Eti alitupendelea



.
Serikali wanaangalia sehemu potential kwanza . huwezi zungumzia uchumi wa Tanzania Bila kuiangalia Kanda ya ziwa.
Kanda ya ziwa inapakana na nchi kibao na Kuna population kubwa.
Kahawa ni zao la pili nchini katika mazao ya biashara kuingiza kipatoo na 65 % ya kahawa yote nchini.
Bado ndizi 70% ni kutoka mkoa mmoja
Bado vanilla
Bado Sukari.kumbuka kagera sugar ni moja ya viwanda vikubwa nchini kwa uzalishaji
Bado maharage zaidi ya 70% yanatoka kagera
Bado chai na maparachichi yanalimwa kagera.
Bado pamba inalimwa
Bado madini Kama dhahabu na tin
Nk nk
Bado biashara za mipakani