Kagera: Rais Magufuli kuzindua Shule ya Sekondari Ihungo iliyokarabatiwa kwa Tshs Billioni 10.9

Shughuli hiyo muhimu itafanyika kesho Jumatatu Januari 18, 2021na kuonyeshwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari

Shule ya Sekondari ya Ihungo iliyopo mjini Bukoba Mkoani Kagera iliharibiwa kufuatia tetemeko la ardhi la Septemba 10, 2016
Rais kamchagua nani? sema ukweli wa Mungu!
 
Shughuli hiyo muhimu itafanyika kesho Jumatatu Januari 18, 2021na kuonyeshwa moja kwa moja na vyombo mbalimbali vya habari

Shule ya Sekondari ya Ihungo iliyopo mjini Bukoba Mkoani Kagera iliharibiwa kufuatia tetemeko la ardhi la Septemba 10, 2016
Huku Magufuli huku Al Bashiru

Mafisadi Wamekutana Wanajenga tu kwao
 
shule itakua na madarasa ya underground haki ya mungu tena,sio bure bure asee
huko undergroud ndiko kuna uwanja wa mpira, ila ukweli ni kuwa hiyo shule imerudiwa upya na wala sio ukarabati kwa haraka naona nyumba 20 za walimu zenye uwezo wa kubeba familia 40 ( 2in 1)
 
JAMANI HAPO SIO #CHATO, NI BUKOBA...NI YONA

Mambo hayo Dkt. Magufuli tutamkumbuka Sana uongozi unaoacha Alama kubwa, hatari kiukweli anastahiri pongezi kubwa mnooo.

Muonekano wa Shule ya Sekondari ya wavulana Ihungo iliyoko mjini Bukoba inayotarajiwa kuzinduliwa na Rais Dkt. Magufuli tarehe 18 Januari, 2020.

Shule hiyo imefanyiwa ukarabati uliogharimu shilingi Bilioni 10.9 baada ya kuharibika kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea mjini Bukoba tarehe 10 Septemba, 2016.

FB_IMG_1610906556601.jpg


FB_IMG_1610906632230.jpg


FB_IMG_1610906638698.jpg


FB_IMG_1610906644650.jpg


FB_IMG_1610906652248.jpg
 
Hii shule inazinduliwa upya?

Rais amekosa kazi za kufanya.

Leo serikali ikifanya ukarabati wa majengo ya taasisi zake rais anaenda kuzindua? Aisee.

Halafu atasema ni pesa za ndani wakati ni pesa za rambirambi na za wafadhili.

Ccm hata mkipewa miaka 900 hakuna kitu mtafanya.

Sasa mnaanza kuzindua vitu mara mbili mbili.
 
Kwa hiyo ile michango ya watu kusaidia wahanga wa tetemeko ndio imejenga shule?

Ama pesa za mfuko wa maafa zinazotengwa kila mwaka kwenye bajeti ya serikali ndio zimejenga shule?

Ama ni pesa za serikali zilizotengwa kukarabati shule kongwe mbalimbali nchini ndio zimejenga shule?

Kipi ni kipi haswaa.
 
Back
Top Bottom