Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Maji Kuna Kauwasa (Yaani hakuna maji ya visima) ule mradi wa Lake Victoria ulioasisiwa na Edward Lowasa ilikuwa ni kuleta maji Kahama ambao umewafaidisha kidogo Shinyanga DC, Misungwi ndio wanakumbukwa Sasa na Mama atazindua kesho mradi wao wa maji)

Afya - Aga Khan / Marie Stoper na bado hivi karibuni nitawaletea picha ya jengo jipya la Hospital ya wilaya aliyozindua JPM

Shule / Vyuo - Anderlek / Kwema modern / Rocken Hill ambazo zimekuwa zikifanya vizuri kwenye matokeo mbali mbali ya mitihani ya kuhitimu nchin. Mbali na Vyuo vya serikali Kuna chuo cha Afya cha binafsi Kahama College of health and Allied Science bado Open Univery of Tanzania wana branch Kahama

Barabara ndio tumeanza yaaani mpaka muite maji mmaaaa, Sina haja ya kuzungumzia hili
 
Maji Kuna Kauwasa (Yaani hakuna maji ya visima) ule mradi wa Lake Victoria ulioasisiwa na Edward Lowasa ilikuwa ni kuleta maji Kahama ambao umewafaidisha kidogo Shinyanga DC, Misungwi ndio wanakumbukwa Sasa na Mama atazindua kesho mradi wao wa maji)

Afya - Aga Khan / Marie Stoper na bado hivi karibuni nitawaletea picha ya jengo jipya la Hospital ya wilaya aliyozindua JPM

Shule / Vyuo - Anderlek / Kwema modern / Rocken Hill ambazo zimekuwa zikifanya vizuri kwenye matokeo mbali mbali ya mitihani ya kuhitimu nchin. Mbali na Vyuo vya serikali Kuna chuo cha Afya cha binafsi Kahama College of health and Allied Science bado Open Univery of Tanzania wana branch Kahama

Barabara ndio tumeanza yaaani mpaka muite maji mmaaaa, Sina haja ya kuzungumzia hili
Bado sana kwa Njombe hizo huduma ziko long time ago.Kazaneni mtatufikia
 
Mkuuu miradi ya maji kila Kona ipoo ya kutoshaa Hamna sehemu ambako hakuna mladi wa maji na kuhusu hospitali hataa ss kunahospitali ya halmashauri majengo 7 yamepolomoshwa pale mlowa na kuhusu barabara ya lupembe iyoo asilimia kubwa inawanufaisha watu wa lupembe na ifakara usafili utaimalika maeneo yaoo
Hizo hospt. za Halmashauri hazina tofauti na Vituo vya afya maana vimajengo havina hadhi na sio vya ghorofa
 
Hizo hospt. za Halmashauri hazina tofauti na Vituo vya afya maana vimajengo havina hadhi na sio vya ghorofa
Kuwa na gorofa sio tatizo tunaangalia huduma zinazotolewaa inaweza ikawa ya gorofa lakini huduma bado ziko chini wee cheki hospitali ya ikonda inavyopiga kazi utazani hospitali ya mkoa na huduma zikiwa chini apoo watu wataenda ikonda
 
Bado sana kwa Njombe hizo huduma ziko long time ago.Kazaneni mtatufikia
Kahama mradi wa maji wa mwaka gani?
Yaani miaka hiyo mpaka serikali inahamua kutenga billion 200 za walipa kodi kwa ajili Kahama.

Ni mradi upi hiyo Njombe serikali imewahi kuwekeza 200 billion????
 
Kahama mradi wa maji wa mwaka gani?
Yaani miaka hiyo mpaka serikali inahamua kutenga billion 200 za walipa kodi kwa ajili Kahama.

Ni mradi upi hiyo Njombe serikali imewahi kuwekeza 200 billion????
Huku sio jangwani kama huko Kahama
 
Maji Kuna Kauwasa (Yaani hakuna maji ya visima) ule mradi wa Lake Victoria ulioasisiwa na Edward Lowasa ilikuwa ni kuleta maji Kahama ambao umewafaidisha kidogo Shinyanga DC, Misungwi ndio wanakumbukwa Sasa na Mama atazindua kesho mradi wao wa maji)

Afya - Aga Khan / Marie Stoper na bado hivi karibuni nitawaletea picha ya jengo jipya la Hospital ya wilaya aliyozindua JPM

Shule / Vyuo - Anderlek / Kwema modern / Rocken Hill ambazo zimekuwa zikifanya vizuri kwenye matokeo mbali mbali ya mitihani ya kuhitimu nchin. Mbali na Vyuo vya serikali Kuna chuo cha Afya cha binafsi Kahama College of health and Allied Science bado Open Univery of Tanzania wana branch Kahama

Barabara ndio tumeanza yaaani mpaka muite maji mmaaaa, Sina haja ya kuzungumzia hili
Nimekua nikifatilia mjadala huu kwa ukaribu,ila mkuu wangu uzalendo wako kwa kahama umepitiliza ata mahala pasipo.Kiuchumi na mzunguko wa pesa kahama sawa ila huduma nyingine nakataa,kumbuka shy inajibeba yenyewe bila kutegemea mchango wa madini na biashara ya usafirishaji nk kama kahama.Unatakakuniambia hizo huduma Shinyanga hazipo?Hv unaifahamu Savannah plains(international)School?,Kom schools na nyinginezo kama kina little treasure nk?Hicho chuo.cha afya kahama utalinganisha na chuo Cha afya kolandoto chenye hospital kubwa inayotibu magonjwa mbalimbali na kimebobea kwenye magonjwa yamacho nk mikoa yote hii ya kanda ya ziwa tiba ya macho Bora inapatikana kolandoto.Hospitali ya mkoa tofauti na hii inayotumika sasa Kuna mpya ya rufaa ya kisaa inayojengwa eneo linaloitwa neghezi.Vyuo vipo Kuna Campus ya chuo kikuu Cha biashara Moshi(Mucobs),Kikuu huria,chuo Cha madini,st.joseph collage,musoma utalii collage,na sasa kupo kwenye hatua ujenzi wa chuo kikuu kikubwa.Maji Shuwasa wapo pia Kashwasa wapo ndio wanaohudumua mpaka hapo kahama kupitia Kauwasa,pia wamahudumia miji ya Tabora,igunga,nzega,misungwi,kishapu nk yote kupitia mtandao wake uliopo Shinyanga na ndio Hq.Kuhusu barabara uwezi kulinganisha ata kidogo ata barabara za molam za vichochoroni kati ya Shinyanga na kahama.Ujenzi wakubadili mji umeanza kasi kwa mwaka huu tu 2021 Kuna projects zaidi ya kumi ya majengo makubwa ya maghorofa inayoendelea na mingine ikiwa katika hatua ya awali.
 
Nimekua nikifatilia mjadala huu kwa ukaribu,ila mkuu wangu uzalendo wako kwa kahama umepitiliza ata mahala pasipo.Kiuchumi na mzunguko wa pesa kahama sawa ila huduma nyingine nakataa,kumbuka shy inajibeba yenyewe bila kutegemea mchango wa madini na biashara ya usafirishaji nk kama kahama.Unatakakuniambia hizo huduma Shinyanga hazipo?Hv unaifahamu Savannah plains(international)School?,Kom schools na nyinginezo kama kina little treasure nk?Hicho chuo.cha afya kahama utalinganisha na chuo Cha afya kolandoto chenye hospital kubwa inayotibu magonjwa mbalimbali na kimebobea kwenye magonjwa yamacho nk mikoa yote hii ya kanda ya ziwa tiba ya macho Bora inapatikana kolandoto.Hospitali ya mkoa tofauti na hii inayotumika sasa Kuna mpya ya rufaa ya kisaa inayojengwa eneo linaloitwa neghezi.Vyuo vipo Kuna Campus ya chuo kikuu Cha biashara Moshi(Mucobs),Kikuu huria,chuo Cha madini,st.joseph collage,musoma utalii collage,na sasa kupo kwenye hatua ujenzi wa chuo kikuu kikubwa.Maji Shuwasa wapo pia Kashwasa wapo ndio wanaohudumua mpaka hapo kahama kupitia Kauwasa,pia wamahudumia miji ya Tabora,igunga,nzega,misungwi,kishapu nk yote kupitia mtandao wake uliopo Shinyanga na ndio Hq.Kuhusu barabara uwezi kulinganisha ata kidogo ata barabara za molam za vichochoroni kati ya Shinyanga na kahama.Ujenzi wakubadili mji umeanza kasi kwa mwaka huu tu 2021 Kuna projects zaidi ya kumi ya majengo makubwa ya maghorofa inayoendelea na mingine ikiwa katika hatua ya awali.
Hizo huduma unazokataa ni zipi? Barabara nimekubali kuwa bado, hiyo hadhi ya Municipal italeta barabara kwa kuwa fungu la maendeleo kutoka serikali kuu litaongezeka. Kumbuka pia Kahama ipo kwenye mpango wa bank ya Dunia ya uendelezaji miji.

