Rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote Tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa Tanzania ni kama Congo!
Ninachomkubali huyu jamaa ni so specific kwa JK! Kagame anaonesha kweli yeye commender in chief na rais wa nchi, sio JK anajiita Amir Jeshi Mkuu lakini anachekacheka tu!
Hii tabia ya JK naweza kuifananisha na baba ambaye anatoa ushauri au ankaua kimbelembele wa kutoa ushauri kwa wenzake juu ya namna bora ya kuishi na familia au kulea familia, wakati yeye familia yake imemshinda...
Watanzania mnaifanya issue ya Kagame kama vile mechi ya simba na yanga ambayo ikiisha kila mtu anachukua time yake. Aliyefungwa na aliyefunga.
Hi issue ni serious, wengine wanasema wana jeshi zuri ukiwauliza hawana data, wengine wanasema nchi yetu kubwa hiyo nayo haina mashiko, kubwa so what? wengine wanasema wanatz wana uzalendo hawana data, na wengine wanasema tutamnyongelea mbali hawajui hata uwezo wa jeshi letu.
Wapo wenye data za mwaka 47 ambazo matokeo yake tulishayaona mbagala na gongo la mboto. Na simple research kwenye mikutano ambapo polisi wakituliza ghasia wanaua, huo umakini wetu uko wapi??? mpaka tujisifu?????
Hivyo hili swala sio mpira wa yanga na samba la sivyo itatu cost sana.
Guys Kagame alichoongea ni tofauti kabisa na watu wanachoongea humu na wala has nothing to do with Kikwete,hizi ni politics za wapinzani wake,source ya hiyo news ni wapinzani wakubwa na big supports wa FDLR,hakuna haja ya kutoa mapovu
Guys Kagame alichoongea ni tofauti kabisa na watu wanachoongea humu na wala has nothing to do with Kikwete,hizi ni politics za wapinzani wake,source ya hiyo news ni wapinzani wakubwa na big supports wa FDLR,hakuna haja ya kutoa mapovu
We usihangaike na Koba si ndio walewale kil siku anajaribu kumtetea kagame lakini kila akimtetea ukweli hujitenga. sijui kaahidiwa ukuu wa majeshi maana kule kwao kila siku wanabadilisha Mkuu wa Majeshi na mawaziri wa ulinzi ajabu wote wanaobadilishwa huwa wanaishia kusepa maana wakibaki kule tayari utasikia wamefanyiwa kama ya Ingabire na Bizimungu. hawachelewi kuwagacaca.
simlaumu Kagame....JK amezidi kukaa kimya hata kwa issue serious, ndiyo maana kila mtu anaweza kumtukana na akaendelea kukaa iddle...silent diplomacy has limit. For the sake of his and this country's dignity anapaswa kumjibu Kagame kwa ukali na ampe ultimutum ya kufuta matapishi yake....
Mkuu vita ya Kagera vijana walikuwa wanakamtwa na kupewa mafunzo ya kushoot,kulenga shabaha na ukakamavu kwaharakaharaka.Na wengine wanafanywa mgambo.Sasa hivi hawawezi fanya hivyo dunia iko kama kijiji.Kuna kitu kinaitwa draft,ila ikifikia hapo,ni lazima serikali husika iwe inapendwa na wananchi vya kutosha.
nani kakuambia hivyo,wakati wa vita kisheria hata kama wewe ni ofisa serikalini unaweza ukawa drafted kwa nguvu kwenda vitani, na hii sheria iko nchi zote hata huko usa, si unakumbuka enzi zile za vita ya vietnam hata muhamad ali alilazimishwa kwenda vietnam unajua yaliompata baada ya kukataa, na kwa morali wa jeshi bado ni mkubwa juzi juzi niliona usaili wa vijana kwenda jkt huko vijijini wamejitokeza vijana wengi sana kupita idadi inahitajika, kama wewe huna uzalendo nyamaza au wewe ni mtutsi uliyekulia bongo.!!!
.....Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my answer. I did not waste my time answering him It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible
"It is in these ominous terms that the Rwandan dictator General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called Youth Konnect", sponsored by his wife, Janet Kagame.
Relations between Tanzanian President Jakaya Kikwete and Rwandan leaders have soured in the last weeks. On several occasions Rwandan leaders called the Tanzanian President a genocide and terrorist sympathizer, ignorant, arrogant, and mediocre leader. The relations have deteriorated following the recommendation by President Jakaya Kikwete of open negotiations between Rwandan, Ugandan and Congolese leaders and their respective armed opposition in order to bring durable peace and security in the African Great Lakes region....
Power corrupts. Absolute power corrupts absolutely. Power has absolutely corrupted Kagame. Advised by Museveni, he will certainly manipulate Rwanda's constitution to seek another term in office. Idi Amin started with similar statements against Tanzania. What followed is now history. Bearing in mind the Amin experience, Kagame should think twice before he does anything ridiculous. Tanzania is more than ready. It seems what he is intending to do, and considering his early upbringing, there are some many similarities with Adolf Hitler.
Kagame kaguswa pabaya ndio maana haishi kutapatapa. Ni mjinga mkubwa asiye na shukrani pamoja na wakimbizi kutoka nchini mwake kupewa hifadhi humu. Nadhani siku zake za utawala wa kidikteta zinafikia mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.