RUTAJUMBUKIRWA
Senior Member
- May 3, 2009
- 185
- 89
vita ya nini? Kagame hawezi kuanzisha vita hata siku moja, is he that suicidal? JK nae aache ku-seek cheap populairity kwa kujifanya anawashauri majirani, waache? Ndo maana Obama, na miguvu yake na ukubwa wa nchi yake alikataa kutaja nchi kwa majina. Na akasema wanaofanya makosa waadhibiwe (FDLR). Sasa JK anaandikiwa ma speech na anasoma eti anawashauri watu, mbona UN haijawahi kuiambia Rwanda ikapatane na FDLR? We have to respect sensitivity of other countries.But this is a minor issue, why blahallo! Alafu Kagame na ka nchi kake, na vulnerability ya ukabila aliaanzishe na Tanzania, atakuwa anaumwa!
Tatizo langu inawezekana hii issue hatuijua kiundani sana sisi JK ndiye anayejua na ndio maana hajibu. Kama amiri jeshoi mkuu alipaswa kumjibu kagame yeye na sio sisi, tulitakiwa tumwambie amjibu. Nina wasi wasi tunapopaona sio penyewe issue inawezekana ilianza zamani na itelejensia zao hawa watu wawili