Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Yap kote huko ujenzi unaendelea na sehem nyingine ni umaliziaji kama hiyo barabara ya nyakato kwenda kaagya huko mbele tyr ni mita chache tu wanamalizia kutoka nyakato secondary
Ile barabara ya kuingia mjini bukoba yaani kutoka kibeta Hadi downtown itengenezwe upya Ina Kona Kali sana .ajali kila siku

Naona na Leo imetokea ajali maeneo ya nyangoye
 
Ile barabara ya kuingia mjini bukoba yaani kutoka kibeta Hadi downtown itengenezwe upya Ina Kona Kali sana .ajali kila siku

Naona na Leo imetokea ajali maeneo ya nyangoye
Ni kweli hapa na mimi nilikuwa nachek gar limedondoka hapo nyangoye, nafikiri vilevile kuna haja ya kuipanua angalau kutokea round about ya rwamishenye mpaka mjini
 
kumbe nyie bado sana hata hamjui barabara za lami kwenda vijijini, soon unaanza ujenzi wa barabara kutoka kijiji kyetema kwenda kyaka kupitia vijiji vya ibwera na katoro km45
Isijekuwa unazungumzia barabara za Tanroads,sasa unategemea barabara isipite Vijijini ipite wapi?

Sisi tuna barabara kuu nyingi Sana kwa sasa zimekamilika kwa lami na zingine mpya zinajengwa sasa sijui hizo zenu zinaenda wapi.
 
Specialization in zone, grain tunasogea Kahama. Yaani hapo mpaka mipunga ya Katavi/ Swax wanaleta Kahama. Sababu ya umuhimu huo kuna mradi wa barabara Swax - Kahama km 426
Acha kuzingua barabara inatoka mpanda kaliua ukyankulu Kahama Geita .

Ila mipunga tunafikisha kupitia Tabora.Hapo unaweza ona wakulima wetu wanavyopiga pesa.

Mwaka huu mtapata njaa mjiandae kwa kiminyo cha bei lazima tuwanyooshe.
 
Isijekuwa unazungumzia barabara za Tanroads,sasa unategemea barabara isipite Vijijini ipite wapi?

Sisi tuna barabara kuu nyingi Sana kwa sasa zimekamilika kwa lami na zingine mpya zinajengwa sasa sijui hizo zenu zinaenda wapi.
Hatuzungumzii kupita vijijini, tunazungumzia barabara za kwenda vijijini kama kutoka muhutwe barabara kuu kwenda kamachum au kutoka barabara kuu kwenda kanyigo
 
Isijekuwa unazungumzia barabara za Tanroads,sasa unategemea barabara isipite Vijijini ipite wapi?

Sisi tuna barabara kuu nyingi Sana kwa sasa zimekamilika kwa lami na zingine mpya zinajengwa sasa sijui hizo zenu zinaenda wapi.
Kwamba hujui Kuna vijijini haviguswi na barabara kuu na barabara za tanroads.

Hizo ndo tunasemea Sasa. Yaan mfano Kijiji cha kishanda kipo km 45 kutoka barabara kuu ya muleba to bukoba na barabara hiyo inawekwa lami ili mazao ya ndizi ,kahawa, maharage nk yaweze kusafirishwa kwenda bandari za kemondo na bukoba.

Ndo maana unaona hata lami zake ni za kawaida
JamiiForums-1078341423.jpg
 
Kwamba hujui Kuna vijijini haviguswi na barabara kuu na barabara za tanroads.

Hizo ndo tunasemea Sasa. Yaan mfano Kijiji cha kishanda kipo km 45 kutoka barabara kuu ya muleba to bukoba na barabara hiyo inawekwa lami ili mazao ya ndizi ,kahawa, maharage nk yaweze kusafirishwa kwenda bandari za kemondo na bukoba.

Ndo maana unaona hata lami zake ni za kawaidaView attachment 1925388
Kama zinazoitwa lami ndio hizo ,aah endeleeni kuweka
 
Ukiona mkoa una mji mmoja tu ujue huo mkoa hauna ushindani na huo ndo mkoa wa kagera ebu angalieni mikoa yenye miji miwili ndani yake ilivo na ushindani mkubwa wa miji yao kukua kwa kasi mfano njombe Ina njombe tc na makambako tc , shinyanga mc na kahama mc , ruvuma songea mc na mbinga tc ,iringa mc na mafinga tc ,Moro mc na ifakara tc, Dom cc na kondoa tc, mtwara mc ,masasi tc na nanyamba tc , musoma mc na tarime tc kuwa na miji miwili ndani ya mkoa mmoja kunaleta ushindani mkubwa Sana wa kimaendeleo tofauti na mji ukiwa mmoja mnajibweteka mji unazidi kudumaa Kama kagera😁😁😁😁
 
Ukiona mkoa una mji mmoja tu ujue huo mkoa hauna ushindani na huo ndo mkoa wa kagera ebu angalieni mikoa yenye miji miwili ndani yake ilivo na ushindani mkubwa wa miji yao kukua kwa kasi mfano njombe Ina njombe tc na makambako tc , shinyanga mc na kahama mc , ruvuma songea mc na mbinga tc ,iringa mc na mafinga tc ,Moro mc na ifakara tc, Dom cc na kondoa tc, mtwara mc ,masasi tc na nanyamba tc , musoma mc na tarime tc kuwa na miji miwili ndani ya mkoa mmoja kunaleta ushindani mkubwa Sana wa kimaendeleo tofauti na mji ukiwa mmoja mnajibweteka mji unazidi kudumaa Kama kagera
Nyie ni washamba


Unafikiri kuwa na rural urban migration kubwa ni sifa. Hujui kwamba ni indicator ya poverty huko vijijini na inaongeza matatizo lukuki kwa miji inayokuwa?!!


Mkoa wa kagera asilimia ya vijiji vyake viko vzr kimaendeleo ndo maana watu hawajisumbui kuamia vijijini.( Watu hutoka vijijini asubuhi na kuja mjini bukoba kufanya shughuli zao na hurudi vijijini jioni ndo maana mji wa bukoba unafolen asubuhi na jion)


Acheni ujinga wa miji bakini katika vijiji vyenu na mviendeleze.



Nchi za wazungu zilizoendelea watu wa vijijini Wana income kubwa kuliko watu wa mijini



Halafu ulidanganywa na nani kuwa kagera Kuna mji mmoja

Kwa hali ya maisha huko vijijini .
Kuna haja gani ya kuhamia mijini
JamiiForums97465061.jpg
JamiiForums-750757195.jpg
JamiiForums312407424.jpg
JamiiForums-1503279889.jpg
2248175_1987124_57.jpg
JamiiForums2016830717.jpg
JamiiForums-750757195.jpg
images%20(4).jpg
 
Ukiona mkoa una mji mmoja tu ujue huo mkoa hauna ushindani na huo ndo mkoa wa kagera ebu angalieni mikoa yenye miji miwili ndani yake ilivo na ushindani mkubwa wa miji yao kukua kwa kasi mfano njombe Ina njombe tc na makambako tc , shinyanga mc na kahama mc , ruvuma songea mc na mbinga tc ,iringa mc na mafinga tc ,Moro mc na ifakara tc, Dom cc na kondoa tc, mtwara mc ,masasi tc na nanyamba tc , musoma mc na tarime tc kuwa na miji miwili ndani ya mkoa mmoja kunaleta ushindani mkubwa Sana wa kimaendeleo tofauti na mji ukiwa mmoja mnajibweteka mji unazidi kudumaa Kama kagera
Hiyo uliyotaja hapo ni miji au mukusanyiko wa nyumba zilizojengwa hovyo hovyo

Eti makambako,sijui njombe,tarime,masasi,ifakara,nk hiyo ni miji
Huo uswazi tu Wala haina haja ya kuwa mji.



Eti bukoba mji umelala? Bukoba imepanuka Hadi Sasa inaungana na mji mdogo wa kemondo km 20 away from bukoba
 
Ukiona mkoa una mji mmoja tu ujue huo mkoa hauna ushindani na huo ndo mkoa wa kagera ebu angalieni mikoa yenye miji miwili ndani yake ilivo na ushindani mkubwa wa miji yao kukua kwa kasi mfano njombe Ina njombe tc na makambako tc , shinyanga mc na kahama mc , ruvuma songea mc na mbinga tc ,iringa mc na mafinga tc ,Moro mc na ifakara tc, Dom cc na kondoa tc, mtwara mc ,masasi tc na nanyamba tc , musoma mc na tarime tc kuwa na miji miwili ndani ya mkoa mmoja kunaleta ushindani mkubwa Sana wa kimaendeleo tofauti na mji ukiwa mmoja mnajibweteka mji unazidi kudumaa Kama kagera
Hakuna cha ushindani zaidi mnaviacha vijiji vyenu vinadumaa huko vinabaki na nyumba za tembe tu miaka yote. Hata hyo unayoita miji unakuta ndani ya mamlaka ya mji kumejaa nyumba za tope na nyasi, lakini njoo utembee kutoka muleba mpaka Bukoba mjini zaidi ya km 80 huwezi ona hizo nyumba za nyasi na ni vijiji vimefuatana hakuna mapori au toka muleba pita nshamba mpaka kamachum vijijini huko zaidi ya km 40 huwezi ona hizo nyumba za tembe zilizojaa miji yenu
 
Hakuna cha ushindani zaidi mnaviacha vijiji vyenu vinadumaa huko vinabaki na nyumba za tembe tu miaka yote. Hata hyo unayoita miji unakuta ndani ya mamlaka ya mji kumejaa nyumba za tope na nyasi, lakini njoo utembee kutoka muleba mpaka Bukoba mjini zaidi ya km 80 huwezi ona hizo nyumba za nyasi na ni vijiji vimefuatana hakuna mapori au toka muleba pita nshamba mpaka kamachum vijijini huko zaidi ya km 40 huwezi ona hizo nyumba za tembe zilizojaa miji yenu
Hahaha usilojua ni sawa na usiku wa Giza tulikwambia uchomoke huko migombani utembelee na mikoa mingine ujifunze unaishia kukariri historia ya zamani saiz vijiji watu wamejenga nyumba za maana mzee njoo ujifunze mkoa wa njombe
 
Hahaha usilojua ni sawa na usiku wa Giza tulikwambia uchomoke huko migombani utembelee na mikoa mingine ujifunze unaishia kukariri historia ya zamani saiz vijiji watu wamejenga nyumba za maana mzee njoo ujifunze mkoa wa njombe
Yaani huko nyanda za juu kusini napafahamu vizuri bila kusimuliwa bado mnajenga tembe mbaya zaidi mtu akipata pesa anakimbilia mjini, pengine na imani potofu zinachangia
 
Hakuna cha ushindani zaidi mnaviacha vijiji vyenu vinadumaa huko vinabaki na nyumba za tembe tu miaka yote. Hata hyo unayoita miji unakuta ndani ya mamlaka ya mji kumejaa nyumba za tope na nyasi, lakini njoo utembee kutoka muleba mpaka Bukoba mjini zaidi ya km 80 huwezi ona hizo nyumba za nyasi na ni vijiji vimefuatana hakuna mapori au toka muleba pita nshamba mpaka kamachum vijijini huko zaidi ya km 40 huwezi ona hizo nyumba za tembe zilizojaa miji yenu
Ndoo maana tulikwambia hata mkoa wa njombe huu ujui vizuri ebu tukusaidie data vizuri ndo ujue tunavo kwambia mkoa umejengeka ukitoka idofi makambako tc Hadi njombe tc ni km 69 ni full makazi Tena ya kisasa unakuja idofi makambako tc Hadi ilembula mpakani na mbeya full makazi km45 bado unakuja njombe tc Hadi makete dc full makazi zaidi ya km 100 ,na hizo ni main road bado road zinazo unganisha miji na vijiji hatujaongelea .acha kufa na historia ya zamani mambo yalisha badilika mzee
 
Yaani huko nyanda za juu kusini napafahamu vizuri bila kusimuliwa bado mnajenga tembe mbaya zaidi mtu akipata pesa anakimbilia mjini, pengine na imani potofu zinachangia
Acha uongo mzee Kama huna hoja kaa kimya endelea kuangalia tembe zilivo zagaa Kanda ya ziwa na umasikini wenu
 
Acha uongo mzee Kama huna hoja kaa kimya endelea kuangalia tembe zilivo zagaa Kanda ya ziwa na umasikini wenu
Endelea kujifariji tu mmejazana kwenye vimiji uchwara vyenu hivo vijiji vipo hoi. Kilimanjaro walijipima ubavu ila hawakuona ndani tena angalau walileta tupicha ila nyie ni maneno tu
 
Back
Top Bottom