chalii wa rombo
Member
- Oct 19, 2012
- 9
- 0
piga tuu
Rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote Tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa Tanzania ni kama Congo!
Rwanda kwa eneo lake ni ndogo kuliko mkoa wa Kilimanjaro ambao ni mdogo kuliko mikoa yote Tanzania. Tutamkanyaga kama kifaranga cha kuku akithubutu! Asidhani kuwa Tanzania ni kama Congo!
.....Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR and urging negotiations negotiations? Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete] did not deserve my answer. I did not waste my time answering him It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible
"It is in these ominous terms that the Rwandan dictator General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called Youth Konnect", sponsored by his wife, Janet Kagame.
Relations between Tanzanian President Jakaya Kikwete and Rwandan leaders have soured in the last weeks. On several occasions Rwandan leaders called the Tanzanian President a genocide and terrorist sympathizer, ignorant, arrogant, and mediocre leader. The relations have deteriorated following the recommendation by President Jakaya Kikwete of open negotiations between Rwandan, Ugandan and Congolese leaders and their respective armed opposition in order to bring durable peace and security in the African Great Lakes region....
source..I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete
![]()
VIDEO:
Kuanzia dk ya 57
![]()
![]()
udogo wa eneo na uchache wa watu haina maana udogo wa uwezo wa kivita. Rwanda is very very good in military; it has invested a lot in military. In fact, it has invested more than any country in east african community. Ulaya kuna wanyarwanda wengi kwenye military academies, mtoto wake pamoja na vijana wengi wa kitusi wamesomea usa in renown military academy. Na wao wanajua kuwa wamezungukwa na maadui kote, kwa hiyo they seriously study military sio kama vijana wetu hata kwenda nje kusoma military wanachaguliwa kwa kujuana na wanaenda huko kutafuta pesa na sio mafunzo. Lakini pia rwanda imekuwa kwenye vita muda wowote. Nilikuwa naongea na rafiki yangu mwanajeshi anayesomea mafunzo ya jeshi la anga huko uingerezbahima a ananiambia kuwa rwanda haihitaji hata wiki moja kuiangusha serekali ya drc anasema makomandoo wao wengi wamejaa kinshasa, dar es salaam na kampala tayari tayari. Ila hawajafika tu nairobi. Baada ya yule professor wa chuo kuuawa ndio nikakumbuka maneno ya huyu jamaa.
Anazungumzia kitu chenye ncha kali?
Hv wewe hivi hata unafuatilia upepo unaendaje katika nchi za East Africa...? Mseveni, Uhuru na Kagame wananizatiti kibiashara pamoja, na kama unajidanganya eti uhuru rais wako imekula kwako..TANZANIA SASA HIVI IMETEGWA SABABU YA HUYO MAGAMBA WENU MLOPOKAJI..Rwanda achana nao na km wangekuwa wanaitegemea sana tz, ndhn tungeizidi uchumi Rwanda..Eti tunajua siraha zao, mwenzako Kikwete kajua Moto aliouwasha ni wa petrol, ndo maana kaona anyamaze tu..hiviii...kagame ni nani hasa ukiondoa kuwa raisi wa nchi ndogo ya rwanda?...
A landlocked country inayotumia bandari ya mombasa kenya na dar es salaam tanzania kuingiza bidhaa zake na hasa za kivita in case wakianzisha vita na tanzania.
Mbona strategically kagame tushamshinda vita anayotaka kuianzisha dhidi yetu....anajuwa kuwa hata uhuru kenyata alipata urais wa kenya akitokea tanzania alikopewa mbinu za kiushindi na serikali ya ccm?
Atapitisha wapi silaha zake ili atushinde vita sie watanzania??..je anajuwa kuwa kila silaha aliyonayo sie tunaijuwa kwa sababau alipitisha nyumbani kwetu wakati kazinunua?
Je ..hajiulizi kimya chetu kinamshindo gani..coz tunajuwa rafiki yake wa karibu/mjomba wake museveni ndiye tegemeo lake kwenye vita hii anayoinunua...na je anajuwa tunafikiria kuwachapa wote kwa mpigo na kwa kushirikiana na rais wetu uhuru tunazuia silaha zisipite mombasa kama tulivyomdhibiti idd amin enzi zile za kenyata?
Muambieni kagame..uwepo wake kama rais wa rwanda unategemea huruma yetu sie tanzania na kwa kiasi fulani kenya pia .... Ila kenya nao wanakuwa makini na watu hawa coz waganda wameanza chokochoko huko migingo.
Kwa simple analysis ya war infrastructures and logistics nashindwa kumuelewa "kagame ni nani" mpaka tukae tukijaza server ya jf kwa post nyiiiiingi wakati he is a closed chapter and thats what keeps jk quite over his nonsense utters.
endelea kuwa na propaganda na majivuno ya kitusi! mtapotea dimba muda c mrefuUdogo wa eneo na uchache
wa watu haina maana udogo wa uwezo wa kivita. Rwanda is very very good
in military; it has invested a lot in military. In fact, it has invested
more than any country in East African community. Ulaya kuna wanyarwanda
wengi kwenye military academies, mtoto wake pamoja na vijana wengi wa
Kitusi wamesomea USA in renown military academy. Na wao wanajua kuwa
wamezungukwa na maadui kote, kwa hiyo they seriously study military sio
kama vijana wetu hata kwenda nje kusoma military wanachaguliwa kwa
kujuana na wanaenda huko kutafuta pesa na sio mafunzo. Lakini pia Rwanda
imekuwa kwenye vita muda wowote. Nilikuwa naongea na rafiki yangu
mwanajeshi anayesomea mafunzo ya jeshi la anga huko Uingereza ananiambia
kuwa Rwanda haihitaji hata wiki moja kuiangusha serekali ya DRC anasema
makomandoo wao wengi wamejaa Kinshasa, Dar es Salaam na Kampala tayari
tayari. Ila hawajafika tu Nairobi. Baada ya yule professor wa chuo
kuuawa ndio nikakumbuka maneno ya huyu jamaa.