



unfortunately hakuna mjinga anaeweza kwenda eti kutalii Makambako hayupo wote watakuja nchi ya ahadi Njombe.
Hiyo mandhari na jiografia ndio vinawaleta sasa.
Pia mwambie huyo Msukuma kwamba Njombe ni mkoa wa kimkakati kwa serikali kwa sababu zifuatazo
1.Uta host mabwawa 4 ya kuzalisha umeme ya Ruhudji,Rumakali,Ruhuhu
2.Utakuwa na migodi mikubwa ya Madini ya chuma na makaa ya mawe Liganga na mchuchuma.
3.Mkoa maalumu wa kufundishia teknolojia za Mazao ya chakula,biashara, mboga mboga na matunda baada ya Arusha ndio maana TARI na TAHA wameweka kambi.Soon tunaanza kulima maua.Hata PM alisema watajenga cold Room pale Songwe Airport maalum kwa bidhaa kutoka Njombe
4.Mkoa maalumu wa kuzalisha Mazao ya miti na bidhaa zake sanjali na wailaya za Mufindi na Kilolo.
5.Ni mkoa wenye nguvukazi ya wachapa kazi
Kwa kuzingatia hayo ndio maana serikali inafungua barabara pande zote zakutoka na kuingia Mkoa wa Njombe tena zinajengwa kwa asphalt na zege tofauti na mikoa mingine mizee.
Cha kukuongezea na wewe ni kwamba shughuli zote hizo zitakuwa centered mkoani yaani mjini Njombe.
Sasa mkoa/Mji kama huu huwezi linganisha na hivyo Vimiji uchwara vya wachuuzi kama Kahama, Makambako, Tunduma nk