Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Nachelea....kusema. Akilini nimeikumbika story moja kwenye Bible inayohusiana na jinsi Wana-waisrael wakiwa na Kamanda wao Yoshua walivyo uangusha mji mkubwa wa Yeriko lakini wakapigwa na ka-mji kadogo sana kaliko itw Ai. Uovu ukiendelea sana katika nchi yetu si ajabu 'Ai' ikatufanya tujute. Tainzania siki: Saa ya Kupimwa kwako inakuja. Kipindi kile cha 'Yeriko' ulisimama na HAKI ukashinda maana mwenye haki alikusaidia. Majira haya..."JITAZAME UPYA".
 
Nachelea....kusema. Akilini nimeikumbUka story moja kwenye Bible inayohusiana na jinsi Wana-waisrael wakiwa na Kamanda wao Yoshua walivyo uangusha mji mkubwa wa Yeriko lakini wakapigwa na ka-mji kadogo sana kaliko itw Ai. Uovu ukiendelea sana katika nchi yetu si ajabu 'Ai' ikatufanya tujute. Tainzania siki: Saa ya Kupimwa kwako inakuja. Kipindi kile cha 'Yeriko' ulisimama na HAKI ukashinda maana mwenye haki alikusaidia. Majira haya..."JITAZAME UPYA".
 
Nimeangalia clip ya kinyarwanda kagame anavyosema atampiga kikwete. sijaelewa. ameongea maneno hay ahapa akichanganya na kiingereza, na hajaongea kwenye mkutano mmoja, ameongea kwenye mikutano mingi tu. maneno haya hapa.

KWAMBA kuna watu wanasema tuongee na wauaji, na kwamba TANZANIA HAS CROSSED HIS LINE, there is a line you cannot cross, because you have crossed, i will wait for you and i will hit you.

1.There is a line you cannot cross, because if you do, I WILL WAIT FOR YOU at the right place and i will hit you hard

2. They(Tz) will never know what has hit them,

3.They will not understand what has hit them. i will wait for you at the right place and i will hit youuuu.

4. Not by politics, not by land, not by sea, not by air...they will not hit me(Tanzania will not be able to hit Rwanda).

5. The whole word will know that Rwanda is fit.(vanyarugwanda vazima-rwandans are fit).

NIMEJIULIZA MANENO HAYA.

Maneno haya alikuwa anamlenga Kikwete?

maneno haya alikuwa anawalenga FDLR?

maneno haya alikuwa alilenga jeshi la Tz lililokuwa congo?

maneno haya alikuwa analilenga JWTZ kwamba halina uwezo kuipiga rwanda na yeye atawapiga kwasababu wamecross his line?



 
Last edited by a moderator:
Hivi una habari slaa ni mnyarwanda?.
sasa kupitia slaa ndo anajidanganya eti tanzania will never know what had hit them.
 
Hivi una habari slaa ni mnyarwanda?.
sasa kupitia slaa ndo anajidanganya eti tanzania will never know what had hit them.

Acha kufuru. Dr Slaa kajaa kwenye vichwa vya magamba na mafisadi. Hakika ni mwiba wenu wa mpingo kabisa.
 
Hayo ni maneno tu...(waswahili wanakwambia 'hata kwenye khanga yamo')
Hata Amini aliyatumia...
Hii ndio Tz ....

Soon ataomba urafiki...
 
Hayo ni maneno tu...(waswahili wanakwambia 'hata kwenye khanga yamo')
Hata Amini aliyatumia...
Hii ndio Tz ....

Soon ataomba urafiki...
kijamaa kinajiamini, atatumia njia gani kuiipiga tz na tusijue tumepigwaje, au ana watu wake hapa, au atakuwa gaidi...dah..
 
kijamaa kinajiamini, atatumia njia gani kuiipiga tz na tusijue tumepigwaje, au ana watu wake hapa, au atakuwa gaidi...dah..

Na kama anategemea kupiga kwa kuvizia then ni coward...hana ujasiri wowote...
 
Na kama anategemea kupiga kwa kuvizia then ni coward...hana ujasiri wowote...
hivi unajua huyu ndiye aliyemuua rais kabila kwasababu kabla ya kuchukua nchi kabila alisaidiwa na huyu jamaa msituni kwa makubaliano kuwa akiingia ataimega eastern congo iwe part of rwanda, na kabila alipochukua nchi akagoma. akatumia watu wake walioko kwenye utawala wa kabila kumuua, na inasemekana rais kabila wa sasa pia alihusika na mauaji yale kwasabaabu yeye ni mnyarwanda ambaye alikuwa step son wa marehemu kabila aliyekuwa mkongo hata hilo jina la kabila ni adopted name, jina lake halisi ni la kinyarwanda. marehemu rais kabila alioa mnayrwanda aliyemkuta na watoto tayari ambao mama huyo wa kinyarwanda alizaa na mnyarwanda mwenzie aliyekuwa anapigana huko msitu wa congo. hivyo kabila ni mtoto wa kambo na si wa damu na ni mnyarwanda. hivyo anaweza kutumia wanyarwanda wengi tu walioko madarakani tz kufanya lolote analotaka, we umeona hiyo courage?
 
Tunansubiri awaulize waganda Na Idd Amin wao!!
 
Najua sana kuwa aliigeuza DRC shamba la bibi..
There is a limit to what he can do to TZ...
Hata aseme atamuua rais hawezi badili institutions (both formal and informal)
AT most atakacho achieve ni ku feel good..sababu kazoea kumwaga damu...

Kuna siku niligusia humu hata Kabila ni mamluki alowageuka wenzie..
Anatakiwa awaachie wakongo kongo yao...


hivi unajua huyu ndiye aliyemuua rais kabila kwasababu kabla ya kuchukua nchi kabila alisaidiwa na huyu jamaa msituni kwa makubaliano kuwa akiingia ataimega eastern congo iwe part of rwanda, na kabila alipochukua nchi akagoma. akatumia watu wake walioko kwenye utawala wa kabila kumuua, na inasemekana rais kabila wa sasa pia alihusika na mauaji yale kwasabaabu yeye ni mnyarwanda ambaye alikuwa step son wa marehemu kabila aliyekuwa mkongo hata hilo jina la kabila ni adopted name, jina lake halisi ni la kinyarwanda. marehemu rais kabila alioa mnayrwanda aliyemkuta na watoto tayari ambao mama huyo wa kinyarwanda alizaa na mnyarwanda mwenzie aliyekuwa anapigana huko msitu wa congo. hivyo kabila ni mtoto wa kambo na si wa damu na ni mnyarwanda. hivyo anaweza kutumia wanyarwanda wengi tu walioko madarakani tz kufanya lolote analotaka, we umeona hiyo courage?
 
hivi unajua huyu ndiye aliyemuua rais kabila kwasababu kabla ya kuchukua nchi kabila alisaidiwa na huyu jamaa msituni kwa makubaliano kuwa akiingia ataimega eastern congo iwe part of rwanda, na kabila alipochukua nchi akagoma. akatumia watu wake walioko kwenye utawala wa kabila kumuua, na inasemekana rais kabila wa sasa pia alihusika na mauaji yale kwasabaabu yeye ni mnyarwanda ambaye alikuwa step son wa marehemu kabila aliyekuwa mkongo hata hilo jina la kabila ni adopted name, jina lake halisi ni la kinyarwanda. marehemu rais kabila alioa mnayrwanda aliyemkuta na watoto tayari ambao mama huyo wa kinyarwanda alizaa na mnyarwanda mwenzie aliyekuwa anapigana huko msitu wa congo. hivyo kabila ni mtoto wa kambo na si wa damu na ni mnyarwanda. hivyo anaweza kutumia wanyarwanda wengi tu walioko madarakani tz kufanya lolote analotaka, we umeona hiyo courage?

Usihofu kaka wanyarwanda wowote walio tz tunawajua. Na wale woote wanaofanya kazi ktk idara nyeti tunawajua. Hata wale wenye mafungamano na chigali wote tuna Majina yao. hata wale waotumia majina ya kughushi twawajua. Hivyo usiipe shaka nafasi. PaKa hana hata ndoto za kuigusa tanzania sembuse kuihiti. Maana mziki wake anaujua. Anajua ndiyo itakuwa mwisho wake kuishi ikulu ya chigali.
 
Hahahaaa hii issue imeongelewa saaaaana mpaka ikatoka kwenye front page, sijui kwanini unairudisha, au kwa kuwa kwenye front page ya JF Int.umekuta hakuna topic inayomshambulia Kagame so ukaona bora uzue yakare,irimradi tuu, Wahenga warisema……


Anyway Kagame ariyatamka baadhi ya hayo maneno japo kuna yako umeongezea sijui ni kwa kujua lugha vizuri zaidi au ni ushabikibi, utajyaza mwenyewe. What I want to tell you is this, pamoja na Kagame kuongea maneno hayo, kwa taarifa yako alikuwa anajibu mapigo , sasa ulitegemea afanye nini. Kwa taarifa yako kabla Kagame hajaongea maneno yale Mheshimiwa Kikwete yeye alikuwa ameyatenda, hakuyaongea tu bari yeye zaidi aliyaweka kwenye vitendo,he put them into action before Kagame's words, na alifanya hivyo huku akichekacheka na kujifanya muungwana wakati ni nyoka mwenye sumu kali sana Kagame hakuwa na option ila kutamka wazi kuwa anajua kinachoendelea that was a clear message kuwa njama zote za Mh.JK zilikuwa zinafahamika malengo na mipango yote.

Kagame alikuwa ameinvest sana kwenye uhusiano ulio bora na wananchi wote wa Tanzania, lakini baada ya kugundua kuwa Rais wa TZ alikuwa ana plan za kuidhuru Rwanda na Kagame mwenyewe plan ambazo alikuwa tayari amejaribu kutekereza mara kadhaa,hakuwa na option isipokuwa kutoa onyo


Ok Utaniambia lete mifano na source, it is clear as a Sun I will come to that later, meanwhile allow me to share my previous post regarding the relationship between Rwanda or Kagame and TZ.


Rwandans including President Kagame loves Tanzanians and your president, am going to try to give some examples for you to think about. However in any relationship there ere some lines you can't cross. So for Rwanda with the History we have passed through, INTERAHAMWE (FDLR) is that line, period. For a country like USA after Sep 11, Such line to USA was BinLaden, and to Tanzania in 1978 that line was Idd Amin etc etc. Kwa mtaji huu sasa, kwa Rwanda even if you are our Friend, by suggesting we sit with Interahamwe, i t is an Insult above everything and we cannot accept that hata kwa mtutu wa bunduki HATUTAKUBALI.

So The People who advised Kikwete to utter such an imaginable words knew what they were doing, so they were hitting Rwanda where it hurts most, " The Good, maturity and respect understanding that existed btn these two countries". Those Advisors knew that Rwandans and Kagame's development plans, were based on good relationship with Tanzania, Therefore Kagame kama mpenda maendeleo kwa watu wake na nchi yake analijua hilo. So Himself and all his Goverment were always working towards maintaining a good relationship with Tanzania(sometimes back he even made it a priority to his cabinet-"Good relationship with TZ"), I remember one incidence sometimes back, there was this Guy a Rwandan from Diaspora a very bright Man, he was genius in Electronics and Communication, he was plucked by Kagame himself from a big project in the First world to come and develop this sector in Rwanda, he was given the only Telecom company available at that time in Rwanda to run and develop, he was given all necessary acknowledgment and support by the country, so the guy was powerful politically to be considered among the 3 most powerful people in Rwanda. He had his private parking at Telecom house, one day a Tanzanian official from the embassy popped at Telecom house and found no parking available, so he decided to use the boss's parking for few minutes, the guards tried to stop him but he insisted that it will only take very few seconds. Before he was back the Boss arrived and found his parking occupied so you can imagine a boss in his own house, there was ugly scene no need to narrate everything.. The Tanzanian ambassador later complained to the Ministry of Foreign affairs, although this issue was very small, but due to the priority,I mentioned above I am telling you the Guy was dismissed with immediate effect out of respect to Tanzania, he is now among the staunch opponents of Kagame's Govt like some members of JF here. Few years later, Ugandan Ambassador was not afforded the same privilege in almost similar circumstances.


Another example of brotherly friendship Rwanda Govt. has over Tanzania, on any big occasion to Rwandan people, Tanzanians are always the first on the List of invitees, regardless of the situation btn the two Govt, regardless of who JK sends as his representative, you will always see prominent Tanzanians like Benjamin Mkapa, The Family of Mwalimu (Mama Maria with daughters or Son) etc etc among our guests. Therefore The true Rwandans and Tanzanians respect each other, with exception of few people who are regular here in JF. Kagame mwenyewe na Kikwete used to be good friends. Nakumbuka mwaka 2005 Mheshimiwa JK alianzisha kampeni yake kuelekea Magogoni akiwa pale University of Dar Es Salaam, ingawa kampeni rasmi irikuwa haijaanza, Mr Kagame presented him with a good opportunity, on that particular day, it happened like this, That day Mr. Kagame was a Guest speaker at Nkrumah hall, the hall was fully parked to its capacity and even its surroundings were all filled with people who had come to listen to some big thinking, The topic and discussion in general were so lively and interesting, at the end of the day these two guys (PK&JK) launched ones campaign without electoral commission's authorization. I was among the participants in that Lecture.


Another example is an economic gains the two country were likely to gain and which they had invested much before, Un Upgraded Central Corridor Railway Line(Dar-Isaka-Kgl) with a later ext. south to Buja and Congo. Tanzania and Rwanda @ had paid 6m Euro on all feasibility and engineering studies. Upon completion, while Rwanda was very committed to start the project, Kikwete had other ideas and he had some good advisors who advised him against the project just to disrupt the Govt of Rwanda's Plans, as a result the project was shelved todate So Rwandans especially our President had been trying to be a good friend to Tanzanians and their President as we have much to gain economically from it. However we can not be held to ransom, and our DIGINITY is paramount, there are LINES you cannot cross no matter how important you are.


