Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi idadi ya matawi ya Bank zilizoko Kahama unaweza linganisha na ubaridini (Njombe)?
Kahama mabenki yapo mengi kuliko njombe. ACB, AZANIA, NBC, CRDB, NMB, TPB, hapo hujawaweka akina FINCA na wadogo zake. Kwa hilo tu, Njombe inaachwa mbali. Kimapato, mgodi wa Buzwagi unatema njulu za kutosha. Pia Kahama ni center kubwa inayohudumia wafanyabiashara kutoka Rwanda, Burundi na Uganda, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Katoro, Nzega, Geita, Simiyu na Ushirombo.
 
Kahama mabenki yapo mengi kuliko njombe. ACB, AZANIA, NBC, CRDB, NMB, TPB, hapo hujawaweka akina FINCA na wadogo zake. Kwa hilo tu, Njombe inaachwa mbali. Kimapato, mgodi wa Buzwagi unatema njulu za kutosha. Pia Kahama ni center kubwa inayohudumia wafanyabiashara kutoka Rwanda, Burundi na Uganda, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Katoro, Nzega, Geita, Simiyu na Ushirombo.
Apoo benki zenye mvunguko mkubwa ni NMB, CRDB na NBC izoo kila Kona zipoo na ukiona sehemu Hamna izoo benk izoo tatu Basi apoo Hamna kitu
 
Apoo benki zenye mvunguko mkubwa ni NMB, CRDB na NBC izoo kila Kona zipoo na ukiona sehemu Hamna izoo benk izoo tatu Basi apoo Hamna kitu
Benki zenye umuhimu izoo tuu tatu izoo zingine sio Sanaa. nasema ivyoo kwasababu hazijachangamka Sana nimetembelea branch zake za apaa dsm zimepoa sanaa
 
Hivi wewe akili yako iko sawa kweli ? Unalinganisha mji wa Kahama ni hicho kijiji cha Njombe ? Hauko serious
unfortunately hakuna mjinga anaeweza kwenda eti kutalii Makambako hayupo wote watakuja nchi ya ahadi Njombe.

Hiyo mandhari na jiografia ndio vinawaleta sasa.

Pia mwambie huyo Msukuma kwamba Njombe ni mkoa wa kimkakati kwa serikali kwa sababu zifuatazo

1.Uta host mabwawa 4 ya kuzalisha umeme ya Ruhudji,Rumakali,Ruhuhu

2.Utakuwa na migodi mikubwa ya Madini ya chuma na makaa ya mawe Liganga na mchuchuma.

3.Mkoa maalumu wa kufundishia teknolojia za Mazao ya chakula,biashara, mboga mboga na matunda baada ya Arusha ndio maana TARI na TAHA wameweka kambi.Soon tunaanza kulima maua.Hata PM alisema watajenga cold Room pale Songwe Airport maalum kwa bidhaa kutoka Njombe

4.Mkoa maalumu wa kuzalisha Mazao ya miti na bidhaa zake sanjali na wailaya za Mufindi na Kilolo.

5.Ni mkoa wenye nguvukazi ya wachapa kazi

Kwa kuzingatia hayo ndio maana serikali inafungua barabara pande zote zakutoka na kuingia Mkoa wa Njombe tena zinajengwa kwa asphalt na zege tofauti na mikoa mingine mizee.

Cha kukuongezea na wewe ni kwamba shughuli zote hizo zitakuwa centered mkoani yaani mjini Njombe.

Sasa mkoa/Mji kama huu huwezi linganisha na hivyo Vimiji uchwara vya wachuuzi kama Kahama, Makambako, Tunduma nk
 
Huku ndio kutojiamini yaani hadi vituo vya mafuta ni maendeleo
We ndo huelewi kitu Sasa hivyo vihotel uchwara vinautofauti gani na uwekezaji wa visima vya mafuta na kumbuka huu uwekezaji wa visima vya mafuta na gorofa pia unasidia kubadilishana madhari ya mji
 
Kahama mabenki yapo mengi kuliko njombe. ACB, AZANIA, NBC, CRDB, NMB, TPB, hapo hujawaweka akina FINCA na wadogo zake. Kwa hilo tu, Njombe inaachwa mbali. Kimapato, mgodi wa Buzwagi unatema njulu za kutosha. Pia Kahama ni center kubwa inayohudumia wafanyabiashara kutoka Rwanda, Burundi na Uganda, Mwanza, Shinyanga, Kigoma, Katoro, Nzega, Geita, Simiyu na Ushirombo.
Kaka utamua maana njocoba tu ilisha kufa
 
Mkuuu miradi ya maji kila Kona ipoo ya kutoshaa Hamna sehemu ambako hakuna mladi wa maji na kuhusu hospitali hataa ss kunahospitali ya halmashauri majengo 7 yamepolomoshwa pale mlowa na kuhusu barabara ya lupembe iyoo asilimia kubwa inawanufaisha watu wa lupembe na ifakara usafili utaimalika maeneo yaoo
Hebu aangalie mradi unaofadhiliwa na India kati ya njombe na makambako wapi wamepewa Pesa nyingi makambako tc billion 41 njombe bl 28 Sasa wapi kutasambazwa zaidi anaongea nn huyo
 
Haya soma mradi wa maji huo
FB_IMG_16233864424876950.jpg
 
We ndo huelewi kitu Sasa hivyo vihotel uchwara vinautofauti gani na uwekezaji wa visima vya mafuta na kumbuka huu uwekezaji wa visima vya mafuta na gorofa pia unasidia kubadilishana madhari ya mji
Hajaelewa maana ya maendeleo ya mjii m nakwambia tunaangalia na mazingira au muonekano wa mjii na sheli, magorofa vyote ivyoo vinaleta manzari nzuri ya mjii ye anafikili mapato tuu ndo yanatabili maendeleo ya mji Kati hata dodoma imeizidi mwanza kimapato lakini huwezi ukailinganisha na mwanza. Mwanza bado ipo mbali
 
Huyo si haelewi kitu anjiongeleaga tu anajiua makambako ndo ya miaka ile
 
Na makambako Kuna benk mpya ambayo njombe haipo ni letshego bank
Atamuuwa kweli amwache apambane na makambako alietuzidi benki moja tuuuu mkombozi Bank nayoo wameijenga kwasababu ni jimboni s benki ya kanisa iyooo
 
Back
Top Bottom