Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Viwanda vya maji bukoba.

Zahra drinking water bukoba
bottle_sm.jpg
Screenshot_20210905-171333.jpg
 
Hakuna kitu mbeya nitakataka tu we uijui mwanza naishi mbeya nimkoa wa kishamba sana huwez linganisha na mwanza huijui mwanza ww huwezi tuma picha za city pub na ilo ghorofa pamoja na kabwe huo ni uchafu kwa mwanza
Maneno matupu hayana nafasi jukwaani,weka picha sio kulalama kama nguchiro
 
Sio tuu viwanda vya maji bali viwanda vya maji bora yanayokubalika kitaifa.

Dew drop ni kampuni kubwa na maji bora labda kupita Kilimanjaro.

Hivyo viwanda vya maji ya kandoro uzianeni huko huko Bukoba ila tembea Tzn,nenda Dar utakutana na Due drop drinking water.



Sijawahi ona hiyo Dew drop Kanda ya ziwa.

Huku kuna jambo,bunena na asilia


Bado Nina Viwanda kibao Mimi.


Kiwanda Cha kusindika nyanya bukoba
images%20(26).jpg
images%20(27).jpg
 
Sio tuu viwanda vya maji bali viwanda vya maji bora yanayokubalika kitaifa.

Dew drop ni kampuni kubwa na maji bora labda kupita Kilimanjaro.

Hivyo viwanda vya maji ya kandoro uzianeni huko huko Bukoba ila tembea Tzn,nenda Dar utakutana na Due drop drinking water.
Hiv unajua Ranchi ya kitengule iliyopo huko karagwe na misenyi ndo Ranchi kubwa kuliko zote nchini

Ufugaji wa kisasa katika Ranchi ya kitengule
images%20(28).jpg
images%20(29).jpg
images%20(30).jpg
 
Kwa hiyo huko Bukoba mnakunywaga maji tuu maana sioni viwanda vya nyama,grain factory,samaki nk kama nilivyo weka mimi hapo juu vikiwemo na vya maji.
Kijana nishawahi kusikia kuwa kagera ni mkoa wa nne kwa kuwa na viwanda vingi nchini ( subiri nitakutafutia source)


But now tuje kwa kiwanda Cha samaki Cha vicfish bukoba
WhatsApp%20Image%202021-04-17%20at%2011.44.13%20AM.jpg
WhatsApp%20Image%202021-04-17%20at%2011.38.58%20AM.jpg
 
Kwa hiyo huko Bukoba mnakunywaga maji tuu maana sioni viwanda vya nyama,grain factory,samaki nk kama nilivyo weka mimi hapo juu vikiwemo na vya maji.
Specialization in zone, grain tunasogea Kahama. Yaani hapo mpaka mipunga ya Katavi/ Swax wanaleta Kahama. Sababu ya umuhimu huo kuna mradi wa barabara Swax - Kahama km 426
 
Kwa hiyo huko Bukoba mnakunywaga maji tuu maana sioni viwanda vya nyama,grain factory,samaki nk kama nilivyo weka mimi hapo juu vikiwemo na vya maji.
Kiwanda Cha maziwa huko karagwe.

Inasemekana Cha mzee magu.

Msisahau magu alikuwa na Ranchi zake huko karagwe
images%20(34).jpg
 
kumbe nyie bado sana hata hamjui barabara za lami kwenda vijijini, soon unaanza ujenzi wa barabara kutoka kijiji kyetema kwenda kyaka kupitia vijiji vya ibwera na katoro km45
Yap na juzi nimekuta wanaendelea na ujenzi wa barabara za lami kutoka buhembe Hadi Kijiji cha burugo. Na kutoka nyakato Hadi vijijini huko kaagya na kashozi

Na barabara ya kuunganisha gera Hadi vijijini mugani ipo inatengenezwa
 
Yap na juzi nimekuta wanaendelea na ujenzi wa barabara za lami kutoka buhembe Hadi Kijiji cha burugo. Na kutoka nyakato Hadi vijijini huko kaagya na kashozi

Na barabara ya kuunganisha gera Hadi vijijini mugani ipo inatengenezwa
Yap kote huko ujenzi unaendelea na sehem nyingine ni umaliziaji kama hiyo barabara ya nyakato kwenda kaagya huko mbele tyr ni mita chache tu wanamalizia kutoka nyakato secondary
 
Back
Top Bottom