Kwa hiyo kama wanyarwanda wengine Raisi Kagame hakuwahi kufikiria kuwa Rais Kikwete au Rais yeyote wa Tanzania angekuwa wa kwanza ku Cross ile Line. But all in all he did it, he did it after a careful planning and manipulation of one Man, a very good friend of Kanali Mrisho pia who for the Past 3-4years was a regular visitor at various official dinners and evening functions at Magogoni, who also managed to establish several lucrative deals from DRC for JK using several connection he had established personally either while still in Service in Rwanda or during his dealings with FDRL. This is Non other than the SPY Master the late Patrick KAREGEYA RIP (Am Sorry to say it but he got what he deserved)

My Friend UBUNGOUBUNGO, huyu jamaa kwa kushirikiana na JK na Jamaa mwingine kwa jina Gen. Stanislas Izabayo Alias Bigaruka (Nambari 2 kwenye uongozi wa wa Kijeshi wa FDLR) walikuwa kwenye njama na mikakati ya ku destabilize Rwanda na Kagamena. Hiyo mipango ilikuwa inafanywa huku JK akijifanya ni rafiki, na akichekacheka. Lakini PK alikuwa anauona mchezo mzima na alichofanya ni kumnyakua huyu General ili kupata mkanda wote na kuzima njama zilizokuwa zinapangwa Ukitaka kujua habari za huyu askari wa FDLR tafuta habari zake kwenye media au muurize mchungaji fulani hapo bongo ambaye ndie alikuwa anamuhifadhi mara kwa mara wakati wa hizo safari zake eti akihofia ku kaa hotel. Kwa mtaji huu Kagame aliona hana haja ya kubembereza hivyo akatamka aliyo yatamka. Kwa kweli kama ulikasirishwa na matamshi yale ni afadhari PK alitamka lakini JK yeye alikuwa anatenda kichinichini huku akijifanya anatoa ushauri. Nonsense ingawa kwa kweli haishangazi Mheshimiwa JK ni mtaalam wa backbiting kama huamini Ask General SAYORE Gideon enzi za Monduli.
 
Mwl. Nyerere alisema ukweli ukipuuzwa una tabia ya kujilipiza kisasi. Mambo yote aliyofanya rais wetu alipokuwa madarakani aliyafanya kwa niaba ya watanzania. Hapa sipendi kurudia matusi ambayo Kagame alimtukana rais wetu wakati akiwa madarakani ila kama mtu atapenda kujikumbusha aingie youtube atamsikia kagame wakati anamkashifu rais wetu.

Ninachotaka kusema ni kuwa sikuwahi kumsikia Kagame akituomba msamaha watanzania hadharani kama alivyotukana hadharani, wala sikuwahi kumsikia rais kikwete akimsamehe Kagame hadharani.

Sasa basi ili kuendeleza mahusiano mazuri moja kati ya haya mawili ni vizuri likafanyika kabla rais Kikwete hajastaafu madaraka:

1. Kagame aombe msamaha hadharani au

2. Rais Kikwete amsamehe Kagame hadharani kabla hajastaafu. Kama hayo hayatafanyika maana yake ni kuwa ukweli utakuwa umepuuzwa.
 
Hata mi ningekuwa upande wa kagame, maendeleo tuliyonayo hayafanani na rasilimali tulizonazo tz tena naona kagame alipunguza maneno, we mtz una akili gani unaisifu serikali ya ccm? Walichokifanya imetosha, tuseme imetosha kutuaminisha tz ni kisiwa cha amani mmmmh waoga na wajinga hatujui haki zetu, just assume unalipa kodi una bima ya afya then ukienda hospital either unaambiwa uongeze pesa au ukajinunulie vitu vingine,poor watz
 
Hata mi ningekuwa upande wa kagame, maendeleo tuliyonayo hayafanani na rasilimali tulizonazo tz tena naona kagame alipunguza maneno, we mtz una akili gani unaisifu serikali ya ccm? Walichokifanya imetosha, tuseme imetosha kutuaminisha tz ni kisiwa cha amani mmmmh waoga na wajinga hatujui haki zetu, just assume unalipa kodi una bima ya afya then ukienda hospital either unaambiwa uongeze pesa au ukajinunulie vitu vingine,poor watz

Hivyo vitu unavyokosa tz rwanda vinapatikana?
 
Useless. Kwenye vikao vyao vya wakuu wa nchi huwa unaingia? By the way who are you to instruct the POURT what to do? He have smarter people as adviser than a lone guy in JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom