Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
siamini kama rwanda leo hii wametusaliti kias hichi na kutusahau kwa wema tuliowatendea.
 
naanza kujua kwanin OBAMA alikuja tz na c ungand. KAGAME go UMEUWA wengi hata watusi waliokupinga hukuwaacha waishi?!!!
 
Kagame is very right, kama jamaa ni MNYONGE, HIT HIM UP...

Mbona huku mitaani ipo sana wale jamaa wanyonge wanamegewa wake zao kila siku. Wala sishangai mimi Kagame kutaka kum_Hit Kikwete, its human nature kumdharau mnyonge. Sisi tumejidhalaulisha mno kwa kutembeza bakuli dunia nzima kuomba misaada hadi majirani wanaona tu wanyonge na dhaifu. Hata Simba mgonjwa na dhaifu huvutwa sharubu tu na kukaa kimya.

Hata kama baba ako ni ombaomba kamwe usikubali,au kushuhudia akitukanwa na kutishwa na -------- kama huyo,pambana nae mpaka ashike adabu.
 
sikujua kama kama watanzania tunamfahamu huyu mpuuzi kagame kiasi hiki'naona lazima atapelekewa taarifa na wembamba wenzake nini kinaendelea Jf mida hii'pumbafu kabisa
 
huiwezi tanzania

msimdharau huyu dikteta.anajua anasema nini?amepenyeza watusi kila ofisi nyeti nchi hii.watusi walifika mahali wakasema wanatawala tanzania.wakati huo jk alikuwa forein affairs.nakumbuka jk aliulizwa bungeni claims hizi alikataa.mtusi anatawala drc.watusi walitumia rasilimali zetu kumwandaa josee kabila hapa tanzania.laurent kabila alitumika kama boya.jk anajua hili?watusi walitumia rasilimali zetu kuingia rwanda.jumuia ya afrika mashariki inasemekana ni bahima empire.watanzania wanashangaa mikataba inasainiwa tu.unaweza kufikiri dikteta kagame anaota.kama kuna mtusi sehemu nyeti majeshini,police,uwt n.k kwa nini asiwe na ujasiriwa kusema atampiga jk??watusi wamevamia mkoa wa kagera hawachukuliwi hatua.kwa nini?wamekuwa wakifanya hata mauaji.hili la kumdhalilisha kiongozi wetu linawaudhi sana wananchi.
 
simpendi kikwete lakini ni rais wa nchi yangu huyu -------- kagame hawezi kututisha jk we r together kwa hili.
 
Hapa ndo namwonaga Ben Membe kama shujaa na jasiri na mwenye kichwa manake mambo kama haya amgekuwa ndiye presida angesha yajibu
 
Mnamtetea nini huyo msema hovyo wa chalinze? Aliyewaambia kagame ana bifu na watz nani? Kwama kauli za ------ nazo hazina hekima wala staha. Again he is a mediocre leader of tz.
Na wewe ni mtutsi inaonekana. Unajua alichokisema Mh Kikwete au unaropoka tu? Be yourself, grow up and be patriotic; otherwise go back to rwanda. You are not welcome here, in Tanzania
 
kagame ufite vibhazo mu mutwe wawe, urashize twebwe batanzania, we r not week as u think. calm down u terrorist we knw u
 
silence is the best answer ! bora jk wetu ajinyamazie hamna haja ya kuanzisha ligi baina ya maraisi wetu!! ndo sasa mtaiona tofaut kati ya tanzania na nchi zingine!! i salute u dr kikwete!!
 
Siku zote ukiona mtu mzima anaongea upumbavu mbele ya media au watu dhidi ya kiongozi mwenzake ujue ana matatizo.

Rwanda ni kama sisimizi kwetu, kama anazungumzia vita Tanzania inaweza kuichukua rwanda na kuifanya wilaya kama biharamulo tu.

This idiot must be stopped now.

Kagame ni muuaji na --------, huwezi kukataa kumaliza matatizo na adui yako hata uwe nani labda tu uamini kuwa unaweza kuwaua wote ubaki peke yako. Leo tunaona marekani yenye uwezo wa kuwamaliza kabisa Taleban imekubali kukaa chini na kuongea nao sembuse Rwanda na interahamwe ambao ni wahutu na Rwanda ni nchi yao?

Wacha upuuzi wenu. Huyu Bwana yuko sahihi kabisa. Wabongo mnaacha taabu zenu nyumbani mnaaza kuvamia nyumba zisizo wahusu. Kagame kaipaisha Rwanda mpaka dunia yote inashangaa licha ya nchi hiyo kukumbwa na matatizo lukuku, kuwa na raslimali kidogo , nchi ndogo na watu wengi na inapiga hatua za hajabu
Waswahili ni umbea mtupu , linchi kubwa na utajiri lukuku lakini ni ombaomba hata matundu ya choo tunasubili kuomba.
Rais wetu kila kukicha kiguu na njia . Ukiona mke anazurura kwa majira kila wakati , wee subiri timbwili linalokutazama
Watz Rwanda inawahusu nini , walipochinjana nyie mlikuwa wapi. ? Acha wafu wazike wafu wenzao sisi haituhusu
Mtazodolewa na uzururaji wenu
 
mkuu rushasha, nakuunga mkono watusi wote kwao now is for our nation, hatuko tayar kuchezewa na ghaidi KAGAME
 
Pumbafu Kagame.

Hit Kikwete. Tanzania huiwezi. Hiyo Rwanda yako Tanzania ni mkoa tu.
:
---- wewe!
Ukubwa wa pua siyo wingi a kamasi. Hivi unafahamu Uingereza ina ukubwa gani??? Je TZ inaweza kushindana na Uingereza??? Please stretch your brain a little bit more and think properly ndugu.
 
Siku zote ukiona mtu mzima anaongea upumbavu mbele ya media au watu dhidi ya kiongozi mwenzake ujue ana matatizo.

Rwanda ni kama sisimizi kwetu, kama anazungumzia vita Tanzania inaweza kuichukua rwanda na kuifanya wilaya kama biharamulo tu.

This idiot must be stopped now.

Kagame ni muuaji na --------, huwezi kukataa kumaliza matatizo na adui yako hata uwe nani labda tu uamini kuwa unaweza kuwaua wote ubaki peke yako. Leo tunaona marekani yenye uwezo wa kuwamaliza kabisa Taleban imekubali kukaa chini na kuongea nao sembuse Rwanda na interahamwe ambao ni wahutu na Rwanda ni nchi yao?

............Kwani kakuambia anataka vita na Tanzania au anataka kum-hit Kikwete?. Kama ishu ni Tanzania basi hapo o.anajidanganya ila kama wana ugomvi wao wenyewe Kagame na JK hapo nawaacha tu wa-hit-ane, we never know unaweza kukuta wanagombea zigo coz Baba Mwanaisha nae aelewekagi hata kidog
 
Siku zote ukiona mtu mzima anaongea upumbavu mbele ya media au watu dhidi ya kiongozi mwenzake ujue ana matatizo.

Rwanda ni kama sisimizi kwetu, kama anazungumzia vita Tanzania inaweza kuichukua rwanda na kuifanya wilaya kama biharamulo tu.

This idiot must be stopped now.

Kagame ni muuaji na --------, huwezi kukataa kumaliza matatizo na adui yako hata uwe nani labda tu uamini kuwa unaweza kuwaua wote ubaki peke yako. Leo tunaona marekani yenye uwezo wa kuwamaliza kabisa Taleban imekubali kukaa chini na kuongea nao sembuse Rwanda na interahamwe ambao ni wahutu na Rwanda ni nchi yao?

Some symptoms of mental illness:

  • Overwhelmed by fear or worry
  • Depressed mood
  • Confused thinking
  • Trouble dealing with stress
  • Suicidal thoughts
  • Severe anxiety
  • Problems sleeping
  • Distance from friends and family
  • Paranoia
Mwenzenu naona kama Mzee Kagame kimeshaanza.Huwa kinaanza hivi hivi!

