Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
- Thread starter
- #101
Yaani majimbo 23 tu ambayo ukweli zaidiya nusu yake yamepatikana kutokana na magomvi ya ndani ya CCM na sio kukubalika kwenu kwa dhati tayari arrogance ya power imewazidi kiasi hiki?
Acha Taarabu.
Subiri 2015.