Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Acha porojo wewe,we are closing the gap πKupambanisha Kahama na Njombe ni sawa sawa na kulimbiza Jet kwa mguu..TUnaongelea MC sasawasa na mwanafunzi wa primary akiongoza anajiona mjanja zaidi ya mwanafunzi wa form6 aliyeongoza..huo ni upuuzi na kukosa hekima.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Closing etiii?????
Kim wewe vipi? Kusoma hujui na picha huoni? From 3bln in 2018 to 7.5bln against 7.98 2021? We are behind just by millionsClosing etiii?????
Njombe ni mbao na viazi kahama nasikia madini sijawahi fikaKaribuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Wa kwanza na wa pili Ni mkoa gani?Unajua kwanini Njombe imekua ya 3, Katika Mikoa tajiri Tanzania ?, Wakati imekua Mkoa miaka 5 tu iliopita, Sababu ni wajanja katika biashara. Kuanzia Upangwa(Ludewa), Ukinga (Makete) hadi maeneo mengine wanachakarika sana hata kama eneo ni dogo.
Wanalima kilimo biashara hata iwe Mahindi kuliko maeneo mengine(ambao wao wanafanya Kilimo kula). Ingawa kwa sasa uchumi ni mgumu kokote pale lakini huwezi linganisha maeneo ya madini na yasio ya madini. Njombe wametumia akili kwa kupanda miti, Kahama wamepewa madini bure na Mungu.
kama ya dodomaIla ile stand mpya ya Njombe aisee...
Balaa.. Sijaona
Bonge moja la stand..
mbao hazina soko kivipi?Ukitoa mbao ambazo nazo hazina soko, njombe inabakia na viazi ngoja nikupe kidogo kuhusu kahama
nasikia wakinga wanatawala sana kariakoo.kumbe Njombe anasupply mbao hadi Sudan?Binafsi yangu kati ya hiyo miji ningechagua Njombe. Watu wanadhani njombe ni mbao ambazo kimsingi wana supply East Africa yote mpaka Sudan kusini. Njombe INA supply viazi mviringo, inatoa parachichi nyingi nje ya nchi kuliko, thamani ya ardhi njombe ni kubwa kuliko kahama. Watu wa njombe ni wachapakazi sana pia naona hata kariakoo hapa wanunuzi wakubwa wa majengo ni wananjombe. Kahama ni pazuri lakini hali ya hewa na fursa za madini hazitabiriki,
mtama mwekundu ngoja ntafuatiliaKAHAMA: ndio center kubwa ya kukusanyia mtama mwekundu kutoka igunga, singida, Sanga Mwalugesha ambao huo mtama hutumiwa na Viwanda vya Bia vya Rwanda na Burundi
viwanda gani vimejengwa Rungwe?Halafu parachichi unayozungumzia njombe ambayo ilianzia tukuyu hadi ushirika na viwanda vikajengwa Rungwe, maana pale njombe ile ni raw material mnazalisha na impact yake ni ndogo na ndio maana bei za miaka ile ilikua juu kuliko wakati huu
saa mbili Njombe wapo watu ndani labda Njombe ya 1952Njombe Saa mbili ishakua usiku watu wote ndani lakini kahama the whole night pana happen, clubs za ukweli sijui hata nieleze nini lakini miji hii yote naifahamu
Mwanza,Dar & ArushaBro Mbeya hata robo ya mwanza haitokuja kufika kiufupi Ukiitoa Dar, basi inayofuata ni Mwanza hapo umemaliza ndio utakuja Arusha
Source ni screenshot ya post yako mwenyewe JF, yaani umeandika post ukascreenshot ili tu ujifurahishe
Sasas kwa upuuzi wako hukumbuki Magu alisema ilala iwe ndio Dar CC? Source hii hapa πSource ni screenshot ya post yako mwenyewe JF, yaani umeandika post ukascreenshot ili tu ujifurahishe,
Ulivyo mnafiki upande wa dar city ukaweka mabano ni ilala tu lakini upande wa Mwanza city ukaacha kuweka mabano kwamba ni Nyamagana tu!
Sasa kwa upuuzi wako hukumbuki kipindi Magu anasema alitolea mfano wa jiji la Mwanza ambapo Nyamagana ndo City Council. Lakini umeshindwa kuonyesha Mwanza CC ni Nyamagana lakini umeweza kuonyesha Dar CC ni IlalaSasas kwa upuuzi wako hukumbuki Magu alisema ilala iwe ndio Dar CC? Source hii hapa
Aaaaahhh umepiga kwenye mshonoSasa kwa upuuzi wako hukumbuki kipindi Magu anasema alitolea mfano wa jiji la Mwanza ambapo Nyamagana ndo City Council. Lakini umeshindwa kuonyesha Mwanza CC ni Nyamagana lakini umeweza kuonyesha Dar CC ni Ilala
leo na waletea latest Arial view ya Njombe Town
Wiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.View mbaya mkuu
Kwanza pole Sana kwa kuugua/kuuguza hapo hospital ya Mt.Emaculate Ikonda.Hospital za govt zingekiwa na landscape nzuri na huduma bora kama hapo usingesikia kelele.Wiki iliyopita nilitembelea miji hii hapo chini, ila pia nilifika Songea, Mbinga na Ikonda, aisee pale Ikonda kuna hospitali nzuri sana.
Ila jamani ee Njombe na Makambako zinapigwa fimbo na MAFINGAView attachment 1876176View attachment 1876177View attachment 1876179
Lakini jambo kubwa na la muhimu ni wewe kukubali kwamba Miji yetu ya Kusini imeendelea kuliko ya huko kwenuna kwamba govt inazidi kuifungua kwa miundombinu.