Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Look at this fool.Ajaribu aone jinsi watanzania tutakavyoungana kumfunza adabu and dump him huko lake Tanganyika.Na sisi tumekua wapole mno maana mimi ningemuonyesha cha moto.Hakuna cha intetnational community!

Weak Leadership! Tanzanians we are very sorry kwa kweli and no wonder tukasambaratishwa kwasababu heshima ya TZ sasa imeshuka sana katika jumuia ya kimataifa huku ndani CDM wametushinda, Malawi wanakuja juu and ths has been there for a long but wameona ndo wakati sahihi kupigania ziwa lao, Kagame bila aibu anatishia kwa upande mwingine,EAC Kenya ,Uganda wanafanya ya kwao wamechoka, USA wanataka na ni sasa hivi no discusion na sasa usalama wetu upo UCHI system nzima ya ulinzi ilitekwa hili halifanyiki kwenye taifa lolote lililohuru, Wachina wanataka na sasa hivi msishangae RED BRIGED wafadhili ndo haohao tuchapane wachote mali zetu.Hatuna viongozi nchi imesambaratishwa watz tusimame imara tuipiganie nchi yetu Hatuna UONGOZI.Verry Sorry!

Ile nothern corridor which Mseveni talked about in his meeting with Kagame na Kenyatta, haya ndo matokeo yake. Kwa mtazamo wangu, mpango ulikuwa ni hivi silaha ziingie Rwanda na Uganda kupitia Kenya. Hakuna cha biashara wala nini pale, tusidanganyane!!
 
Sasa hivi hawawezi fanya hivyo dunia iko kama kijiji.

Dunia kuwa kama kijiji inahusiana vipi na uwezekano wa nchi kulazimisha watu kwenda jeshini? Nielimishe nielewe zaidi hapo tafadhali.

Kuna kitu kinaitwa draft,ila ikifikia hapo,ni lazima serikali husika iwe inapendwa na wananchi vya kutosha.
Draft ni utaratibu wa serikali kuwaingiza wananchi jeshini upende usipende, hasa wakati wa vita. Kwa hiyo haijalishi kama serikali inapendwa au haipendwi na wananchi, sio hiari. Mafanikio ya kuunda jeshi la kujitolea ndio yanaweza kutegemea serikali kupendwa au kutopendwa na wananchi. You got it backwards.
 
`
Twende mbali zaidi tufikiri sana hivi kweli ni kagame tu au wapo wengine nyuma yake au maadui wa kagame wanafanya hivi,

Mimi nina hakika Mheshimiwa Kagame yuko mentally SOUND, naweza kuwa natofautia naye kwenye maeneo fulani lakini hili la kusema eti kamtukana/kumdhalau Mh.JK nafikili maadui wa Kagame ndio wanaeneza uvumi huu; Kagame is no fool hawezi kujipiga risasi mguuni kwa ku-comment kwenye vitu ambavyo vinaweza kuhashiria MWISHO WA UTAWALA WAKE na yeye mwenyewe!

Kama kayasema kweli - basi naona ana an inflated view ya uwezo wake kutokana na kukaa madarakani kwa muda mrefu - oh yes wahenga usema "Absolute POWER corrupts absolutely!!" Yaani amefikia hatua ya kujiona yeye ni Demi GOD sort of, mpaka Kagame afikie hatua ya ku-comment such unfortunate remarks basi mwenye akili unajua kuna ma RAISI wa nchi jirani wanao-mback up - tukichukulia mikutano ya hivi karibuni baina yao ambayo hawakushirikisha TANZANIA, yote hayo ni mbinu zao za kufikili wanaweza kuishinikiza TANZANIA kwa kuchezea vita vya kisaikolojia, ukweli wa mambo TANZANIA wala haitaji msaada wowote kutoka nchi hizo ambazo kwanza hazina shukurani kwa kuwahifadhi kwa muda mrefu kama wakimbizi wakaishia kutuharibia mazingira na kufanya ujambazi and what have you! Ukweli wa mambo Tanzania haitaji war mongers - tuna baadhi ya majirani wahadirifu wanao jali ubinadamu sio mambo ya kabila moja kijiona ni bora kuliko kabila lingine na hii ndio inawamaliza baadhi ya majirani zetu.

Tanzania ina ushirikiano mzuri na nchi za Kusini mwa Africa ambazo tunazi amini sana na kushirikiano nao kwa karibu - hatuitaji waiba kura na ma-dictator ku-import vurugu zao nchini mwetu au kuishikiza TANZANIA ifanye mambo ya kujinga. Tatizo la baadhi ya hawa wakoloni mambo leo katika jumuhia ya Afrika Mashariki awajifunzi kutokana na historia! They can't borrow a leaf kutoka kwa Administration ya sasa hivi ya Merikani, oh yes Merikani pamoja na kuwa na nguvu za kivita/kiuchumi duniani imefikia hatua ya kukubari kukaa meza moja na ma TALIBAN na kumaliza VITA/tofauti zao; leo hii Mh.Kagame anaona binadamu mwenzake mwenye kipaji cha kuona mbali si mali kitu!! JK kakosea nini anapo mwambia Kagame bila ya kumungunya maneno kwamba RWANDA isijidanganye kwamba inaweza kuwa na amani ya kudumu bila ya kukubali kukaa meza moja na mahasimu wao wakamaliza tofauti zao, badala ya kutafakali ushauri wa JK yeye (Kagame) anaendeleza ubabe wake husio na taji kwa TAIFA lake na vizazi vijavyo, anasahau kwamba naye ni binadamu hawezi kuishi milele - haya ya kujidanganya eti ameweza kuimarisha AMANI ndani ya nchi yake ni kujidanganya tu i.e amani hiyo ni too artifical.

Sina shaka Kagame alikuwa anafatilia kwa karibu ujio wa OBAMA nchini TANZANIA - ajaribu kutafakali comments ambayo OBAMA alitamka kuhusu utawala wa RWANDA - mwenye MACHO ahambiwi TAZAMA! Pale alitumika lugha ya kidiplomasia, lakini wakiendeleza ubabe wao the Hague haiko mbali.
 

Rwanda inamtusi Rais wa JMT mchana kweupe bila uoga kwasababu anajua waTanzania si wamoja tena wamegawanyika kwa misingi ya ukanda,ukabila na udini.Kwasababu anajua Tanzania ile aliyoicha Mwalimu Nyerere imetekwa na kikundi kidogo kinachouza rasilimali za nchi huku wananchi wakibaki katika hali ya umasikini mkubwa.Kwasababu anajua vita ikianza watakaofaidi tenda za ununuzi wa vifaa feki kwa bei ya kubambikiza ni kundi la mafisadi.
Mkuu wangu Ngongo, hapa napenda kurudia tena! Unapokutana na kiongozi mwendawazimu kama Kagame hapahitaji eti sijui nchi kupoteza heshima na mambo kama hayo! Ukitaka kuishi kwa amani na wendawazimu aina ya Kagame bai ni labda usiingilie maslahi yake hata kama maslahi yake hayo yana athari kwa nchi yako(in this context, Tanzania)! Unapoingilia maslahi ya wendawazimu hata kama una heshima namna gani, bado ataivunja tu heshima hiyo! Umetolea mfano wa Mwalimu wa Nyerere, nazani umesahau kwamba ni Mwalimu Nyerere huyo huyo na heshima zake hizo hizo alikuwa anatolewa maneno machafu na kashfa kutoka kwa mwendawazimu mwingine, Iddy Amin! Tena kashfa ambazo Amin alikuwa anazitoa kwa Nyerere ni zaidi ya hizi za Kagame kwa JK.
 
Last edited by a moderator:

Rwanda inamtusi Rais wa JMT mchana kweupe bila uoga kwasababu anajua waTanzania si wamoja tena wamegawanyika kwa misingi ya ukanda,ukabila na udini.Kwasababu anajua Tanzania ile aliyoicha Mwalimu Nyerere imetekwa na kikundi kidogo kinachouza rasilimali za nchi huku wananchi wakibaki katika hali ya umasikini mkubwa.Kwasababu anajua vita ikianza watakaofaidi tenda za ununuzi wa vifaa feki kwa bei ya kubambikiza ni kundi la mafisadi.
Mkuu wangu Ngongo, hapa napenda kurudia tena! Unapokutana na kiongozi mwendawazimu kama Kagame hapahitaji eti sijui nchi kupoteza heshima na mambo kama hayo! Ukitaka kuishi kwa amani na wendawazimu aina ya Kagame bai ni labda usiingilie maslahi yake hata kama maslahi yake hayo yana athari kwa nchi yako(in this context, Tanzania)! Unapoingilia maslahi ya wendawazimu hata kama una heshima namna gani, bado ataivunja tu heshima hiyo! Umetolea mfano wa Mwalimu wa Nyerere, nazani umesahau kwamba ni Mwalimu Nyerere huyo huyo na heshima zake hizo hizo alikuwa anatolewa maneno machafu na kashfa kutoka kwa mwendawazimu mwingine, Iddy Amin! Tena kashfa ambazo Amin alikuwa anazitoa kwa Nyerere ni zaidi ya hizi za Kagame kwa JK.
 
Last edited by a moderator:
'M23 wakitaka vita tuko tayar'
'kagame azungumze na FDLR'
'KE+UG+RWANDA Northern corr '
'at right time i'll hit you,kagame'
'UG bough 6 sokhoi fighter jet'
SI WAKATI WA TZ KWENDA VITANI,KWA SABABU YA KAGAME,UKIZINGATIA TZ is most vurnalable kama haijawah kuwa,
 
Sasa hata vile vijirani vyetu vinatutukana na kutudhalilisha. Something must be very wrong with this adminstration.
 
Some symptoms of mental illness:

  • Overwhelmed by fear or worry
  • Depressed mood
  • Confused thinking
  • Trouble dealing with stress
  • Suicidal thoughts
  • Severe anxiety
  • Problems sleeping
  • Distance from friends and family
  • Paranoia
Mwenzenu naona kama Mzee Kagame kimeshaanza.Huwa kinaanza hivi hivi!

Kama ulikuwepo vile. Hata baadhi ya wanyarwanda wameanza kuwa na mashaka nae!
 
Let shame be upon him for he who accuses his father shall be cursed.:target:
 
Naona video imewekwa, nimecapture machache ndani ya video hiyo, kama vile "ill wait for you at the right place.."
Sasa kwa wale ambao ni impartial wanaojua kinyarwanda, tunaomba tafsiri halisi ya maneno ya Kagame ili tuweze kulinganisha na yale ya kwenye text hasa kuanzia dakika ya 57.
 
Nitafurahi sana siku ambayo Kagame atamu-hit huyu omba omba...
 
hahahahaha JK kalikoroga! watu wengine awapendi masiharaza, Mungu ibariki Tanzania, vita ni adui wa maendeleo, kama wana taka kupigana wapigane wenyewe face to face....
 
the best way to beat ur enemy is to make him ur best friend.
 
Kikwete anaponzwa na roho yake nzuri na ukarimu alionao, ndio maana wengine wanamdhiaki, Hivi ukiwa na roho nzuri huwezi kuwa Kiongozi mzuri?
 
it could be a war btwn a military college drop out(monduli) vs. a guerrilla war fighter.hahahaha cant wait.
 
Kwani tatizo ni nini hapa? Sipendi uongozi wa Jakaya kwa vipindi vyote akiwa madarakani kama Rais wa Tanzania. lakini, kutukanwa na kanchi kadogo kama Rwanda is disgusting!! Kisa Jakaya ametaka peace talks and negotiations kwa nchi zile zilizo katika vita ndani ya maziwa makuu.

Jeuri ya kagame ya kupigana vita vya mstuni, anataka kutuletea sie? Hii haikubaliki hata kidogo...

ACHA KAGAME ATUTOLEE HUYU J.K MAANA MIE NAONA NI DIKTETA ZAIDI ZAIDI NA MTU WA VISASI NA UPENDELEO KWA WATU WA DINI YAKE SANA.:embarrassed1:
 
Kagame is waiting to hit us at his own right place (East DRC). He has drawn a line where is impossible according to him for us to cross. He argued his soldiers not to defend their country but to attach us. These are words uttered by war monger and infamous President Paul Kagame. Things that should be put clear for Kagame to understand; (1) We don't want war with Rwanda but if it will happen we will win it (2) Whatever lines will be drawn by Kagame, we're sure by any means we will cross them (3) as opposing to the statement made by Kagame to advance instead of defending, Am 100% if war erupts, Rwanda will spend most of the time defending rather than attacking (4) Finally will be the end of calling Kagame President of Rwanda and the end of Kagame's dreams to build a strong Hima Empire in East Africa .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom