Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
na wewe unaojua mambo kwa kufuata upepo una chongo ya kufirikiria. kuna mambo ambayo hata usipotumia akili hupati shida kuyajua. kwani wewe ni mtanzania au mnyarwanda. unaijua Tanzania kwa kupitia comment za jf. huijui Tanzania kwa namna nyingine yoyote ile. kama wewe ni mtanzania mwenye kujua nchi yako na kuipenda, huwezi kufurahi raisi wa nchi anatukanwa et kwa sababu tu, kisiasa mnatofautiana.
 
haya mabomu yanayokaa huko gongo la mboto na mbagala mpaka yanalipuka yenyewe kagame hayaogopi?
 
vita hivi ni vya kikwete na kagame individually,watanzania tusiusishwe.wacha amtwange apunguze kiherehere.
 
Namheshimu sana Kagame kwa record ya utendaji wake katika kukuza uchumi wa nchi ya Rwanda. Kimkakati kamzidi sana JK. Na nilikubaliana naye pale aliposema yeye angepewa Tanzania miaka mitano tu ingetosha kuibadilisha kiuchumi.
Hata hivyo katika hili la kumtishia JK ni kutudharau watanzania wote. Serikali inabidi itoe statement ya kumuonya asithubutu hata kuota kama ilivyomuonya Joyce Banda kupitia kwa Membe.
 
Udogo wa Nchi au Ukubw wa nchi hauna usiano na nguvu za kijeshi, navile vilevile kwa Dunia ya sasa Majeshi ya Nchi kavu si muhimu sana, ndo maana nchi kama URUSI wanpunguza sana Wanajeshi wao na kuongeza vifaa vya kijeshi, hibe fikilia mna rundo la wanajeshi halafu wezenu wana Drone au wana ma ICBM,

Kwa sasa vifaa ndo vinamata na si wingi wa wanajeshi, kw hiyo huwezi jua nguvu zake ziko wapi, yeye si mwendawazimu
 
Wadau nashangaa kagame kuongea kauli ile, hivi kweli kagame anajiamini kiasi hicho? anatafuta nini kagame? yaani ndio kuthubutu kusema kwamba anasubiri wakati amtandike kikwete yaani anaweza kuyapiga majeshi ya nchii hii? kagame kafikia hapo jamani?

yaani pamoja na kuwasitiri wakiwana na vita na burundi bado anajeuri ya namna hiyo?hayo ni maneno ya kutamka kweli hiyo kagame? au ana hamu na vita?

kikwete ni mvumilivu sana.
Ingekuwa mimi tayari ningepeleka majeshi kagera na kigoma alafu nimjibu akjibu simjibu tena bali naagiza majeshi waanze kurusha makombora.

mKUU SI RAHISI HIVYO TUNAWEZA KUPIGWA VIBAYA SANA KANCHI KETU KENYEWE KARUSHWA HIVYO!
 
Mbona unalalamika KIKE-KIKE, kwani hawezi?

Angesema atampiga Mnyika ndio ningeshangaa kapata wapi ujasiri
 
Kama chadema tu imeshinda atamuweza kagame? Namsifu sana kagame hiyo ndiyo dawa ya mtu mnafiki. Unajuwa wanyarwanda wangapi wapo jwtz?
 
endelea kuwa na propaganda na majivuno ya kitusi! mtapotea dimba muda c mrefu

Kama ni propaganda mshauri JK apeleke jeshi, nawe uende. Muulize Joseph Kabila ilikuwaje alishindwa kumkamata Generali Nkunda lakini Kagame akamkamata bila kumwaga damu?
 
rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa tanzania ni kama congo!

unajidanganya ww tuwe makini sana na huyu mtu usikute hata hayo maboom ya arusha yeye ndo kayasababisha!
 
Hold on guys and take it easy,kabla hamjaanza kutoa gas zenu angalieni source ya hiyo news kwanza ndio mtaelewa whats goin on? naona hapa mnaingizwa king bila kujua na wengine tayari naona mko tayari kwa combat,the fact is hiyo blog/site ni ant Rwanda and big supporter wa FDRL and as a matter of fact theres no such thing Kagame alisema or anything close na kilichoandikwa,Presidential transcript ya huo mkutano ipo na wala haikuwa secret,hiyo website inajiita afroamerican lakini everything is about ant Rwanda/tutsi,well,naona hate propaganda za FDLR zinaanza kufanikiwa JF,angalieni nyie msije mkaingizwa kwenye ugomvi usiowahusu

Wewe Koba mtu wa ajabu sana. Kuna members hapa wamekutaka ulete hiyo link/website unayo dai ya kweli au angalau presidential transcripts yenye uhakika, umeshindwa sasa si ukae kimya?

Pili kila kwenye maandishi yako unarudiarudia kutaja sijui kuna ant -tutsi, ina maana Rwanda kuna kabila moja tu? Mbona huandiki chochote kuhusu wahutu na makabila mengine? Ndio maana kuna watu wanakutia wewe ni mkabila, mbinafisi na watu kama nyie hamuwezi kamwe kutafuta suluhisho la kudumu ya nchi yenu Rwanda.
 
JK yupo sahihi kwa hayo maoni!
Pande mbili lazima zikae kujadiliana ili kupata suluhu ya kudumu! mwaka 1959 kulikuwa na vita inayofanana na hiyo ya 1994 ingawa haikuuwa watu wengi kiasi hicho nakwamba ilifunikwa na wakoloni kwa sababu waliwabeba Watusi.
Kagame kapindisha ukweli wa mauaji kwa sababu yupo madarakani na sehemu kubwa ya jumuiya ya kimataifa yanaujua huo ukweli ila hawawezi kusema kwa sababu wanazuiya mpasuko. Kagame ni muuaji ndo sababu anaogopa kivuli chake!
Ajifunze kutoka kwa Mandela. Baada ya kuchukua nchi aliamua kuondoa chuki kwa kuanzisha tume ya maridhiano!! nani asiyejua jinsi waafrika walivyobakwa, chinjwa kama kuku, lawitiwa, na mateso mengi ya kutisha! lakini mandela alisama:- hatushtaki mtu bali tunafanya maridhiano na wahusika wote waombe msamaha!! the only truce in serious conflict is forgiveness not revenge!!
KAGAME LAZIMA AONDOE WOGE WA KIVULI CHAKE!!
 
Kama chadema tu imeshinda atamuweza kagame? Namsifu sana kagame hiyo ndiyo dawa ya mtu mnafiki. Unajuwa wanyarwanda wangapi wapo jwtz?

naww ukiwemo,kagame ananguvu gani yakupigana,ulizia kichapo alichokipata kwa majeshi ya Angola na zimbabwe propaganda zake ndo silaha yake ya kwanza naww ukitumika kama ulivyo anza sasa.
 
Udogo wa Nchi au Ukubw wa nchi hauna usiano na nguvu za kijeshi, navile vilevile kwa Dunia ya sasa Majeshi ya Nchi kavu si muhimu sana, ndo maana nchi kama URUSI wanpunguza sana Wanajeshi wao na kuongeza vifaa vya kijeshi, hibe fikilia mna rundo la wanajeshi halafu wezenu wana Drone au wana ma ICBM,

Kwa sasa vifaa ndo vinamata na si wingi wa wanajeshi, kw hiyo huwezi jua nguvu zake ziko wapi, yeye si mwendawazimu
Jeshi letu limebakia kuchezesha vitambi kama wajawazito
 
Kagame Rais wa magogoni mweupe asikutishe,songa mbele akijipendekeza mpe za mbavu...
 
Wenyewe kwa wenyewe tumeshindwa kuelewana, wacha Kagame afanye kazi labda heshima ya kujali wananchi itakuja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom