Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

FB_IMG_16232302026875324.jpg

Cha bati dragon
 
FB_IMG_16232299635349778.jpg

Hizi sio unazo tengenezea chumbani kwako kwaajili ya matumiz yako hapa wanasupply mikoa tofauti

FB_IMG_16232299635349778.jpg
 
Na kiwanda cha nyama kaka ni vile vya kusindika nyama kwenye makopo usikalili katembelee eneo la kihanga pale ujifunze umezoea kuona bucha na machinjio tu
Nyama inaitwaje au bucha ni kiwand a siku hizi 😀 😀 😀 😀 ,taja hizo dawa..gysum hata mimi natengeneza kwangu
Da
 
Mkuuu kwenye idadi ya watu makambako wapo wengi wee cheki population density ya makambako n kubwa kuliko njombe kwaiyoo eneo kubwa ni makazi ya watu tofauti na njombe ambayo mmetuzidi ukubwa Mara tatu lakini population hamjatuzidi Sana nyie eneo kubwa ni mashamba na vijiji
Anaelewa population density inaongea wap kwenye population ya makaz na wapi Kuna mashamba mengi
 
Makambako tc inatengeneza uwekezaji wenye mzunguko wa Pesa mwaka mzima njombe tc inatengeneza Pesa za msimu hapo gap litakuwa mara tatu yake
 
Anaelewa population density inaongea wap kwenye population ya makaz na wapi Kuna mashamba mengi
Screenshot_20210609-153547_1.jpg
mwambie acheki iyoo data population density 125 kwa 47 wap wap huwezilinganisha izoo sehemu ndoo maana tunasema njombee vijiji. Na misitu mingii sanaa
 
View attachment 1813307 mwambie acheki iyoo data population density 125 kwa 47 wap wap huwezilinganisha izoo sehemu ndoo maana tunasema njombee vijiji. Na misitu mingii sanaa
Yan tunavo wambia makambako imesambaa makazi tu wanakuwa wabishi na data zinaonge wamejaza vijiji na mashamba tu ndo et wajilinganishe na makambako😄😄😄😄😄 na figure hiyo Ina jumuisha kuwa makambako ndo mji wenye makazi mengi mkoa wa njombe una shika namba moja
 
Haya Sasa njombe tunavo wambia mapori mengi mna bisha kimkoa mji wenye makazi mengi wa Kwanza ni makambako tc ya pili wangingombe ya tatu ndo njombe tc ya nne ni njombe dc na ya tano ludewa ya sita makete
 
Haya Sasa njombe tunavo wambia mapori mengi mna bisha kimkoa mji wenye makazi mengi wa Kwanza ni makambako tc ya pili wangingombe ya tatu ndo njombe tc ya nne ni njombe dc na ya tano ludewa ya sita makete
Wamesaai iyoo wenyewe wanaangalia idadi ya watu tuu wanging'ombe wamewazidi idadi ya watu hata population density kwaiyoo apoo inamaanisha njombe Tc pupulation yake n ndogoo kuliko wanging'ombe
 
Wamesaai iyoo wenyewe wanaangalia idadi ya watu tuu wanging'ombe wamewazidi idadi ya watu hata population density kwaiyoo apoo inamaanisha njombe Tc pupulation yake n ndogoo kuliko wanging'ombe
Eneo lao kubwa ni poli hata ukiangalia population Ina maanisha makambako Ina wakazi na makazi mengi yaliyo organized kuliko njombe ambapo eneo kubwa ni mapori niliwambia njombe ndo mji wenye mapori makubwa nyanda za juu kusini hebu angalia miji yote ya nyanda za juu kusini utapata jibu tatizo wanapenda kuforce mambo
 
Wamesaai iyoo wenyewe wanaangalia idadi ya watu tuu wanging'ombe wamewazidi idadi ya watu hata population density kwaiyoo apoo inamaanisha njombe Tc pupulation yake n ndogoo kuliko wanging'ombe
Eneo lao kubwa ni poli hata ukiangalia population Ina maanisha makambako Ina wakazi na mengi yaliyo organized kuliko njombe ambapo eneo kubwa ni mapori niliwambia njombe ndo mji wenye mapori makubwa nyanda za juu kusini hebu angalia miji yote ya nyanda za juu kusini utapata jibu tatizo wanapenda kuforce mamb
Eneo lao kubwa ni poli hata ukiangalia population Ina maanisha makambako Ina wakazi na makazi mengi yaliyo organized kuliko njombe ambapo eneo kubwa ni mapori niliwambia njombe ndo mji wenye mapori makubwa nyanda za juu kusini hebu angalia miji yote ya nyanda za juu kusini utapata jibu tatizo wanapenda kuforce mambo
Yani mtu unachukua wilaya nzima Kama ilivyo wangingombe unaita mji alafu unategemea kumaliza tatizo la barabara 😃😃😃😃 si vituko hivyo makambako inaendelea kupeta tu
 
Population density ya miji ya nyanda za juu kusini iringa mc eneo 369km sq ,mbeya jiji 253km sq ,tunduma87.5 km sq ,songea 596km sq ,mafinga 573km sq sasa njombe ndo vituko zaidi ya elfu tatu wakati makambako ni Zaid ya Mia nane yani njombe hawakujifunza kwenye miji iliyotangulia
 
🧟🧟😂😂 kwa vigezo vya njombe na wilaya ya wangingombe inatakiwa iwe manispaa yote
 
Population density ya miji ya nyanda za juu kusini iringa mc eneo 369km sq ,mbeya jiji 253km sq ,tunduma87.5 km sq ,songea 596km sq ,mafinga 573km sq sasa njombe ndo vituko zaidi ya elfu tatu wakati makambako ni Zaid ya Mia nane yani njombe hawakujifunza kwenye miji iliyotangulia
Wewe na washabiki wako ni wajinga kuwa na population density kubwa manake mumelundikana Eneo dogo sasa hapo ni hasara au faida?

Njombe hatujarundikana Eneo dogo tuna Eneo la kutosha.

Hoja ya msingi ni je nani wako juu ya mwenzie kiuchumi badala ya kupiga kelele kama walevi wa ugimbi.

Nataka muweke hoteli kali kama za Njombe,nataka mnipe idadi ya majengo ya ghorofa Kati ya Njombe na hivyo vijiji mlivyosongamana.On top of that nataka mlete Takwimu za mapato Kati ya hivyo vijiji vyenu na Njombe badala ya kulia Lia kama chiriku mara Eneo kubwa mara mapoli nk.

How comes pori linazalisha pesa kuliko Mji? Huoni hiyo sio miji bali vijiji vikubwa?
 
kwa vigezo vya njombe na wilaya ya wangingombe inatakiwa iwe manispaa yote
Siku ukipata akili japo kiduchu hutokaa uandike pumba.

Nataka majibu hapa inakuaje kwenye pori (Njombe TC) kunazalisha pesa nyingi kuliko mjini(Makambako)?

Tunduma ilipata hadhi pamoja na Makambako,wao wanaonesha kwa vitendo kwa kukusanya pesa ya kutosha sasa hapo kwenu Veep? Makambako ni Mji au kijiji kikubwa?
 
Wewe na washabiki wako ni wajinga kuwa na population density kubwa manake mumelundikana Eneo dogo sasa hapo ni hasara au faida?

Njombe hatujarundikana Eneo dogo tuna Eneo la kutosha.

Hoja ya msingi ni je nani wako juu ya mwenzie kiuchumi badala ya kupiga kelele kama walevi wa ugimbi.

Nataka muweke hoteli kali kama za Njombe,nataka mnipe idadi ya majengo ya ghorofa Kati ya Njombe na hivyo vijiji mlivyosongamana.On top of that nataka mlete Takwimu za mapato Kati ya hivyo vijiji vyenu na Njombe badala ya kulia Lia kama chiriku mara Eneo kubwa mara mapoli nk.

How comes pori linazalisha pesa kuliko Mji? Huoni hiyo sio miji bali vijiji vikubwa?
Mkuu makambako imesambaa ndo Mana unaona kata nyingi zipo mjini kasolo tatu na kwa data za 2012 zinaonasha rural na urbani population inaongezeka kwaiyoo haturundikani nyie ndo mmelundikana kata ya njombe mjini na mjimwema
 
Siku ukipata akili japo kiduchu hutokaa uandike pumba.

Nataka majibu hapa inakuaje kwenye pori (Njombe TC) kunazalisha pesa nyingi kuliko mjini(Makambako)?

Tunduma ilipata hadhi pamoja na Makambako,wao wanaonesha kwa vitendo kwa kukusanya pesa ya kutosha sasa hapo kwenu Veep? Makambako ni Mji au kijiji kikubwa?
Mapato sio tatizo Kaka unaweza kuwa na mapato mengi lakini viongozi hawayatumii vizuri ndo tatizo naloliona Apo njombe mfano stendi mpya ilichukua muda mwingi mbaka magufuli kawafosi ianze kazi kwaiyo viongozi wenu n tatizoo ilooo kwaiyoo itabidi ujiulize ayaa mapato tunayopataa yanatumika ipadavyoo
 
Mkuu makambako imesambaa ndo Mana unaona kata nyingi zipo mjini kasolo tatu na kwa data za 2012 zinaonasha rural na urbani population inaongezeka kwaiyoo haturundikani nyie ndo mmelundikana kata ya njombe mjini na mjimwema
Jibu hoja Acha porojo za kusambaa sijui nini.

Huko kusambaa kunasaidia nini kama mnaishia kuwa maskini?

Nimekwambia Tunduma mnayofanana huko kusambaa unapesa nyie veepe?
 
Mapato sio tatizo Kaka unaweza kuwa na mapato mengi lakini viongozi hawayatumii vizuri ndo tatizo naloliona Apo njombe mfano stendi mpya ilichukua muda mwingi mbaka magufuli kawafosi ianze kazi kwaiyo viongozi wenu n tatizoo ilooo kwaiyoo itabidi ujiulize ayaa mapato tunayopataa yanatumika ipadavyoo
Usilete hadithi za kufikirika,Njombe haijawahi pata hati chafu Mapato yote yanatumika ipasavyo

Mapato ya Makambako yako wapi? Hicho si ni kijiji tuu?
 
Back
Top Bottom