Mwajombe jr
Member
- May 20, 2021
- 84
- 57
Eden ya mapori labda
Edeni ipoo kitulo apoo Njombe mjini Hamna kitu ka sio msimu wa mvua mwendo wa vumbi na tope
Eden ya mapori labda
Mwambie akutumie picha ya luponde au uwemba ka hatujakimbiana umu ndaniView attachment 1815521
Haha eti hili ni jangwa bro umekosa Cha kuongea na hapa ni lyamkena
Tumewazidi mbali sanaaKkkt makambako hata majengo ya ibada tupo far
View attachment 1815515
Kanisa na Rc lipoo mbali na barabara kuu sio wao watu wakijaa lazma wafunge barabara ya songea road eneo dogoo milima tuu imejaaaaTumewazidi mbali sanaaView attachment 1815557
Ikuwa hajui ni wapi huwa tunaita bustan ya Eden kwa vile huwa tunasema mkoa wa njombe kajua njombe pole yake ni kituloView attachment 1815554
Edeni ipoo kitulo apoo Njombe mjini Hamna kitu ka sio msimu wa mvua mwendo wa vumbi na tope
Mwambie akutumie picha ya luponde au uwemba ka hatujakimbiana umu ndani
Sasa kanisa kama hili lipo Njombe mjini kigango cha Nazarethi na yote msanifu ni Fr.Rwebangili,mhandishi Fr.LikiliwikeRc nyingine hii asije akakali akajua ni Kama kwao njombe kanisa limekuwa kitambulisho utadhani round about
View attachment 1815569
Nali fahamu sana Ila kwa makambako yapo mawili Kama hayo Hilo kwenye picha lipo parokia ya ilangamoto jingine lipo mtaa wa uhuru kazi iendeleeSasa kanisa kama hili lipo Njombe mjini kigango cha Nazarethi na yote msanifu ni Fr.Rwebangili,mhandishi Fr.Likiliwike
View attachment 1815806