Masoko yote mapya yanashida sababu inajulikana sera ya uuzaji holela wa bidhaa ndio sababu,watu wametapakaa mtaani na bidhaa ambako hawalipi ushuru na wanauza popote,tatizo liko nchi nzima nenda Morogoro tatizo,Dodoma tatizo,Bado kutakua na shida kisutu,Magomeni pia.Hivyo kukosekana wateja ndio sababu ya masoko kuyumba.Serikali isipofumba macho masoko yatageuka magofuView attachment 1823017wale wa njombe nn shida apoo soko la Bei mbaya afuu wateja Hamna na wafanyabiashara wanazulula njee hawataki kulitumiaa mnafeli wapppp?