Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Kamji kenyewe chenga tupu sasa unategemea maendeleo yatoke wapi?Ukiona mkoa una mji mmoja tu ujue huo mkoa hauna ushindani na huo ndo mkoa wa kagera ebu angalieni mikoa yenye miji miwili ndani yake ilivo na ushindani mkubwa wa miji yao kukua kwa kasi mfano njombe Ina njombe tc na makambako tc , shinyanga mc na kahama mc , ruvuma songea mc na mbinga tc ,iringa mc na mafinga tc ,Moro mc na ifakara tc, Dom cc na kondoa tc, mtwara mc ,masasi tc na nanyamba tc , musoma mc na tarime tc kuwa na miji miwili ndani ya mkoa mmoja kunaleta ushindani mkubwa Sana wa kimaendeleo tofauti na mji ukiwa mmoja mnajibweteka mji unazidi kudumaa Kama kagera😁😁😁😁



