Nakubaliana nawe mkuu:' there must be more to this story than meet the eyes? Haiwezekani mtu innocently kutaka suluhu ya amani akaishia kutukanwa namna hii. Mimi pia ni katika wale wasiopenda uongozi wa JK (kama tutauita uongozi, naona ni kuburuzwa tu). JK pia si mtu serious, challenged mentally na kusema kweli ni mzuri kwa Watanzaniaa tu. Kma alikuwa kweli na imani hiyo angemfahamisha kwanza mwenziwe kwa faragha badala ya kwenda kuonesha u star.
Kuna watu wanaojifutua hapa na kusema tutampiga aakicheza!Thubutu, hawa hawasomi alama za nyakati. Jeshi laa Tanzania la sasa si kama la miaka ya 70, halina imaani, sera wala uzaalendo baada ya kuona mijitu inaharibu nchi naa wao hawapatilizwi. I am sure hakuna mtu atakayepigaana kwa ajili ya magamba. Wee wadhania kinachoishinda DRC ni nini? Si ukosefu wa silaha wala wanajeshi....ni kuwa jeshi halina imani. Wakati huo huo wanapigana na jeshi la Rwanda ambalo, kama Israel, lina itikadi na nidhamu ya hali ya juu. Huwezi kulishinda kipuuzi jeshi kama hilo, uliza Uganda kule Kisangani!
a
Nafuu umesema asilimia 99 na sio 100! Ungekuwa na busara ungeenda kwanza wanabidii ndo uje hapa unibishie.
Kagame atambue wazi tofauti ya watanzania kwa ndani ya nchi siyo sababu ya kutengana katika kumshughulikia ajaribu aone moto utakavyomuwakia mpaka katika kitanda anacholalia, katika hili watanzania ni lazima tushikamame si fedheha ya JK ni yetu soteNinachomkubali huyu jamaa ni so specific kwa JK! Kagame anaonesha kweli yeye commender in chief na rais wa nchi, sio JK anajiita Amir Jeshi Mkuu lakini anachekacheka tu!
eee bwana unawajua lakini hao wahutu tabia zao, kwa mimi ninavyo wajua hao waasi wa 1994 genocide hawafai kabisa wao wapo radhi mkafanya urafiki miaka hata 100 lakini lao lipo moyoni siku wa kilipuka ni majuto yaani kwa ujumla watu wa rwanda si wa kufanya nao urafiki hata kidogo aidha uwe inferior ndiyo mambo yatakuwa sawa . fuatilia historia ya kagame na kuchukua kwa nchi tangu alivyokuwa ana jifunza u commandoo na mpaka ushiriki wake katika taifa la uganda utafikiri ni mganda , aim kubwa ni kuja kuwa president wa rwanda na wahutu walalijua hilo na kumkosa kumuua antwerp , khartoum na alitembea kutoka msitu wa uganda mpaka rwanda na kukutana na kikosi cha watoto wa RPF kabla hajachukua nchi . kwa hiyo kagame yupo right sana kwa maamuzi na ni miongoni mwa macomando waliofanya vizuri sana huko marekani mpaka USA wanamkumbali enzi za mafunzo yake kumbuka hata mafunzo alikuwa hajakaribia kumaliza lakini USA walimpa baraka kwenda kukomboa nchi na kwa kuwa historia ya nchi na watu wake anaijua ndiyo maana mnyarwanda ana kawaida ya kutosuluhishwa mfano angalia hapo NGARA , au oa mke wa kitusi , au fika rwanda ingia disco na pata mwanamke halafu muache huku anakupenda utaona cha moto. ila kingine kizuri kwetu TZ ni ukimya wa kikwete kwa sababu ameonyesha kumpuuza na ndiyo kitu kinachowauma sana , juzi kaitisha kikao cha uganda , kenya ili wasipitshe mizigo kwetu sisi kimya saaafi sana .
I fully supporting Kagame Tanzania taifa la mfalme juha....chapa makofi Kikwete