Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Naifahamu Njombe sana sana.. kuna miaka biashara ya mbao ilikua juu vibaya sana sana.. naijua hii biashara ... lakini huwezi ifananisha Njombe na Kahama..maybe weka battle la Njombe na Mafinga..na Mafinga itaibuka kidedea...! Njombe imekuwa uswekeni.. Zamani kina mama walikua wanajiita mama mbao sasa hivi watu wanaenda na aluminium and the like... uliza wauza mbao wa pale mwnge kama wanauza kma 7yrs ago!
Nkema wane, ole he?
 
Baada ya kamataka kamata na fungia ya akaunti, biashara za Kahama zilishuka sana. Vibrancy ya Kahama 2016 kurudi nyuma sio sawa na sasa hivi. Kwa aliyeishi pale atanielewa
Ni kote kote,nyie ndio mlituletea yule mtu
 
Wewe huenda una ile elimu yenu ya makaratasi ila huna elimu ya pesa na property value.

Sasa bora nikose hiyo elimu yako ila siwezi Jenga bangalow kijijini,huko najenga just simple decent house full stop.
Sema unaogopa kurogwa ukijenga kijijini
 
Nyie watu wa Kagera na Kigoma mmeshindwa kuwasaidia ndugu zenu wa Burundi hadi wanafika Njombe eti kwa wamesikia per capita income yetu ni kubwa😀😀😀

Screenshot_20210906-163249.png
 
Useless tunakulisha!?

Tukuzalishie maharage ili upate mboga
Tukuzalishie viazi ili ule
Tukuzalishie ndizi ili ushibe
Tukupe Sukari ili unywe chai
Tukupe kahawa na chai ili upate Radha ya chai
Tukutolee wasomi ili wakufundishie watoto wako huko vyuoni na mashuleni

Na hii jamii forum unapobwabwaja ni ya nshomile mmoja kutoka huko misenyi Mr Maxence Melo mubyazi
Isingekuwa yeye ungejulikana wew
Ndizi na sukari ya Kagera havifi Njombe,Tuache kutumia mtibwa na Kilombero tukachukue kagera
 
Back
Top Bottom