Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Wewe mtu,hii ni JF usibishane na watu humu ukadhani hatuna akili.Hii habari imetoka tar 3 july 2013 alafu wewe unasema eti mlijadili huko Wanabidii zaidi ya mwezi while hata hiyo speech Kagame aliifanya tar 30 June 2013.

Hii habari imewekwa Wanabidii tar 9 July 2013 saa 3.12 PM while imetua hapa JF tar 9 July 2013 saa 14.56.

Hiki ndio ulichokuwa unataka? Chukua hiyo!

Umemsikia Kagame akisema hivyo au umeambia? Au umeiona kwenye mtandao, ambako mtu yeyote anaweza akaiweka huko? Soma usiwe mtu wa kusimuliwa:Raia Mwema - Rwanda yafunguka kuhusu uhusiano wake na Tanzania
 
mimi nadhani jk haogopi kwenda popote ila pk nadhani yeye anaenda uganda tu na si pengine!!!juzi juzi huko uk oxford wamemtimua kwa mayai viza, huko usa alikoalikwa kwenye college fulani alitokea mlango wa nyuma the hunter has become the hunted!!!!
"Ukitaka kula lazima uliwe",rwanda hapaliki ila bongo shamba la bibi kama congo,rais mzururaji hakuna mfano wake,kwa style hiyo hata akiingia chumbani kwa Obama hawatamzuia coz wanakula,viva Kagame usiliogope Koti ni dhaifu mbaya..
 
Nadhani unajua kilicho-mHIT President Juvenil Habyarimana wa RWANDA... we have to be very carefull...
Subutu, hebu kajaribu kama hatukuingia rwanda na kukakamata.
Kameshakua kazoefu kuua marais.
 
rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa tanzania ni kama congo!

uwezo wa nchi kijeshi hautegemei ukubwa wa nchi kijiografia mfano ezrael
 
Watutsi kwenye uongozi ni kama kupe. Lolote kuashiria kuondolewa kuhodhi madaraka wanareact ruthless utadhani vichaa. Mnakumbuka ilivyokua shida kuondoka madarakani utawala wa kikaburu wa watutsi kule burundi hadi vita na damu nyingi kumwagika. Kagame hana ujanja lazima kuongea na wapinzani kama anataka amani ya kweli rwanda. Hila zake za kuhamishia vita na wahutu congo akijidai hakuna shida rwanda ni kuahirisha tatizo. Jipu litakapopasuka itakua uchungu sana.
 
Watutsi kwenye uongozi ni kama kupe. Lolote kuashiria kuondolewa kuhodhi madaraka wanareact ruthless utadhani vichaa. Mnakumbuka ilivyokua shida kuondoka madarakani utawala wa kikaburu wa watutsi kule burundi hadi vita na damu nyingi kumwagika. Kagame hana ujanja lazima kuongea na wapinzani kama anataka amani ya kweli rwanda. Hila zake za kuhamishia vita na wahutu congo akijidai hakuna shida rwanda ni kuahirisha tatizo.
Hawajali kupeleka shida na maafa kwa nchi jirani kama inawahakikishia watutsi utawala. Shida ya wakimbizi ukosefu wa amani tanzania anaona sio lolote na kumtolea rais wetu mamemo ya kifedhuli.
 
simlaumu Kagame....JK amezidi kukaa kimya hata kwa issue serious, ndiyo maana kila mtu anaweza kumtukana na akaendelea kukaa iddle...silent diplomacy has limit. For the sake of his and this country's dignity anapaswa kumjibu Kagame kwa ukali na ampe ultimutum ya kufuta matapishi yake....

day dreamer, ameshindwa kumvua gamba lowasa atamuweza kagame the genius
 
kagame ni kichaa, ni sawa na panya kumtishia paka eti kisa tu kaona kwenye filamu ta Tom and Jerry. Kikwete alimpa ukweli ambao kagame hataki kuusikia kwakuwa anajua ni nini alifanya wakati wa mauaji
 
Kagame anapenda malumbano.Sasa JK kampuuza ndo kinamuuma.mwacheni ajaribu atajuta kuwa mtusi tutamchapa palepale kwake
 
Umemsikia Kagame akisema hivyo au umeambia? Au umeiona kwenye mtandao, ambako mtu yeyote anaweza akaiweka huko? Soma usiwe mtu wa kusimuliwa:Raia Mwema - Rwanda yafunguka kuhusu uhusiano wake na Tanzania

Unajua ukitaka kujifanya mjuaji utaishia kuaibika.Mjadala huu unahusu kauli ya Kagame kwenye kongamano la vijana tarehe 30.June.2013.Kabla ya mjadala huu kuna mengi sana ya Kagame wengine tulishajadili humu miaka mingi iliyopita hivyo usione mjadala wa Kagame humu ukafikiri inahusu mambo yale yale.Hayo ya kauli mbalimbali za Kagame kuhusu rais wetu tumeshajadili sana tena majuzi tu na pengine unadhani huu ndio mjadala wa kwanza kuhusu Kagame vs Kikwete.

Bado huna aibu unaendeleza ubishi hebu soma maneno yako uone aibu.



Bado ww ni mgumu kuelewa. Nenda wanabidii, soma michango ya watu wote ndo uje tena hapa. Kwan haiwezekani kwamba imewekwa wanabidii mara 2? Au ndo uoga wa vita unakusumbua?

Kagame ameongea tarehe 30.June.2013 itakuwaje nyinyi mjadili hilo mwezi mmoja uliopita? mmekuwa wabashiri? soma hapo chini unachosema ili uache ubishi wa kijinga.


Inaonekana Jf ipo nyuma sana ktk kufuatilia matukio. Mbon hii ishu ilishajadiliwa wanabidii kama mwezi mmoja uliopita na ikaonekana sio ya kweli na serikali kupitia gazeti la raiamwema ikasema sio habari ya kweli?

Hata source ya hiyo habari unajua wameiweka lini mtandaoni? Mitandao yote wamekopi kutoka kwenye huo mtandao.Acha porojo acha kuifananisha JF na hivyo vimtandao uchwara.
 
Guys Kagame alichoongea ni tofauti kabisa na watu wanachoongea humu na wala has nothing to do with Kikwete,hizi ni politics za wapinzani wake,source ya hiyo news ni wapinzani wakubwa na big supports wa FDLR,hakuna haja ya kutoa mapovu

Ni wapi Kagame amekanusha kuwa hakusema hicho kilichoandikwa!? Na yule kwenye ile video si yeye..ni mpinzani wake pia!?
 
huyu bwana asidhan ss ni wendawazimu kama yy bwan tutamuharibu tena kwa jkt tu inatosha si vingine
 
Siku zote mtu mwanye akili timamu na busara anaangalia kipi cha muhimu na ambacho hakina madhara, kikwete ni mwenye akili na busala ndo maana ameona kunyamaza, ........na nyie mnaosema bora alipize vuta ikianza wanoumia ni kikwete na kagame au laia ambao hawana uwezo? think twice..... Hongera kikwete.
 
Nilishasema mara kadhaa Nduli Kagame Dadaa apigwe na aondolewe madarakani hawezi kutukashifu kila mara ametuchokoza siku nyingi, sasa kuna jambo litatokea.
 
Rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote Tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa Tanzania ni kama Congo!

Daah mzee vita ya siku hizi imebadilika sio tu ukubwa wa nchi unajudge kuwa tutampiga..allies, millatary tactics, , military intelligence thats what counts soo usijeona kanchi kadogo kanaifumua nchi kubwa
 
Naamini tunauwezo wakumchapa hata kwa nusu siku lakini je tunasababu za msingi za kufanya hivyo?

Tanzania tunatabia ya kujifanya vimbelembele kwenye issue za watu wakati hata zakwetu wenyewe zinatushinda.

Mfano vita ya Uganda _hivi tunasababu za moja kwa moja zilizolifanya taifa liingie vitani tena tukiwa na hali ile? Au tulikua tu tunatafuta misifa ya kijinga ambayo tu ambayo makovu yake hadi leo bado yanatugharimu?

Kama Kikwete aliona njia ya majadiliano ni ya maana zaidi kwanini alipeleka vijana wetu nakushindwa kuiruhusu njia ya kidipromasiakutumika?

Ni darili gani utakayoisoma kwa adui yako kuomba masungumzo badala yakujaribu kushiriki kupambana na nawewe kwa njia kadhaa bila mafanikio?

Kikwete na washauri wake ndio chanzo pekee kinachotulazimisha watanzania tuonekane dhaifu kwa majirani zetu hata kimataifa.

Tusijidanganye kwa wingi wetu Heshima sio pesa ni hekima .unaweza kua na pesa nyingi na usiheshimike na jamii .

Kagame kapima uwezo wa vijana wetu mbwembwe zao ,vifaa walivyonavyo na hata mpasuko tulio nao kama taifa nakujiridhisha anaweza kufanya alichofikiria.

Swala la vita sio kama kuingia tu offisin au kurusha tu virisasi.

Kama taifa makini tunaweza kumnyamazisha nakumsababishia maumivu makali bila hata kujibizana nae .

Tanzania kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom