Alichosema Mh JK ni jambo zuri, lakini mahali aliposemea ndipo panaleta huu ukinzani. Mh JK alitakiwa kuzungumza na President Kagame in person na kuangalia msimamo wake, sio kukimbilia majukwaani na kushauri kitu kizito kama hiki. Pres Kagame amesema "I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you" hii ni busara sana. Vita sio ukubwa wa nchi au ukubwa wa jeshi, bali ni vifaa, utaalaam na nidhamu. JWTZ wanalalamikiwa huko Mtwara kwa ku rape wanawake, kupiga vikongwe, watoto, wanawake bila sababu yeyote, no discipline at all, jeshi limegeuzwa tawi la CCM kufanya uchafu. Mnaotaka kujua nguvu na nidhamu ya Kagame, nendeni Rwanda ndipo mtajua jamaa ni jembe.