Pia kumbuka kinachoibeba Kahama kuwa na huduma bora japo unapinga ni Idadi ya watu. Ni mji wa nane kwa wingi wa watu nchini nyuma ya majiji yetu 6 ikiifuatia Zanzibar. Watu hao kumbuka ni wazalishaji kwenye sector mbali mbali za kiuchumi. Hivyo uwekezaji kwenye huduma bora za kijamii hakuepukiki ili kuchochea shughuli nyingine za kimaendeleo.


Kuhusu Shule ulizotaja hata mtu wa Nanyamba anaijua hiyo Savannah plain ambayo sidhani kama inatumia mitaala ya Tz. Hizo nyingine ulizotaja ni kwamba mnazijua wenyewe huko Shy. Na kwa ubora wa elimu huwezi linganisha na Shule Kama Kwema modern au Rocken Hill.
 
Hizo huduma unazokataa ni zipi? Barabara nimekubali kuwa bado, hiyo hadhi ya Municipal italeta barabara kwa kuwa fungu la maendeleo kutoka serikali kuu litaongezeka. Kumbuka pia Kahama ipo kwenye mpango wa bank ya Dunia ya uendelezaji miji.

Pia kumbuka kinachoibeba Kahama kuwa na huduma bora japo unapinga ni Idadi ya watu. Ni mji wa nane kwa wingi wa watu nchini nyuma ya majiji yetu 6 ikiifuatia Zanzibar. Watu hao kumbuka ni wazalishaji kwenye sector mbali mbali za kiuchumi. Hivyo uwekezaji kwenye huduma bora za kijamii hakuepukiki ili kuchochea shughuli nyingine za kimaendeleo.


Kuhusu Shule ulizotaja hata mtu wa Nanyamba anaijua hiyo Savannah plain ambayo sidhani kama inatumia mitaala ya Tz. Hizo nyingine ulizotaja ni kwamba mnazijua wenyewe huko Shy. Na kwa ubora wa elimu huwezi linganisha na Shule Kama Kwema modern au Rocken Hill.
Nia yako nikubishana nasiwezi kubadilisha mind yako iamini nacho amini,lakini tambua kahama ina idadi kubwa ya watu ila huduma Bora unazodai zipo hakuna,sijui upande wako maana ya huduma Bora unamaanisha/unachukulia nikatika nyanja ipi?Sitetei Shinyanga wala kahama ila nipo neutral miji yote naijua vizuri.Ukiongelea mzunguko wa pesa hapo tupo pamoja lakini mengine bado yana utata.
 
Nia yako nikubishana nasiwezi kubadilisha mind yako iamini nacho amini,lakini tambua kahama ina idadi kubwa ya watu ila huduma Bora unazodai zipo hakuna,sijui upande wako maana ya huduma Bora unamaanisha/unachukulia nikatika nyanja ipi?Sitetei Shinyanga wala kahama ila nipo neutral miji yote naijua vizuri.Ukiongelea mzunguko wa pesa hapo tupo pamoja lakini mengine bado yana utata.
Kuhusu kupanda hadhi ya manispaa fungu ndio litaongezwa lakini jua aliwezi kulingana na la Shinyanga.Fatilia bajeti ya mwaka mpya wa fedha unaokuja utaona utofauti mkubwa uliopo.
 
Kuhusu kupanda hadhi ya manispaa fungu ndio litaongezwa lakini jua aliwezi kulingana na la Shinyanga.Fatilia bajeti ya mwaka mpya wa fedha unaokuja utaona utofauti mkubwa uliopo.
Akiwa Town council kambuluza Shy vizuri tu na Dunia inajua, Sasa ni level moja Municipal na bado ana potential ya kutengeneza mapato zaidi ya hiyo Shy kwa nini serikali ishindwe kuwekeza zaidi Kahama kuliko huko Shy ili iweze kuvuna zaidi?