Look at this fool.Ajaribu aone jinsi watanzania tutakavyoungana kumfunza adabu and dump him huko lake Tanganyika.Na sisi tumekua wapole mno maana mimi ningemuonyesha cha moto.Hakuna cha intetnational community!

Mimi nitaangalia kwa hadhari kidogo;
- Kwanza itabidi nijiridhishe kama kweli kauli hii imetoka mdomoni kwa Kagame na kama alikuwa anamaanisha Kikwete
- Pili Kagame ana Maadui wengi sana ambao wangependa Tanzania ipambane nae kwa niaba yao
- Tatu Kagame simchukulii kama ni mjinga kwa kuzaliwa; alivyokuwa na mazungumzo ya faragha na Museveni na Uhuru lazima aliomba msaada wa Kijeshi ikiwa atavamiwa, na kama kweli kauli hii aliitoa baada ya mkutano ule ni kwamba Tanzania kama kwa bahati mbaya ikifikia hatua ya kupambana na Rwanda kwasababu zozote; ijiandae kupambana na majeshi ya Rwanda, Uganda na Kenya kwa pamoja

Nafikiri Watanzania wenzangu tupunguze munkari na tutumie akili; tumekwenda Kongo kwa maombi ya umoja wa Mataifa ili kusaidia wenzetu wapate Amani, na si kugombana na Rwanda wala yeyote

Tuwe waangalifu kidogo na kauli zetu ndugu zangu, Rwanda wala Kagame si adui yetu.

"NEVEL LET PEOPLE KNOW WHAT YOU ARE THINKING" nimemquote Michael Coleone (THE GOD FATHER)
 
J.K amekurupuka na kauli zake, amemuhusisha Kagame na Waasi direct bila kuelewa wale waasi wanasupport kutoka nchi za ulaya, china na America.
Pale Congo ni kamchezo tu kanachochezwa na nchi za magharibi, J. K kukaa na Kagame, Kaguta Kabila hakutasaidia vita kuisha kwa sababu wote hawa wanalijua hili na ndiyo wanaoshirikiana na nchi za nagharibi
 
Huu ni ugomvi binafsi wa kagame na kikwete,kiherehere cha kikwete kimemponza. Pili watanzania tusifikiri tunaweza kuipiga rwanda eti kwa kigezo cha udogo wa eneo lake,tukumbuke miaka ya sitini vietinam nchi ndogo kijiografia iliipa kipigo nchi kubwa ya marekani. Kiburi cha watanzania ni ushindi iliopata mwaka sabini na nane dhidi ya idd amin. Tunasahau kuwa ushindi ule ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na uongozi makini wa mwalimu nyerere. Uongozi wa kikwete ni dhaifu mno.
 
Rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote Tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa Tanzania ni kama Congo!

Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya ukubwa wa eneo na mbinu za kivita. Kama ndo hivyo Israeli isingekuwa nchi tishio kivita hapa duniani kulingana na eneo lake. So nadhani msemo wa kubwa jinga unaweza kuwa na maana at times.
 
Siku zote ukiona mtu mzima anaongea upumbavu mbele ya media au watu dhidi ya kiongozi mwenzake ujue ana matatizo.

Rwanda ni kama sisimizi kwetu, kama anazungumzia vita Tanzania inaweza kuichukua rwanda na kuifanya wilaya kama biharamulo tu.

This idiot must be stopped now.

Kagame ni muuaji na --------, huwezi kukataa kumaliza matatizo na adui yako hata uwe nani labda tu uamini kuwa unaweza kuwaua wote ubaki peke yako. Leo tunaona marekani yenye uwezo wa kuwamaliza kabisa Taleban imekubali kukaa chini na kuongea nao sembuse Rwanda na interahamwe ambao ni wahutu na Rwanda ni nchi yao?

Onyesheni vitendo nyumbani.
tunataka uchaguzi huru na wa haki katika viti vitano katika manispaa ya Arusha hama sivyo hamna haki ya kumnyooshea kidole Kageme.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom