Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Makete Vijijini 👇

Screenshot_20210906-141531.png


Screenshot_20210906-141858.png
 
Unaona mulivyo wapumbavu na makusanyo yenu

Kwa hiyo chalinze kumeendelea kuliko kigamboni,ilemela na morogoro


Chalinze Kuna viwanda vingi lakin sio kwamba Kuna maendeleo ya hivyo
Ukibanwa kende lazima uruke ruke kama Chura alipigwa teke 😀😀
Hii ni miji inayochipukia kwa hiyo overtime will catch up and outrun your old dilapidated towns.

Kinacholeta changes ni nguvu ya pesa,kwa miaka mingi hatukuwepo kwenye makusanyo ila tumeingia recently na ndio maana tunaendelea kwa kasi.

Wewe Baki kuimba zilipendwa,Njombe tena 👇

Screenshot_20210906-195943.png


Screenshot_20210906-195955.png


Screenshot_20210906-195911.png


Screenshot_20210906-195848.png


Screenshot_20210906-195856.png


Screenshot_20210906-195057.png


Screenshot_20210906-195032.png


Screenshot_20210906-195037.png


Screenshot_20210906-194431.png


Screenshot_20210906-194426.png


Screenshot_20210906-194410.png


Screenshot_20210906-194419.png


Screenshot_20210906-194351.png


Screenshot_20210906-194356.png


Screenshot_20210906-194342.png


Screenshot_20210906-194246.png


Screenshot_20210906-194010.png
 
😀 😀 ukweli fulani mchungu sana. Isingekuwa awamu ya 5, Kahama ingekuwa mbali sana by now
Awamu ya 5 iliwafanyaje Kahama wakati ndio Rais aliitangaza kuwa Manispaa kwa upendeleo bila kupitia michakato stahiki?
 
Ukibanwa lazima uluke Luke kama Chura
Hii ni miji inayochipukia kwa hiyo overtime will catch up and outrun your old dilapidated towns.

Kinacholeta changes ni nguvu ya pesa,kwa miaka mingi hatukuwepo kwenye makusanyo ila tumeingia recently na ndio maana tunaendelea kwa kasi.

Wewe Baki kuimba zilipendwa
Halmashauri Kama chalinze Kuna viwanda vingi ndo vinatoa hayo mapato sio kile kitongoji kichoitwa mji
 
Halmashauri Kama chalinze Kuna viwanda vingi ndo vinatoa hayo mapato sio kile kitongoji kichoitwa mji
Vipi Kuhusu ile village town ya Bukoba inayoitwa Manispaa kwa nini haina mapato? 😁😁😝😝 Unatapatapa.

Simple answer ni your village town has got no resources generate income.
 
Mapank na wajinga wenzie anatakiwa kufahamu kwamba Njombe ni Mkoa wa kimkakati Kitaifa sio kama hiyo useless regio ya Kagera.
Useless tunakulisha!?

Tukuzalishie maharage ili upate mboga
Tukuzalishie viazi ili ule
Tukuzalishie ndizi ili ushibe
Tukupe Sukari ili unywe chai
Tukupe kahawa na chai ili upate Radha ya chai
Tukutolee wasomi ili wakufundishie watoto wako huko vyuoni na mashuleni

Na hii jamii forum unapobwabwaja ni ya nshomile mmoja kutoka huko misenyi Mr Maxence Melo mubyazi
Isingekuwa yeye ungejulikana wew
 
Nimekuuliza mbona wewe huishi kijijini kama kuzuri unakwepa.Hizo ni nyumba za kulaza wazee mnapoenda Vijijini hakuna mtu timamu ataacha kusaka pesa mjini akaishi kijijini.
Kwan bibi na babu zangu wanaishi wap.



Hiv ulishamjengea nyumba bibi yako au ndo unaogopa kurogwa
 
Kwan bibi na babu zangu wanaishi wap.



Hiv ulishamjengea nyumba bibi yako au ndo unaogopa kurogwa
Kwani akina bibi na Babu wanahitaji majumba makubwa kama hayo kwa ajili gani?

Jumba kubwa liko kijijini ukitongwa hata milioni moja hupati wa kukupa si banki wala individual ,useless mind ndio zinafanya huo ujinga.
 
Kwani akina bibi na Babu wanahitaji majumba makubwa kama hayo kwa ajili gani?

Jumba kubwa liko kijijini ukitongwa hata milioni moja hupati wa kukupa si banki wala individual ,useless mind ndio zinafanya huo ujinga.
Unaona ulivyo na shida ya elimu Sasa.
 
Unaona ulivyo na shida ya elimu Sasa.
Wewe huenda una ile elimu yenu ya makaratasi ila huna elimu ya pesa na property value.

Sasa bora nikose hiyo elimu yako ila siwezi Jenga bangalow kijijini,huko najenga just simple decent house full stop.
 
Awamu ya 5 iliwafanyaje Kahama wakati ndio Rais aliitangaza kuwa Manispaa kwa upendeleo bila kupitia michakato stahiki?
Baada ya kamataka kamata na fungia ya akaunti, biashara za Kahama zilishuka sana. Vibrancy ya Kahama 2016 kurudi nyuma sio sawa na sasa hivi. Kwa aliyeishi pale atanielewa
 
Back
Top Bottom