Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Hicho ndicho kitu ambacho hata kukisikia hawataki ndio maana hata JM alipowaambia kwamba jimbo la tarime walilipoteza kutokana na kutokuwa na umoja wa vyama, wao waliendelea kubisha na kudai sababu ni kuibiwa ndipo tofauti ya kura 1000 ikapatikana. wamesahau kuwa kura zaidi ya elfu kumi kama zingepigwa kwa chama chao kingevuka kwa kishindo kiasi gani katika jimbo lile. wengi wao wanaamini katika UMIMI na si katika UMOJA!Yaani majimbo 23 tu ambayo ukweli zaidiya nusu yake yamepatikana kutokana na magomvi ya ndani ya CCM na sio kukubalika kwenu kwa dhati tayari arrogance ya power imewazidi kiasi hiki?
Labda katika huo UBINAFSI kuna mafanikio!?