Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
kagame anaumwa magonjwa ya Chirs lukosi
 
Last edited by a moderator:
It is right time for Tanzania to side with Intaharamwe in order to get rid of this bastard Kagame
 
Tukae kimya vijana wapo congo pale na ni hao hao watafagia njia mpaka kigali.na baada ya hapo huyu bwana hana pa kukimbilia.kagera hawezi kigoma hawezi,uganda anajua kabisa museveni hacheui kwetu hivyo halali yake itakua ukimbizi na the hague inamngoja.
:cheer2😀ream!!!!!
 
Acha fix wewe! sio hii! asilimia 99 ya wanabidii ni member hapa.
a

Nafuu umesema asilimia 99 na sio 100! Ungekuwa na busara ungeenda kwanza wanabidii ndo uje hapa unibishie.
 
Unajua Lenny Kravits ni MYAHUDI na MJAMAICA? Ingawa kwa kimila, hatakiwi kuwa Myahudi kwa sababu Mama ni Mjamaica ila alikuwa akienda kwa Baba basi anavaa Kibalaghashia na kushuka kwenye Masinagogi yao.

Mnyarwanda pia anaweza kuwa Myahudi. Hujawahi kusikia zile ndege za jeshi zilikuwa zimetengenezwa kwa msaada wa Wageruman na zikawa zimeshawekwa Egypt uwanja wa ndege tayari kwenda kuisambaza Israel? Kuna Mdada ambaye Mama yake alikuwa Myahudi na Baba M-Misri. Alipoona zile ndege na zipo pale kwa nini, basi akachukua simu na kupiga kwenye hiyo namba aliyopewa na MAMA yake na dakika kadhaa baadaye, Ndege kadhaa zilishuka na kuzisambaza ndege zote za wa Egypt na ngoma ikalala. Inasemekana na Watusi wako hivyohivyo.

Sasa hivi Silaha ni pesa yako. Nilishawahi kuishi sehemu ambapo kama kilomita mbili kutoka ninapoishi, kulikuwa na Soko ambalo watu walisema pale ukitaka hata kifaru au ndege ya kivita utanunua. Na kweli, Guinea Conacry pamoja na kuwa walikuwa na kizuizi cha kununua Silaha, walikuja na kununua silaha za kutosha. Usafirishaji wake hapa analaumiwa sana kampuni ya MAERSK kuwa na yeye huwa anacheza rafu. Mzigo utachukuliwa hadi sijui Canada, huko unabailidhwa na kuwa mbao na kuletwa tuseme Spain, na Spain ukifika unakuwa ni msaada wa nguo na madawa kwenda Guinea, kumbe ndani ni SILAHA.

Kama sisi tunaweza, na wao wanaweza kununua. Hapa ni mwenye silaha kali na askari wazuri anashinda vita.

Lugha kali? Mungu bariki nilipitia JKT.
Kwanza samahani kwa lugha kali ya mwanzo, kumbe wewe ni ndugu yangu Mtanzania? nilidhani Mnyiarwanda anatutisha kutupa mifano ya Wayahudi.
nimwekwambia kabila langu lina udugu na Watutsi, sasa nitakuwaje Mwaarab? mimi Israel siichukii, tena ningeipenda isipokuwa tu kwa dharau walionayo juu yetu waafrika siipendi sana. Vita ya siku 6 sawa, lakini, jua kwamba vita vya sasa sio watu, ni teknolojia, na ikiwezekana isiwe ya kununua, sasa Rwanda kama sio kwenda Urusi kama sisi itawezaje kutushia teknolojia au udogo?
 
Will alwayz side with my country, my motheland, my destine.
On this!! I stand with whatever Commander in chief of our armed army will decide.
Am ready to volunteer my self in army for the better future of my country.
Mungu nisaidie
 
Hivi ile ishu ya Malawi imeishia wapi??

Noma ni pale mtakapolianzisha na Kagame yule Mama analianzisha kule chini, can we fight in two fronts?? Intelijensia wetu akina Rama Ighondu watatujuza...
unamaanish rama huyu mng'oa meno na kucha?
 
PAULO acha ngebe, kumbuka TZ ndio iliyo kuweka hapo ulipo, ingawa Una chuki binafsi na JAKAYA
Lakini ni vyema ungeheshimu wa-TZ na huyo ni Rais (JAKAYA) ni chaguo Lao vinginevyo itakugharimu.
 
Hivi unaweza kupigana vita au kuvunja uhusiano wa na nchi eti kwa sababu Raisi wako katukanwa? naona wengi wapo tayari to :boxing: Kagame...lol!!
 
Nahamu na Vita! Hawa wanajeshi wetu wanakula kodi zetu za bure wanatoka vitambi. Mpaka wamesahu majukumu yao sasa wamekuwa wanasiasa, kama vipi kinuke tu.
Pamoja na yote tukumbuke Israel ni nchi ndogo sana lakini ikiamua kuichakaza Tanzania yote ni siku tatu tu.
Tusitowe maoni yetu kwa kudharau inchi kuwa ndogo.
 
Sasa wa Tanzania mbona mnaishia kutoa Povu tu hata.
What is the next Move.
Kagame ndo kashatukana

Watanzania kwa kuongea, nawakakubali.

Laiti vita ingekuwa maneno.....

Mkuu Sikonge nimekusoma mchundo mwenzangu. Watu bado wako kwenye imani ya vita ni wingi wa watu na umiliki wa ukubwa wa eneo.... Too bad!
 
Last edited by a moderator:
Will alwayz side with my country, my motheland, my destine.
On this!! I stand with whatever. Commander in chief of our armed army will decide.
Am ready to volunteer my self in army for the better future of my country.
Mungu nisaidie
Nyooo!! We endelea na uchonganishi wako kwanye keybord tu. Wewe front line, unaijua?
 
Mwisho wake umefika anatafuta tiketi ya ukimbizi pindi kichapo kitakapo anza!
 
Na namkubali sana JK kwa ukimya wake na ni Mtu wa kipekeee big up jK
Daima ntakubali saana kwa werevu wako... Unajua unachofanya na pia
Ni Mtu wa amani.. Daima nipo nyuma yako na Mwenyezi akupe maisha marefu... Haya mambo sio ya kukurupuka Kama wengi wenye fikra mgando wanavyo zani... Kaa Kimya hivyo hivyo... Funika Kombe mwanahar...... apiteeeeeeeeeeeeeee
 
Nahamu na Vita! Hawa wanajeshi wetu wanakula kodi zetu za bure wanatoka vitambi. Mpaka wamesahu majukumu yao sasa wamekuwa wanasiasa, kama vipi kinuke tu.
Pamoja na yote tukumbuke Israel ni nchi ndogo sana lakini ikiamua kuichakaza Tanzania yote ni siku tatu tu.
Tusitowe maoni yetu kwa kudharau inchi kuwa ndogo.

Platinum post!!

Bado tuna kale kakiburi ka kumpiga Iddi Amin. That was late 70's. Siku hizi wajeshi wetu ndo hao wamekuwa hodari wa kufyeka nyasi makambini. Mabomu yalipolipuka Mbagala / Gongo Lamboto nao waliungana na raia kuingia mitini.... Seuze wanyarwanda kudadadeki kila siku wako Kongo wanapigaa kama manyani.... Sijui kama hawa wajeshi wetu tnaokula nao chipsi yai kitaa kama wataweza himili vishindo vya njemba zinazokula nyama mbichi za nyani....😛ainkiller:
 
Ni upuuzi sana kuendelea kuendekeza kauli za .Kipumbavu. za huyu jamaa! Anaidhalilisha sana ofisi ya rais na kimsingi lazima tuoneshe kutokukubaliana nae kwa maneno na vitendo!

Huyu inabidi apewe action.
 
Kuna baadhi ya vijirani vinavyotuzunguka vidogovodogo vinaota mabawa, ipo haja ya kudunda kamoja, kuweka heshima lakini pia wanajeshi wetu pia wapashe Maana ni muda sasa wapo kinadharia tu.
 
Kagame ukipata upenyo chapa makofi Huyu dhaifu wa Tanzania
Hahahahaha mpwa unamsoma huyu comrade hapa chini? Ndo maana hata yule dada pale Malawi alikuwa anamtia vidole vya macho..... I miss J.K Nyerere (RIP). Hakupitia jeshini kama huyu naniliu lakini mpaka mida hii angekuwa kashatuma salamu....😛ainkiller:

Ukicheza sana na mbwa ataingia utaingia naye msikitini.......... walisema waliotutangulia.....

Na namkubali sana JK kwa ukimya wake na ni Mtu wa kipekeee big up jK
Daima ntakubali saana kwa werevu wako... Unajua unachofanya na pia
Ni Mtu wa amani.. Daima nipo nyuma yako na Mwenyezi akupe maisha marefu... Haya mambo sio ya kukurupuka Kama wengi wenye fikra mgando wanavyo zani... Kaa Kimya hivyo hivyo... Funika Kombe mwanahar...... apiteeeeeeeeeeeeeee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom