Haha kaka takwimu zinaongea hizo starehe zpo kila konaKiroyera tours and camping sites bukoba
The beaches in bukobaView attachment 1921914View attachment 1921915View attachment 1921916View attachment 1921919View attachment 1921920View attachment 1921921
Hizo starehe zpo kila Kona maendeleo yanapimwa na rasilimali zilizopo eneo husikaKiroyera tours and camping sites bukoba
The beaches in bukobaView attachment 1921914View attachment 1921915View attachment 1921916View attachment 1921919View attachment 1921920View attachment 1921921
Umekula Sukari gan Leo?Haha kaka takwimu zinaongea hizo starehe zpo kila kona
Hizo starehe zpo kila Kona maendeleo yanapimwa na rasilimali zilizopo eneo husikaView attachment 1921936View attachment 1921938View attachment 1921941
Mashamba ya chai na kiwanda Cha majani ya chai bukobaHaha kaka takwimu zinaongea hizo starehe zpo kila kona
Hizo starehe zpo kila Kona maendeleo yanapimwa na rasilimali zilizopo eneo husikaView attachment 1921936View attachment 1921938View attachment 1921941
ThibitishaMimi kwetu ni bukoba vijijin sehemu moja inaitwa bugabo kata rubafu (mpakani mwa TANZANIA na Uganda) kwa ufupi maisha ya uko ni mazuri sana,kuliko ata Morogoro mjiniwatu wanajenga nyumba vizuri bodaboda zipo adi saa 6 usku
Hizo chai tunawasaidia msilete mbwembweMashamba ya chai na kiwanda Cha majani ya chai bukobaView attachment 1921967View attachment 1921968View attachment 1921969View attachment 1921970
kwa Hiyo Ngara haikaliwi na watanzaniaHuko hata biharamulo na ngara kwa wahamiaji panapazidi
Nadhani unakumbuka operation kimbunga ya kikwete mwaka 2014.kwa Hiyo Ngara haikaliwi na watanzania
Hiyo migidi ilikwamishwa na kukosekana kwa barabara ila siku Barabara ya Ludewa ikikamatika yaani ni mgodi wa life time vizazi na vizazi.Project ya mchuchuma na liganga mkoa was njombe sio level zenuView attachment 1917006View attachment 1917007View attachment 1917010na viwanda vilivyo anza kazi ni Cha bati nondo na misumariView attachment 1917014View attachment 1917015
Washamba Tzn hii wanajulikana wanakotokea usijitoe ufahanu.Mna ushamba mwingi.
Kama huku ndo njombe basi kahama inawazidi mbali Sana
Bukoba sio level za huko naishusha tu hapa
Na mwaka huu ndio kabisaa TMA wamewaambia mvua za vuli hazitanyesha sasa si watazidi kudidimia kwenye umaskini hao, yaani hadi huruma.Kanda ya Ziwa mkiacha utegemezi mtaweza kufika angalau Per Capita GDP ya mil 2.Lakini mkibaki kua Tegemezi tutawaacha kw m
Hatutembei unadhani tunaongea hapa tuko Njombe.au unataka tufunge Safari kuja kagera,labda nikwambie tu ukianzia Dar-Moro-Dom-Singida -Shinyanga-Mwanza/Kagera Kuna maendeleo ya chini Sana ukilinganisha Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha-Manyara.Kanda yenu mmeanza kuzidiwa na Dar-Pwani-Lindi -Mtwara😀😀
Bongo vs Bongo na sio Bongo vs Ulaya acha ujinga dindi unazeeka vibaya sasa.Unaona ulivyo mshamba.
Tanzania Kuna maendeleo gan Sasa
Eti kusini, sijui kaskazini pote utumbo mtupu.
Ndo maana nasema hamna exposure
Kiukweli kukamilika kwa barabara kwa lami ya Njombe Makete Mbeya kutabadili sura ya Mkoa haraka Sana.Tunavosema takwimu hazidanganyi mtuelewe saiz mkoa wa njombe kila Kona kumefunguka full uwekezaji na hapa ni maketeView attachment 1924169View attachment 1924171