hha ahaha ahahah.....acha kutoa mapovu wewe ,ndio nyie mnasikia umetukanwa na jirani basi huulizi na unajifanya una hasira kuliko na mtaa mzima haukaliki,wajanja wamewapata this time na huko walipo wanacheka mbavu hawana wakisoma mnachoandika humu
Excuse me mr/mrs mimi sio msemaji wa Rwanda ila kwa mwenye akili anayeijua Rwanda angeangalia ile source tuu angejua whats going on
ha ahaha ahaha ahah...unajifanya unajua kumbe lodi rofa tuu,kaa kimya!!!Mnajiitaje great thinkers while you cannot google? Kuna source nyingi tu zilizomnukuu kagame akisema maneno haya. Sasa mnataka na hizo tuwaletee? Pambaf sana. Msiwe kama ikulu ya tanzania ilikaa kimya hata baada ya kutolewa vitisho ya kagame!
Rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote Tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa Tanzania ni kama Congo!
hold on guys and take it easy,kabla hamjaanza kutoa gas zenu angalieni source ya hiyo news kwanza ndio mtaelewa whats goin on? Naona hapa mnaingizwa king bila kujua na wengine tayari naona mko tayari kwa combat,the fact is hiyo blog/site ni ant rwanda and big supporter wa fdrl and as a matter of fact theres no such thing kagame alisema or anything close na kilichoandikwa,presidential transcript ya huo mkutano ipo na wala haikuwa secret,hiyo website inajiita afroamerican lakini everything is about ant rwanda/tutsi,well,naona hate propaganda za fdlr zinaanza kufanikiwa jf,angalieni nyie msije mkaingizwa kwenye ugomvi usiowahusu
Wacha uongo wewe hiyo 5 umeipata wapi? First time nasikia miaka 5 hapa JF au ulihadisiwa?
Inaonekana Jf ipo nyuma sana ktk kufuatilia matukio. Mbon hii ishu ilishajadiliwa wanabidii kama mwezi mmoja uliopita na ikaonekana sio ya kweli na serikali kupitia gazeti la raiamwema ikasema sio habari ya kweli?
labda anataka kumdungua kama Habyalimana lakini ajue kwa kitendo hicho atakuwa amerasimisha vita na sisi!
Mkuu usipate mfadhaiko, Kagame anahara na anajua fika anachoweza kukikabili, pindi akituchokoza.
Kama uko karibu naye mtonye.
Wakuu.
Mbona tunapotoka hivi.
Kama Kagame kayasema haya kweli
Basi hiyo itakuwa ni issue binafsi kati ya KJ na Kagame
Ya nini kutuingiza wa Tanzania kwenye migogoro ya watu binafsi????
Acha hizo ...Yeye alifikirii akimu address JK ..peke yake .watanzania watakaa kuangalia Rais wao anatukanwa...Kama anataka kumtukana binafsi tuwe kimya asubiri mwaka 2016....akiwa Msoga ...ndio awake nae bifu Sio Sasa!!!!!!