Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Unaonekana kwa Takwimu na picha ,sasa kwani mimi Niko huko kijijini kwenu hadi nipige picha?
Acha upumbavu mkuu hii haitabidikisha ukweli kwamba huko kumetamalaki umaskini.

Afu uache utoto wa kuleta picha za miaka ya zamani,mimi nimekupa current data from trusted source.
Pale maendeleo yanapoonekana. Sio GDP ambao ni uongo wakati tz bado tupo maskini Sana.
JamiiForums-1745318114.jpg
JamiiForums471719333.jpg
 
Kenya GDP nene, ila majority wanaishi maisha ya kunguni, nyie kaeni na GDP Lake zone tunatengenza uchumi wa nchi
Hakuna kisingizio cha DDP hapa,ukichukua wanaishi kwenye Hali mbaya ya umaskini Kati ya Njombe na Kagera , typical kagera itaongoza in terms of numbers
 
Hakuna kisingizio cha DDP hapa,ukichukua wanaishi kwenye Hali mbaya ya umaskini Kati ya Njombe na Kagera , typical kagera itaongoza in terms of numbers
Ushirikina tu huko njombe.


Hiv na vifo vya watoto si huko njombe.

Sehemu ya umaskini na ushirikina pamoja uchawi ushamiri
FB_IMG_16303359739951913.jpg
 
Bukoba mwaka 2009


NB. Bukoba ni manispaa toka 1998View attachment 1915320
Ndo maana tunakwambia mme dumaa we had saiz miji ya juzi tu imewapita ya kuzidi mfano unavoongelea mkoa wa njombe saiz eneo kubwa umesha jengeka miji imekutana mfano makambako na njombe hi ni miji mikubwa iliyopo ndan ya wilaya moja ya njombe imeshakutatana pia na vimiji vidogo vya kutosha vimesha kutana na miji mikubwa ko ni mkoa ambao upo speed mno kwa kujengeka
Usirudie Tena kulinganisha bukoba na upumbavu wa huko kusini
 
Ndo maana tunakwambia mme dumaa we had saiz miji ya juzi tu imewapita ya kuzidi mfano unavoongelea mkoa wa njombe saiz eneo kubwa umesha jengeka miji imekutana mfano makambako na njombe hi ni miji mikubwa iliyopo ndan ya wilaya moja ya njombe imeshakutatana pia na vimiji vidogo vya kutosha vimesha kutana na miji mikubwa ko ni mkoa ambao upo speed mno kwa kujengeka
Ulivyo mjinga kweli wew.

Kwa hiyo kusambaa kwa mji ndo kujengeka?




Mbona mna population density ndogo Sana kulinganisha na kagera, Kilimanjaro na dar.


Hiv kagera ukiondoa ile migomba si ni mji kabisa.






Maendeleo sio kujenga Jenga miji na kusambaa . maendeleo ni kujitosheleza kwa hiyo miji Kama ilivyo bukoba
 
Ulivyo mjinga kweli wew.

Kwa hiyo kusambaa kwa mji ndo kujengeka?




Mbona mna population density ndogo Sana kulinganisha na kagera, Kilimanjaro na dar.


Hiv kagera ukiondoa ile migomba si ni mji kabisa.






Maendeleo sio kujenga Jenga miji na kusambaa . maendeleo ni kujitosheleza kwa hiyo miji Kama ilivyo bukoba
Haha bukoba labda imesambaa migomba ila.sio makazi
 
FB_IMG_16303394989959061.jpg
FB_IMG_16303394114153821.jpg

Huo ni mkeka wa njombe to makete sio hizo barabara za bukoba bado mnajenga za Bei ndogo
 
Kwa speed ya mkoa huu kagera mtasubiri Sana kwanza nyie mbishanage na musoma na kigoma huu Moto mwingine
FB_IMG_16302984474773997.jpg
FB_IMG_16200236253580451.jpg
 
Project ya mchuchuma na liganga mkoa was njombe sio level zenu
FB_IMG_16303439442452506.jpg
FB_IMG_16303438529084685.jpg
FB_IMG_16303438707393544.jpg
na viwanda vilivyo anza kazi ni Cha bati nondo na misumari
FB_IMG_16232302026875324.jpg
FB_IMG_16230796426780763.jpg
 
Back
Top Bottom