Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 743
Khee usinchekshe. tulia wewe kama unanyolewa. kwani wewe si mtu wa kunyolewa tu. Njoo Zenji. Kikwajuni Juu.
He Vipi!
Imekutouch nini??
Don't take it personal.
Khee usinchekshe. tulia wewe kama unanyolewa. kwani wewe si mtu wa kunyolewa tu. Njoo Zenji. Kikwajuni Juu.
Mkuu Zitto umesema vyema sana .Lakini sasa if that is the case kwamba the State was behind and is behind Kagoda leo watu wakimtaja Lowasa then JK hapatakuwa na kosa maana wao ndiyo walikuwa wakubwa ndani ya State ama hapa ni mimi sijaelewa ?
Fisadi Mkapa bado tunakula naye sahani moja mpaka kieleweke kuhusu kujimilikisha Kiwira na kuwashinikiza TANESCO kusaini na mkataba na 'kampuni' yake wa shilingi 326 billioni ambao unamlipa 146 millioni kwa siku. Ule mradi wake wa kuwaleta makaburu wa Net Group ambao uliiacha TANESCO katika hali mbaya zaidi. Ushiriki wake katika ununuzi wa rada ya kifisadi, magari na helicopters za jeshi, ndege ya Rais na pia kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa si ajabu hata kwenye Kagoda kuna mkono wake. Ameshaanza kuwa na wasiwasi hata anazikacha dhifa za kitaifa kama sherehe za uhuru na muungano sijui kama mwaka huu atahudhuria sherehe za kutimiza miaka 47 ya uhuru wa Tanganyika. Bado tunaye huyu mpaka kieleweke.
Watu kama kina Zitto ni wapinzani njaa waliojawa na tamaa tu ya kuwa na madaraka hawana chochote na wala msikubali kudanganyika. Hawa siku zote wanailaumu serikali iliyoko madarakani kwa vitendo vyake kadhaa vya kuwanyima wananchi taarifa za msingi zinazohusu uendeshwaji wa nchi, leo hii Zitto anakuja hapa na kuwalingishia wanaJF kuwa ana taarifa za msingi ambazo wanatamani kuzijua lakini hatawapa!!! Sasa kama hauko tayari kusema unayoyajua ni nani alikwambia uanze kutoa fununu humu, watu wazima hawataki fununu wanataka taarifa kamili, na kama huwezi kutoa hiyo taarifa tutakuchukulia kuwa taarifa hiyo hauna. Huu upinzani njaa njaa ndio unaosababisha ukiritimba wote ulioko Tanzania. Sasa wewe Zitto hutoi hizo taarifa hapa in full kwa kumuogopa nani???anhaa kumbe na wewe huwa unaogopa kutoa taarifa za mambo muhimu kwa wananchi! Je siku ukiwa waziri unaweza kutoa siri za ufisadi unaofanywa na viongozi wa juu wa nchi??? kwa ujumla, wewe na the other so called wapinzani mnakera na kuchefua kwa unafiki wenu.
Watu kama kina Zitto ni wapinzani njaa waliojawa na tamaa tu ya kuwa na madaraka hawana chochote na wala msikubali kudanganyika. Hawa siku zote wanailaumu serikali iliyoko madarakani kwa vitendo vyake kadhaa vya kuwanyima wananchi taarifa za msingi zinazohusu uendeshwaji wa nchi, leo hii Zitto anakuja hapa na kuwalingishia wanaJF kuwa ana taarifa za msingi ambazo wanatamani kuzijua lakini hatawapa!!! Sasa kama hauko tayari kusema unayoyajua ni nani alikwambia uanze kutoa fununu humu, watu wazima hawataki fununu wanataka taarifa kamili, na kama huwezi kutoa hiyo taarifa tutakuchukulia kuwa taarifa hiyo hauna. Huu upinzani njaa njaa ndio unaosababisha ukiritimba wote ulioko Tanzania. Sasa wewe Zitto hutoi hizo taarifa hapa in full kwa kumuogopa nani???anhaa kumbe na wewe huwa unaogopa kutoa taarifa za mambo muhimu kwa wananchi! Je siku ukiwa waziri unaweza kutoa siri za ufisadi unaofanywa na viongozi wa juu wa nchi??? kwa ujumla, wewe na the other so called wapinzani mnakera na kuchefua kwa unafiki wenu.
Yawezekana kwamba Haya ni mashambulizi sahihi lakini yasiyo ya lazima.
Zitto kakanusha kwamba Lowassa hahusi kama mtu binafsi.
Ugomvi wote umeanzia hapo.
Ili kesi inoge wengine tungependa kusikia Lowassa yumo.
Hajamlazimisha mtu kukubali kwamba Lowassa kama Lowassa hayumo kwenye list ya umilikiwa Kagoda.
Mtuhumiwa mwingine katika mada hii Rostamu Bin Azizi yeye bado anabakia kwenye list na anang'aa kweli kweli. Kitendo cha Zitto kumbakiza Rostamu peke yake kwenye utuhumiwa kinaleta kinaelekea kupata upinzani hapa.
Sasa upinzani njaa wa kisiasa unazaliwa vipi?
Kujawa na tamaa kunaingiaje hapa?
Inawezekana Zitto ni mwoga sana, nakubali kwa sababu ameshindwa kusema kila kitu anachokijua.
LAkini Mimi Madela Wa Madilu na wewe ni waoga kuliko Zitto kwa sababu tunaogopa kutumia majina yetu halisi kwenye mtandao, lakini mafundi wa kudhani kuna waoga kuliko sisi tufichao ID zetu.
Kweli Nyani kamwe hataona sehemu anayotumia kukalia. Hii hii hii hii!
Watu kama kina Zitto ni wapinzani njaa waliojawa na tamaa tu ya kuwa na madaraka hawana chochote na wala msikubali kudanganyika. Hawa siku zote wanailaumu serikali iliyoko madarakani kwa vitendo vyake kadhaa vya kuwanyima wananchi taarifa za msingi zinazohusu uendeshwaji wa nchi, leo hii Zitto anakuja hapa na kuwalingishia wanaJF kuwa ana taarifa za msingi ambazo wanatamani kuzijua lakini hatawapa!!! Sasa kama hauko tayari kusema unayoyajua ni nani alikwambia uanze kutoa fununu humu, watu wazima hawataki fununu wanataka taarifa kamili, na kama huwezi kutoa hiyo taarifa tutakuchukulia kuwa taarifa hiyo hauna. Huu upinzani njaa njaa ndio unaosababisha ukiritimba wote ulioko Tanzania. Sasa wewe Zitto hutoi hizo taarifa hapa in full kwa kumuogopa nani???anhaa kumbe na wewe huwa unaogopa kutoa taarifa za mambo muhimu kwa wananchi! Je siku ukiwa waziri unaweza kutoa siri za ufisadi unaofanywa na viongozi wa juu wa nchi??? kwa ujumla, wewe na the other so called wapinzani mnakera na kuchefua kwa unafiki wenu.
Kipindi cha mwisho cha maisha ya Mwalimu, Prof. Haruoub Othman aliwahi kupata baraka za Mwalimu ili aandike biography ya Mwalimu. Bahati mbaya Mwalimu akafariki kabla hilo halijafanyika.
Wakati mwingine umri ni kikwazo cha wazee waliokuwa viongozi kuweza kuandika historia yao ama ya nchi yetu, lakini wakifuatwa simulizi za kusisimua na maelezo yenye manufaa yatabubujika. Wanahitajika vijana wenye nia njema ya kutaka kuwepo kumbukumbu kuhusu viongozi wa taifa letu na historia ya Taifa kwa ujumla wajitokeze kufanya kazi hiyo, tena wajitokeze mapema.
Naamini wakati ule ni Watanzania wachache sana waliowaza kwamba Mwalimu atafariki kama walikuwepo basi walikuwa ni 'wachawi'. Katika vichwa vya wananchi wengi, wazo kwamba iko siku Mwalimu atafariki halikuwepo kabisa! Tumeishapata fundisho kwamba hakuna binadamu aliye immortal. Kwa maana hiyo, ni changamoto kwa wazee wenye nguvu bado na vijana wenye ujuzi na uwezo wa kutafiti na kuandika waanze kuifanya kazi hiyo kwa manufaa ya taifa letu. Wahenga walisema linalowezekana leo lisingoje kesho!
Hivyo wewe una maoni gani? Mhe Zitto. sema. jieleze bwana. Una lipi la mbadala au unafurahia posho tu na wewe!!!!!!!
Watu kama kina Zitto ni wapinzani njaa waliojawa na tamaa tu ya kuwa na madaraka hawana chochote na wala msikubali kudanganyika.
Hawa siku zote wanailaumu serikali iliyoko madarakani kwa vitendo vyake kadhaa vya kuwanyima wananchi taarifa za msingi zinazohusu uendeshwaji wa nchi, leo hii Zitto anakuja hapa na kuwalingishia wanaJF kuwa ana taarifa za msingi ambazo wanatamani kuzijua lakini hatawapa!!! Sasa kama hauko tayari kusema unayoyajua ni nani alikwambia uanze kutoa fununu humu, watu wazima hawataki fununu wanataka taarifa kamili, na kama huwezi kutoa hiyo taarifa tutakuchukulia kuwa taarifa hiyo hauna.
Huu upinzani njaa njaa ndio unaosababisha ukiritimba wote ulioko Tanzania. Sasa wewe Zitto hutoi hizo taarifa hapa in full kwa kumuogopa nani???anhaa kumbe na wewe huwa unaogopa kutoa taarifa za mambo muhimu kwa wananchi! Je siku ukiwa waziri unaweza kutoa siri za ufisadi unaofanywa na viongozi wa juu wa nchi???
kwa ujumla, wewe na the other so called wapinzani mnakera na kuchefua kwa unafiki wenu.
Na hawa ndio watanzania wanaotaka uongozi bora. Kaka uongozi ni dhamana na wajibu. Kama unataka kila kiongozi aseme bila ya kuwa na mstari basi ni wazi uongozi tulionao unakutosha....
Tanzanianjema
Oh yeah, very cogent case in behalf of Lowassa there.
Yani hujasema kwamba hakuna ufisadi wa Kagoda, wala hujasema Serikali haijahusika.
Halafu hujasema Lowassa msafi, na hujasema tumuache Lowassa apumzike.
Umesema tu nyeti zako zinakuonyesha hii ni "state-sponsored corruption." Such an impenetrable defense of him.
Tatizo ni kwamba sisi tunataka kujua who is the state, Katibu Tarafa ?
Zitto na Chadema poleni sana kwa kuingia mtego wa mastermind EL na RA.
The only person who is above the law in TZ is the president and ex presidents whether we like it or not. FACT
EL na RA wanataka sakata la Kagoda limuhusishe mkapa sababu wanajua once mkimtaja Mkapa then issue ya KAGODA inakuwa dead on arrival. Sisemi Zitto ana nia mbaya lakini ameshategeka akidhani Mkapa anahusika Kagoda.
Hapa kuna issue mbili.
issue no.1 State hse waliauthorize serikali itoe baadhi ya pesa kusaidia uchaguzi wa 2005. Kagoda iliundwa na wajanja wa Idara na RA (with his godfather EL on the sidelines) kwa nia ya kuchukua pesa za uchaguzi plus pesa za kwao binafsi kupitia mgongo wa uchaguzi wa 2005.
Issue no.2 Kagoda in totality waliibia BOT pesa, lakini Kagoda nayo iliibiwa pesa na RA, EL na wengine ambao siwezi kuwataja but U can read btn the lines ( trust me the syndicate will delete few lives in the comes months, no question about it).
Sasa Zitto anaporukia vitu eti Kagoda inamuhusisha Mkapa anafall kwenye target ya syndicate sababu once ukimuweka Mkapa then the issue is dead, itabaki kelele barabarani. Mkapa akupata hata senti moja ya Kagoda, na kamati ya Mwanyika ina taarifa kamili kama Zitto akiweza kuzipata.
Mirambo, Caspian, Peter Noni, 16%, 19%, 35%, RA, EL, Vodacom, DG, 12.5 billion election 2005.
Ni hayo tu.
Kuhani, nadhani utakuwa humtendei haki Zitto katika hili. Tumeshaona hata kwa wenzetu walioendelea kwenye mahojiano yao na waandishi wa habari njinsi wanavyoweza kukwepa maswali ambayo huleta direct confrontation baina yao na waajiri. Sisi kama wananchi ni waajiri wa wabunge, lakini ili wawe wabunge ni lazima wale viapo ambavyo vitathibitisha maadili ya kazi zao kama vile ambavyo inatakiwa kuwa kulingana na miongozo tuliojiwekea sisi wananchi - Katiba.
Sasa kumlazimisha kiongozi kutamka maneno fulani ambayo yatafurahisha jamvi na kumfanya awe shujaa kwa dakika chache za JF hali zitakazo mfanya asiweze kuwakilisha wananchi wa jimbo lake kwa kipindi kisicho julikana, huko ni kutomtendea haki. Tukubali kwamba ameshataja mengi ambayo hamna kiongozi mwingine ameweza kutaja tayari kuhusiana na swala hili na kwenye thread hii.
Je, tuwe watu wa kulazimishana tu katika kila jambo, kwa kuchukulia kila neno linaloandikwa iwe kimakosa au bila makosa kwa dhati kwenye mtandao kama tamko la katiba? Hapana, huu utakuwa unyanyasaji wa kimtandao (cyber bullying). Jambo ambalo wote naamini tungependa kuepukana nalo. Tuko kwenye majadiliano ndugu yangu, basi pale mtu anapoenda mrama/mlama asihukumiwe jumlajumla. Ni mawaidha yangu, ahsante.
SteveD.
Oooooooh kuhani kidole na jicho,mimi mtu mdogo sana ktk uongozi(joke)
Sidhani kama unahitaji kufahamu jina la mchangiaji ili uweze kujua uzito wa hoja yake.
.......Mkuu Moelex23....duuhh.......naona Mh Zitto kasahau kulikuwepo na kitu kinaitwa "MTANDAO"..........nini nafasi ya EL ndani ya mtandao......ukisema mastermind ya mchezo wa EPA.......EL ni jina la juu kabisa.........
.....Nakubaliana na Mh Zitto kuwa.....kesi ikiunguruma ya Kagoda.....kwa mazingira ya mchongo ulivyokuwa......itakuwa ni vigumu sana kumtia EL hatiani............lakini ukweli utabakia kuwa EL naye alitufisadi ndani ya EPA........
Wana JF, tukirogwa kutumia argument ya Zitto ya "state sponsored", tutashindwa kujibu maswali mengi