwara City
Ilemela inatandika vibaya mno likijiji likuu, stand ya Basi nyamhongolo ndani ya ilemela, kumbuka ile ya Nyegezi ni ya nyamagana, ndo kuanzia leo uelewe jiji la Mwanza linastand mbili za kisasa wakati kusini nzima wakiongozwa na likijiji hakuna hata moja
images-63.jpg
images-64.jpg
images-65.jpg
images-66.jpg
images-67.jpg
images-68.jpg
images-69.jpg
 
Nitaka radhi kwanza Niko kwenye 30's mimi sio Mzee..

Migodi mingapi,si uko mmja,sasa mgodi 1 ndio nini kwenye

Mzee mwenzangu hiyo migodi inaingiza shilingi ngapi kwa mwaka?
Wilaya ya kahama ni mkoa wa madini wilaya ya kahama ni mkoa wa TRA pia kuna migodi mikubwa miwili bulyankulu na buzwagi migodi hio pesa inayoenda serikalini ni nyingi toka mwaka 2000 hata pato la mkoa mzima nusu linatoka kahama wachimbaji wadogo kila siku wanauzia serikali zaidi ya kilo 8 za dhahabu hivyo barabara ni kazi ya serikali sio mchango wa wananchi kama ujenzi wa madarasa hivyo kahama kukosa barabara ilaumiwe serikali na wewe ipongeze maana imekujali na kahama yenye kuchangia toka mwaka 2000 ikaachwa hii ndio hasara ya kutokuwa makao makuu ya mkoa hata hizo lami mmepata kwa kigezo makao makuu ya mkoa ndio maana mwendazake akaliona tatizo la kahama miundo mbinu akapandisha hadhi ili tupate hio miundo mbinu ni suala la muda tu tunakuwa sawa serikali itajenga hizo barabara uzuri pamoja na mwendazake kuondoka serikali ya samia haijaisahau kahama na soon mikoa mipya miwili itatangazwa chato na kahama
 
Back
Top Bottom