Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Siongei porojo soma hiyooSasa mtashinda na makambako ambayo tayari zahanati wamesha Jenga kila Kona kaka huna jipya kwa makambako
Siongei porojo soma hiyooSasa mtashinda na makambako ambayo tayari zahanati wamesha Jenga kila Kona kaka huna jipya kwa makambako
Kila Kona wapo ilaa Kuna kuzidiana uwekezaji wa viwanda huwezi linganisha na uwekezaji wa mashambaInferiority complex..njaa tuu huko uwekezaji gani? Wapi ambako hakuna uwekezaji?
Na huu ni wa mashamba?Kila Kona wapo ilaa Kuna kuzidiana uwekezaji wa viwanda huwezi linganisha na uwekezaji wa mashamba


Sawa itawanufaisha lakini sio Sana kwasababu yote iyoo ni miladi ya selikali mfano barabara ya lupembe mkoa mzima wa njombe utanifaika hasa njombe Dc kwasababu kilimita ka zote zinawausu hata ss makambako tutanufaika kwasabu kutakua na Basi toka mk Hadi Moro, mlimba,ifakara na dsm kupitia iyoo njia. Afuu na miladi iyoo ya umeme wote itatunufaisha kwasababu serikali haizalishi umeme kwajili ya njombe mjini tuu ndo Mana umeona watausafirisha kwenda madaba kwaiyoo iyoo miladi haitachochea mapato kivilee
Hiyo ni hospital ya mkoa ongea ya mjiSiongei porojo soma hiyooView attachment 1814075
Hahaha mmekutana wa porini naona mnafarijia na mapori yenu makambako lazima iwaonyeshe MotoKule mbele kuna structures nyingi Sana kali,kuna jengo la ghorofa kama sita hapo halijakamilika
Afu unakuta pimbi mmja kutoka kijiji cha Makambako anakwambia Mji umedumaa,mtu wa hivyo ni wa kupuuza na kumhurumia.
Njombe iko geared kuwa Manispaa afu hao pimbi wanaongea ujinga mara mapori mara vijiji sasa sijui nani anaweza Jenga uwekezaji mkubwa wa majengo ya ghorofa na Hoteli kijijini.
Mbona kwenye kijiji Chao hatuoni kitu zaidi ya guests houses na Magodown?
TBC tuu wametengeneza video Crip ya Ruhudji water falls wanaitangaza ilivyo kali na mandhari yake kila mda,unaweza tune saizi ukaona.
Pimbi wa Makambako atakwambia ni porini,hii tunaita inferiority complex .. Kahama wameshindwa ndio kitakuwa hicho kijiji kikubwa?
Kahama imewazidi mbali huwezi linganisha na mapori hayo usipanic relax tukupe dozi inaoneka na makambako ulikuwa huijui kuwa imesha wapiga gapUnachafua uzi wa ma heavy weight Njombe vs Kahama ,anzisha uzi wa Makambako vs Njombe ndio uweke huo ushuzi wako
Achen kutuletea video za misiba tupieni miradi ya mapato hapaKule mbele kuna structures nyingi Sana kali,kuna jengo la ghorofa kama sita hapo halijakamilika
Afu unakuta pimbi mmja kutoka kijiji cha Makambako anakwambia Mji umedumaa,mtu wa hivyo ni wa kupuuza na kumhurumia.
Njombe iko geared kuwa Manispaa afu hao pimbi wanaongea ujinga mara mapori mara vijiji sasa sijui nani anaweza Jenga uwekezaji mkubwa wa majengo ya ghorofa na Hoteli kijijini.
Mbona kwenye kijiji Chao hatuoni kitu zaidi ya guests houses na Magodown?
TBC tuu wametengeneza video Crip ya Ruhudji water falls wanaitangaza ilivyo kali na mandhari yake kila mda,unaweza tune saizi ukaona.
Pimbi wa Makambako atakwambia ni porini,hii tunaita inferiority complex .. Kahama wameshindwa ndio kitakuwa hicho kijiji kikubwa?
Bado ujenzi wa soko unaendeleaa lazma waisome number vituo vya afya kila mtaa saivvKwa wakazi wa kiumba kituo Cha afya hicho kinaendelea kunoga makambako ni 🔥 kila Kona hatushindani vijiji vingi ss
View attachment 1814572
😃😃😃😃😃😃😃Nani asiye ifahamu njombe hakuna Kijiji utakacho nidanganya njombehuifahamu njombe kumbe
Saiv Hamna mtuu kulala hotelini apoo Njombe yatabaki ka mapambo tuu ludewa nako lami ikikamilika kiasi chake Basi zitaanza kwenda moja kwa moja haina haja ya kulala njombeHizo guest zenu saiz zitalala panya njombe kazi imeanza na bado soon tunaleta za ludewa dar
View attachment 1814579
Unadhani kwa nini serikali isipange hayo huko Makambako?Sawa itawanufaisha lakini sio Sana kwasababu yote iyoo ni miladi ya selikali mfano barabara ya lupembe mkoa mzima wa njombe utanifaika hasa njombe Dc kwasababu kilimita ka zote zinawausu hata ss makambako tutanufaika kwasabu kutakua na Basi toka mk Hadi Moro, mlimba,ifakara na dsm kupitia iyoo njia. Afuu na miladi iyoo ya umeme wote itatunufaisha kwasababu serikali haizalishi umeme kwajili ya njombe mjini tuu ndo Mana umeona watausafirisha kwenda madaba kwaiyoo iyoo miladi haitachochea mapato kivilee

Huku ndio kutojiamini yaani hadi vituo vya mafuta ni maendeleoView attachment 1814533makambako on fire kazi iendeleee
Imejengwa Makambako au? Una matatizo weweHiyo ni hospital ya mkoa ongea ya mji
Wewe ni msemaji wa Kahama au? Weka video za Makambako kama ya Njombe hapaKahama imewazidi mbali huwezi linganisha na mapori hayo usipanic relax tukupe dozi inaoneka na makambako ulikuwa huijui kuwa imesha wapiga gap
Kwan wee tunavyoongelea maendeleo ya mjii unaelewa nn? Maendeleo ya mji tunazungumzia muonekano wa mjii kwaiyoo we huoni Kama izoo sheli zimebadilisha muonekano tofauti na zamani kwaiyoo apaa tunaongelea mabadiliko yanayotokea ktk mjii. S ndo ka magorofa Kwan yanauhusiano gani na maendeleoHuku ndio kutojiamini yaani hadi vituo vya mafuta ni maendeleo
Mkuuu miradi ya maji kila Kona ipoo ya kutoshaa Hamna sehemu ambako hakuna mladi wa maji na kuhusu hospitali hataa ss kunahospitali ya halmashauri majengo 7 yamepolomoshwa pale mlowa na kuhusu barabara ya lupembe iyoo asilimia kubwa inawanufaisha watu wa lupembe na ifakara usafili utaimalika maeneo yaooUnadhani kwa nini serikali isipange hayo huko Makambako?
Soma hiyoView attachment 1814649View attachment 1814650View attachment 1814652