Kahama gari limewakaaa
 
Nimekua nikifatilia mjadala huu kwa ukaribu,ila mkuu wangu uzalendo wako kwa kahama umepitiliza ata mahala pasipo.Kiuchumi na mzunguko wa pesa kahama sawa ila huduma nyingine nakataa,kumbuka shy inajibeba yenyewe bila kutegemea mchango wa madini na biashara ya usafirishaji nk kama kahama.Unatakakuniambia hizo huduma Shinyanga hazipo?Hv unaifahamu Savannah plains(international)School?,Kom schools na nyinginezo kama kina little treasure nk?Hicho chuo.cha afya kahama utalinganisha na chuo Cha afya kolandoto chenye hospital kubwa inayotibu magonjwa mbalimbali na kimebobea kwenye magonjwa yamacho nk mikoa yote hii ya kanda ya ziwa tiba ya macho Bora inapatikana kolandoto.Hospitali ya mkoa tofauti na hii inayotumika sasa Kuna mpya ya rufaa ya kisaa inayojengwa eneo linaloitwa neghezi.Vyuo vipo Kuna Campus ya chuo kikuu Cha biashara Moshi(Mucobs),Kikuu huria,chuo Cha madini,st.joseph collage,musoma utalii collage,na sasa kupo kwenye hatua ujenzi wa chuo kikuu kikubwa.Maji Shuwasa wapo pia Kashwasa wapo ndio wanaohudumua mpaka hapo kahama kupitia Kauwasa,pia wamahudumia miji ya Tabora,igunga,nzega,misungwi,kishapu nk yote kupitia mtandao wake uliopo Shinyanga na ndio Hq.Kuhusu barabara uwezi kulinganisha ata kidogo ata barabara za molam za vichochoroni kati ya Shinyanga na kahama.Ujenzi wakubadili mji umeanza kasi kwa mwaka huu tu 2021 Kuna projects zaidi ya kumi ya majengo makubwa ya maghorofa inayoendelea na mingine ikiwa katika hatua ya awali.
Hutu tu miji uchwara twa kichuuzi ni tatizo Sana,huko kote ni mbali mwambie akuoneshe barabara za Kahama ni kituko afu ni chache Sana kulinganisha na Manispaa ya Shinyanga.

Hako kakahama kujaa tu ma Gesti ya kupigania miti basi kanaona kameendelea wakati hata hospital hakuna.

Kuna Kakijiji kengine ka Makambako basi kanajipiga kifua eti kulingana na Njombe HQ Kisa kamejaa Magodown ya mitumba, yaani vitoto vikibalehe ni shida sana mkuu.
 
Hutu tu miji uchwara twa kichuuzi ni tatizo Sana,huko kote ni mbali mwambie akuoneshe barabara za Kahama ni kituko afu ni chache Sana kulinganisha na Manispaa ya Shinyanga.

Hako kakahama kujaa tu ma Gesti ya kupigania miti basi kanaona kameendelea wakati hata hospital hakuna.

Kuna Kakijiji kengine ka Makambako basi kanajipiga kifua eti kulingana na Njombe HQ Kisa kamejaa Magodown ya mitumba, yaani vitoto vikibalehe ni shida sana mkuu.
Nafurahia Tarafa ya Makambako ikiendelea na vijiji vyake vikiendelea maana Njombe ni yetu sote ushindani wa Njombe na Makambako ndio chachu ya maendeleo ya Mkoa wetu,siku za nyuma ilikua ni ngumu kwa tajiri wa Njombe/Makambako kuwekeza upande wa pili lakini Sasa nitofauti watu wamakambako wanzidi kuelekea Njombe mjini kuongeza na kukuza biashara.Njombe itabaki kua Mji muhimu Nyanda za juu kusini.
 
Nafurahia Tarafa ya Makambako ikiendelea na vijiji vyake vikiendelea maana Njombe ni yetu sote ushindani wa Njombe na Makambako ndio chachu ya maendeleo ya Mkoa wetu,siku za nyuma ilikua ni ngumu kwa tajiri wa Njombe/Makambako kuwekeza upande wa pili lakini Sasa nitofauti watu wamakambako wanzidi kuelekea Njombe mjini kuongeza na kukuza biashara.Njombe itabaki kua Mji muhimu Nyanda za juu kusini.
Kwa nini ilikuwa hivyo?
 
Screenshot_20210618-201919_1.jpg
wale wa njombe nn shida apoo soko la Bei mbaya afuu wateja Hamna na wafanyabiashara wanazulula njee hawataki kulitumiaa mnafeli wapppp?
 
Back
Top Bottom