Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Victorious perch hotel bukoba
images%20(12).jpg
2021-03-13%20(1).jpg
2017-04-10.jpg
20191031_074508.jpg
2017-08-11.jpg
20190305_102036.jpg
IMG_20180207_151601.jpg
2018-02-20.jpg
2021-03-13.jpg
2017-04-10.jpg
 
Kiroyera tours and camping sites bukoba


The beaches in bukoba
2017-07-23.jpg
2017-01-28.jpg
2017-11-12.jpg
IMG_20180520_174021_BURST1.jpg
IMG_20180520_174048_BURST13.jpg
2018-02-18.jpg
 
Haha kaka takwimu zinaongea hizo starehe zpo kila kona
Hizo starehe zpo kila Kona maendeleo yanapimwa na rasilimali zilizopo eneo husika
FB_IMG_16303969897973102.jpg
FB_IMG_16280952257652425.jpg
FB_IMG_16280931032022308.jpg
 
Halafu anakuja mpumbavu mmoja anakwambia mji umelala


New projects bukoba
images%20(18).jpg
images%20(17).jpg
images%20(20).jpg
images%20(24).jpg
images%20(25).jpg
images%20(22).jpg
images%20(21).jpg
 
Msichojua tuna watu Kagera wengi wanatupatia uhalisia.
Mimi kwetu ni bukoba vijijin sehemu moja inaitwa bugabo kata rubafu (mpakani mwa TANZANIA na Uganda) kwa ufupi maisha ya uko ni mazuri sana,kuliko ata Morogoro mjini watu wanajenga nyumba vizuri bodaboda zipo adi saa 6 usku
Thibitisha
 
Kanda ya Ziwa mkiacha utegemezi mtaweza kufika angalau Per Capita GDP ya mil 2.Lakini mkibaki kua Tegemezi tutawaacha kw m
Hatutembei unadhani tunaongea hapa tuko Njombe.au unataka tufunge Safari kuja kagera,labda nikwambie tu ukianzia Dar-Moro-Dom-Singida -Shinyanga-Mwanza/Kagera Kuna maendeleo ya chini Sana ukilinganisha Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha-Manyara.Kanda yenu mmeanza kuzidiwa na Dar-Pwani-Lindi -Mtwara😀😀
Na mwaka huu ndio kabisaa TMA wamewaambia mvua za vuli hazitanyesha sasa si watazidi kudidimia kwenye umaskini hao, yaani hadi huruma.

Nyanda za Juu ni nchi ya ahadi ,muwe na pa kukimbilia njaa ikiwakamata soon mtaanza kuuza maksai kwa gunia la mahindi.
 
Tunavosema takwimu hazidanganyi mtuelewe saiz mkoa wa njombe kila Kona kumefunguka full uwekezaji na hapa ni maketeView attachment 1924169View attachment 1924171
Kiukweli kukamilika kwa barabara kwa lami ya Njombe Makete Mbeya kutabadili sura ya Mkoa haraka Sana.

Mazao ya miti na viazi vya Makete vilikuwa havitoki kwa sababu ya terrains mbaya na poor accessibility.

Tarura Makete wamepewa pesa nyingi tuu Ili kuunga barabara za vijiji kwenye barabara kubwa ya Tanroads kwa hiyo watu watakuwa milionea fasta kwa sababu za miti,viazi na utalii.
 
Back
Top Bottom