Mwajombe jr
Member
- May 20, 2021
- 84
- 57
Apoo wanasafari ndefu itabidi wapunguze kata ili vijiji vipunguee bila hivyoo itakua ni manispaa yenye vijiji vingi Tz nzima na manispa nyingi zina eneo dogoo makazi tuu ya watu yamejaa tusubili tuone kiongozi yupi ataitangaza kuwa manispaaa wajiandae kisaikolojia asije akawaumbuaaVijiji vingapi nani anstaili kiutwa Kijiji kikubwa
View attachment 1813700