Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Acha upimbi mkuu Njombe ilikidhi viwango vya kuwa TC toka 2005 na ndipo 2007 ikapewa hadhi rasmi.Acha mawazo utopolo ww hivi Nan asiye ijua historian ya njombe na makambako njombe ndo ili bebwa toka 2005 makambako ilisha wazidi nyie wamashambani ndo maana hata population yenu ilikuwa chini 2007mkaamua kuunganisha tarafa mbili wakati makambako 2010 walipo omba rcc enzi hizo mkoa wa iringa ilikuwa imesha kidhi wakaambiwa wasubili mchakato wa kugawa mkoa nao watatangazwa hpo2 na ikawa hivo fatilia historia watu tunaifahamu sana hii miji na ndo maana mji wa njombe una vijiji vingi walilazimishia population ilikuwa chini kwa kudhibitisha angalia population ya rural na urban ilivo sio unaongea kitu ambacho hujui ya miaka miwili ya kuongeza kimapato unaona ni kila mwaka fatilia vizuri
Jiografia ndio ililazimika kuwa na Tarafa mbili afu ziliwekwa kimkakati Ili tunapokidhi viwango vya Manispaa tusilazimike kuomba Eneo au kuchukua maeneo ya Halmashauri zingine,kwa hiyo waliona akili.
Nyie endeleeni kujikusanya bado mnasafari ndefu Sana,wachuuzi wenzenu Kahama walibebwa na mapato na idadi ya watu sasa sijui hicho kijiji Maskini kitabebwa na nini maana watu wachache na pesa kiduchu.
Sikumbuki kama Njombe TC wakati inapewa hadhi ya Mji ilikuwa na mapato madogo kama ya Makambako,kama ndivyo kueni kwanza sio kupiga makelele baada ya kuota ndevu.


