New project yenye zaidi ya ekari mbili ndani ya mtaa wa general ndani ya mk tc
New project yenye zaidi ya ekari mbili ndani ya mtaa wa general ndani ya mk tc
Mkuu viwanda vinaajili watu wengi kwasababu unakuta kimechukua ekari2 watu zaidi ya Mia wameajiliwaa ila kwenye kilimo natumia trekta tuu hainahaja ya kuajili watu wengi kwaiyo wengi watakua hawana ajiraSie tunaoanzisha mnyororo wa thamani ndio tunapata pesa za moja kwa moja na tuko wengi kuliko wachache wanaoajiriwa kwenye viwanda na vikodi vichache vinavyolipwa na kiwanda.
Nije nifanye nini huko uswekeni ?Mara yako mwisho kufika Njombe ni lini?
Uswekeni Tena duuuNije nifanye nini huko uswekeni ?
Ila Kahama kuzuri bwana tuacheni masiharaKahama (GOLD) Municipal Council. Tumemaliza ofisi, sasa tukamilizie Hospital yetu, stand kuu na kisha tuanze barabara zote za mitaaView attachment 1806968
Na bado kuna faida ya kuongeza mzunguko wa Pesa watu watawekeza majengo ya kibiashara pia vina saidia kutambulisha mji kimataifa zaidi kupitia bidhaa zake wanazo zalisha mfana viwanda vya madawa makambako vita u brand mji kimataifa zaidi na kuongeza fedha za kigeni na wageni kuongezeka kutoka nchi za SADC ndo maana wameamua kutafuta hata eneo la kujenga uwanja wa ndegeMkuu viwanda vinaajili watu wengi kwasababu unakuta kimechukua ekari2 watu zaidi ya Mia wameajiliwaa ila kwenye kilimo natumia trekta tuu hainahaja ya kuajili watu wengi kwaiyo wengi watakua hawana ajira
Wewe ajira za vibaruani za wahindi ndio ajira hizo? Kuchuma chai au pareto na viwanda vyenu hivyo uchwara nani wanaajiri watu wengi?viwanda vinaajili watu wengi kwasababu unakuta kimechukua ekari2 watu zaidi ya Mia wameajiliwaa ila kwenye kilimo natumia trekta tuu hainahaja ya kuajili watu wengi kwaiyo wengi watakua hawana aji
Viwanda ndivyo vinavoajili watu wengi mjini
Halo kaofisi ka Halmashauri ndio kamekushushua? Pole Sana uwe unasafiri kupata exposureIla Kahama kuzuri bwana tuacheni masihara
Uje kufanya nini wakati huna pesa ,una pesa za wachuuzi ambazo huku hazitumikiNije nifanye nini huko uswekeni ?
Endeleeni kukua sisi tunafukuzia kuwa Manispaa tayari DCC imepitisha,hatui ifuatayo ni RCC na hatimaye Wizarani.zimeanza kauli za kuokoteza Hizo project zipo jilan jilani sana sio Kama njombe mzee wazee wa kuokoteza
na bado project zinaendeleaa
Acha mawazo utopolo ww hivi Nan asiye ijua historian ya njombe na makambako njombe ndo ili bebwa toka 2005 makambako ilisha wazidi nyie wamashambani ndo maana hata population yenu ilikuwa chini 2007mkaamua kuunganisha tarafa mbili wakati makambako 2010 walipo omba rcc enzi hizo mkoa wa iringa ilikuwa imesha kidhi wakaambiwa wasubili mchakato wa kugawa mkoa nao watatangazwa hpo2 na ikawa hivo fatilia historia watu tunaifahamu sana hii miji na ndo maana mji wa njombe una vijiji vingi walilazimishia population ilikuwa chini kwa kudhibitisha angalia population ya rural na urban ilivo sio unaongea kitu ambacho hujui ya miaka miwili ya kuongeza kimapato unaona ni kila mwaka fatilia vizuriEndeleeni kukua sisi tunafukuzia kuwa Manispaa tayari DCC imepitisha,hatui ifuatayo ni RCC na hatimaye Wizarani.
Vigezo vyote tumekidhi kuanzia mapato ya ndani,makao makuu ya mkoa,kuwepo viwanda,idadi ya watu na mpango kabambe wa matumizi bora ya ardhi.
Changamoto ndogo ndogo ni kuimarisha barabara na kuhamasisha watu kuishi kimanispaa kama kutenga maeneo ya ujenzi nk kwa kufuata hadhi ya kimakundi .
Before 2025 Njombe inakuwa Manispaa na tutazidi kupiga gap hicho kijiji chenu.
Sasa nyie Makambako hata hadhi ya Mji mlipendelewa tuu maana ukitoa ruzuku ya bilioni moja inayotolewa na Serikali kuu kwa Halmashauri za miji mnaishia kupata 1.2 bln tuu sasa hata kujitegemea bado Sana wakati wenzenu tuna wastani wa 4.5 bln na ukiweka ruzuku ya Serikali Unapata 5.5bln..
Usikalili viwanda vya kilimo tu viwanda ni chachu ya maendeleo eneo husika najua hili Jambo watu wa njombe linawatesa polen tutaendelea kuja kununua mashambaWewe ajira za vibaruani za wahindi ndio ajira hizo? Kuchuma chai au pareto na viwanda vyenu hivyo uchwara nani wanaajiri watu wengi?
Naunga mkono viwanda pale tuu vinapotumika kama soko kwa bidhaa za kilimo
Nije nifanye nini huko uswekeni ?
Nije nifanye nini huko uswekeni ?