instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Uzalishaji wa zao la vanilla nchini.Kila mkoa nchi hii una fursa za kutosha ishu ni value ya hizo products.
Chai,kahawa na parachichi Njombe ni champions.
Timber products Njombe ni leading region.
Mazao ya chakula kama mahindi,viazi,matunda anuwai tuko front.
Vanilla imehamia huku kwetu huko kwenu imebakia historia.
Madini kama chuma,makaa nk yako ya kutosha.
Vyanzo vya maji na utalii ndio usiseme tutahost mabwawa 3 makubwa ya kuzalisha umeme Tzn.
Uvuvi na usafiri wa ziwani tumo.
Hilo la Kagera kuongoza kwenye uzalishaji wa maharage ni kichekesho kipya mkuu.
Mwisho wa siku value na uchapakazi ndio vitaamua utofauti .
Kagera ikiongoza Tanzania

