Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,189
- 3,548
Why now you have turned great beasts like that???
uzalendo wa Mtanzania upo at all time low,tusiombe vita au tutaona maajabu ya wa tz wakimkumbatia adui. Huo ndio ukweli. jwtz na polisi wa endelee kuwadhibiti wapinzani mtwara, arusha, zanzibar mbeya etc etc wasidhubutu kamwe kufungua war front na Rwanda,Malawi. Time is simply not right. I am done.
Mkuu huyu jamaa kwa vile wanajeshi wake wanamchezea KABILA DRC wanaingia na kutoka wapendavyo anadhani hata TZ atafanya hivyohivyo ni makosa makubwa kwa JK kumnyamazia mtu kama Kagame.Look at this fool.Ajaribu aone jinsi watanzania tutakavyoungana kumfunza adabu and dump him huko lake Tanganyika.Na sisi tumekua wapole mno maana mimi ningemuonyesha cha moto.Hakuna cha intetnational community!
Kaka wanaosema jeshi letu lina nguvu wana refer kipindi tofauti kabisa na wanaosema nchi yetu kubwa nao pia ni wafinyu wa mawazo, ukubwa wa nchi sio kushinda vita. Kumbuka Tony Blair ndiye mshauri wa Rwanda na ana reputation kubwa sana yule mzee na ushawishi mkubwa na anaheshimiana na Kagame kwa sababu kagame anatumia ushauri wa yule mzee. Hawa wanaotaka kutupiga ni wazungu tu walitaka kupitia ziwa nyasa wameona wanachelewa sasa hivi wanapitia Rwanda. Vita ni mbaya, hivi kabla ya vita tuko taabani je tukiingoia vitani mnadhani itakuwaje??? Baba Mwanaisha anahamisha familia yake yote na ndio itakayokuwa nafasi ya mafisadi kuba zaidi. Tukiingia vitani umaskini hautakuja ututoke kwa miaka mingi sanauzalendo wa Mtanzania upo at all time low,tusiombe vita au tutaona maajabu ya wa tz wakimkumbatia adui. Huo ndio ukweli. jwtz na polisi wa endelee kuwadhibiti wapinzani mtwara, arusha, zanzibar mbeya etc etc wasidhubutu kamwe kufungua war front na Rwanda,Malawi. Time is simply not right. I am done.
\For the first time since President Kikwete elected...I stand by my President! This Rwandese 'maniac' who eagerly wanted to be crowned 'dictator' (HE IS NOT!) have 'chuki-binafsi' na Tanzania. The way I see, the issue here is not Kikwete's comment..the issue is Tanzania. Atuchokoze tumpige ka Nduli! Shalikenda zake..
Kama kweli amesema hivi, Kagame mgonjwa wa akili! Huwa mimi maoni yangu ni kwamba watu watenganishe siasa na ukabila, na wakati mwingine nakuwa accused of supporting PK, nikisema chondechonde achene kuwashambulia Watutsi.Lakini sasa kama Kagame amesema haya manneo, basi apigwe! make tumechoka, atakuwa hafai kuwa raisi kabisa! Ila sasa kuna wanyarwanda weeengi ambao ni wapinzani wa kagame, kazi yao ni kuandika kwenye internet anti-kagame propaganda. Moja ya website inaitwa Afroamerican web. Ebu tu google kama hii piece haijaanzia pale. make hii afroamerican forum ni ya genocidaires, ukisoma articles zao A-Z so ni vigumu kupata ukweli...
Siku zote ukiona mtu mzima anaongea upumbavu mbele ya media au watu dhidi ya kiongozi mwenzake ujue ana matatizo.
Rwanda ni kama sisimizi kwetu, kama anazungumzia vita Tanzania inaweza kuichukua rwanda na kuifanya wilaya kama biharamulo tu.
This idiot must be stopped now.
Kagame ni muuaji na --------, huwezi kukataa kumaliza matatizo na adui yako hata uwe nani labda tu uamini kuwa unaweza kuwaua wote ubaki peke yako. Leo tunaona marekani yenye uwezo wa kuwamaliza kabisa Taleban imekubali kukaa chini na kuongea nao sembuse Rwanda na interahamwe ambao ni wahutu na Rwanda ni nchi yao?
Achen ujinga nyinyi hvi nan aliye waambia kuwa ilikushinda vta lazma iwe nchi kubwa ....ushindi wa vta ni mipango,uzarendo na slaha co ukubwa wa pua
Siku zote ukiona mtu mzima anaongea upumbavu mbele ya media au watu dhidi ya kiongozi mwenzake ujue ana matatizo.
Rwanda ni kama sisimizi kwetu, kama anazungumzia vita Tanzania inaweza kuichukua rwanda na kuifanya wilaya kama biharamulo tu.
This idiot must be stopped now.
Kagame ni muuaji na --------, huwezi kukataa kumaliza matatizo na adui yako hata uwe nani labda tu uamini kuwa unaweza kuwaua wote ubaki peke yako. Leo tunaona marekani yenye uwezo wa kuwamaliza kabisa Taleban imekubali kukaa chini na kuongea nao sembuse Rwanda na interahamwe ambao ni wahutu na Rwanda ni nchi yao?
Mkuu usione ukimya wa Tanzania, kwenye international politics huwa nipo confident sana na Tanzania pamoja na intelligence yake. Sina shaka kwamba Tanzania inazichanga karata zake vizuri. Membe alishasema Tanzania haina mpango wa kumuomba radhi, bila shaka something better is being thought of. Pengine aanze yeye Kagame kushughulikiwa na kuachia madaraka. Kama ilivyompandikiza Mseven Uganda, ikamuweka Laurence Kabila kule Congo, naamini haitashindwa kwa huyu.
Mkuu mbwa ni nani sasa hapo???
uzalendo wa Mtanzania upo at all time low,tusiombe vita au tutaona maajabu ya wa tz wakimkumbatia adui. Huo ndio ukweli. jwtz na polisi wa endelee kuwadhibiti wapinzani mtwara, arusha, zanzibar mbeya etc etc wasidhubutu kamwe kufungua war front na Rwanda,Malawi. Time is simply not right. I am done.
rosemarie acha uchokozi, tangu lini mimi ni CCM? I agree with you kwamba when it comes to international affairs we (CHADEMA and CCM) are both Tanzanians, despite our political affiliations. Our political differences will only be expressed when we are discussing our home affairs.Your ccm myself chadema'but we can not take this nonsese'wamejaribu kutugombanisha wameshindwa'Tanzania itabaki kama ilivyo forever
Kaka wanaosema jeshi letu lina nguvu wana refer kipindi tofauti kabisa na wanaosema nchi yetu kubwa nao pia ni wafinyu wa mawazo, ukubwa wa nchi sio kushinda vita. Kumbuka Tony Blair ndiye mshauri wa Rwanda na ana reputation kubwa sana yule mzee na ushawishi mkubwa na anaheshimiana na Kagame kwa sababu kagame anatumia ushauri wa yule mzee. Hawa wanaotaka kutupiga ni wazungu tu walitaka kupitia ziwa nyasa wameona wanachelewa sasa hivi wanapitia Rwanda. Vita ni mbaya, hivi kabla ya vita tuko taabani je tukiingoia vitani mnadhani itakuwaje??? Baba Mwanaisha anahamisha familia yake yote na ndio itakayokuwa nafasi ya mafisadi kuba zaidi. Tukiingia vitani umaskini hautakuja ututoke kwa miaka mingi sana