Kafulila: Watanzania Wanachagua Mtu, Siyo Sera!

Ujamaa umeshakufa, na hakuna mwenye muda wa kufufua mfumo ambao hauna dira wala muelekeo. Kusema CDM ni chama kinachofuata sera za Kibepari nadhani pia ni kukosea. CDM nao hawana sera za kipepari wala za kijamaa. Lakini swala muhimu ni moja, katika karne hii ya 21 hakuna nchi inayoshikilia sera za upande mmoja bila kuchanganya. Ubepari wa Adam Smith umeshakwisha na ujamaa wa Max umeshakwisha. Hivyo chama chenye dira na muelekeo kinapaswa kusoma nyakati na kuchanganya au kuiba kutoka kwenye kila upande wa ideology. Mfano free education kwa watoto wetu mpaka form six hii ni idea ya kijamaa ambayo Tanzania tunaihitaji. Kuondoa serikali kuongoza makapuni ya uzalishaji hii ni sera ya kibepari ambayo tunaihitaji.

Tukija kwenye swala la Kafulila, kwanza angalia political model wake ni nani? Ni dhahiri kwamba Zitto amechangia kwa kiasi kikubwa Mh. Kafulila kufika hapo alipo, sasa ni wazi kabisa Mh. Kafulila anataka kutumia same political style ambazo Mh. Zitto alianza nazo, kitaalamu tunaita Political Gotcha. Mfumo ambao unatafuta popular issues ili uweze kushinda au kupata mass support. Hizi ni siasa ambazo ni dead end.

Ushauri kwa Mh. Kafulila, kwanza soma viongozi wenzio mbali mbali Duniani walifanya nini kufikia malengo yao. Kuwa msikivu kutoka kwenye pande zote mbili. Achana na personal attack politics kwani ni dead end. Mwisho jifunze ni jinsi gani sera zinafanya kazi na sio kuropoka ropoka bila research.

Na kwa wabunge vijana, Watanzania wamewapa dhamana kubwa sana. Vijana hawa ndio watatoa hatima ya Tanzania. Nashauri vijana hawa wasome baadhi ya vijana wenzao wa chache mwaka 1961. Wajifunze njia za uongozi, waelewe kwamba Ubunge sio kazi mchezo, ni dhamana kubwa sana ambayo ni ngumu kuilinda. Watanzania ni masikini wakutupwa, mfumo unaowaongoza hawa masikini unatengenezwa na watu wenye imani kwamba umasikini hautokomezeki.

Kampeni zimekwisha sasa, tunataka execution ya sera zote ambazo tumezisikia. Badala ya kupigizana kelele nani wajamaa nani mapebari nendeni mkabadilishe maisha ya Watanzania.

well said wa kwetu!
 
David Kafulila mbele ya microphone.

Mbele ya macho ya Watanzania.

Anasema (nanukuu):

"Kama Watanzania wangezingatia sera za vyama wakati wa kuchagua viongozi, basi chadema kisingeshinda". Hajasema kivipi.

Sababu?

"Chadema ni chama cha kibepari" (akapigwa swali na mtangazaji, 'kwani ulipokuwa chadema ulikuwa hujui kama chadema ni cha kibepari?' hajajibu mpaka dakika hii). Akaendelea.....

"Sera za kubepari haziuzi Tanzania".

Maoni yangu.

Watanzania wa leo si wakupigia matarumbeta. Unapokosoa vyama vingine, ukumbuke na kutoa alternative. Chama gani ni bora zaidi ya Chadema?

Nilichokiona kwa bwana Kafulia ni uso wa mtu 'aliyetumwa'. wivu na chuki dhidi ya chadema. Chadema kitasimama.

Kama bwana kafulia amechaguliwa kama 'mtu' na si kwa 'sera', basi hilo ni tatizo la wananchi wake. ana kazi ya kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wa jimbo lake. na nina uhakika kama wananchi wa jimbo lake wataipata vema hiyo elimu ya uraia 2015 atarajie kupungukiwa wabunge kwenye chama chake au kukosa wabunge kabisa.

kwa ujasiri nasema:

Chadema msikubali kuungana na CUF na hawa waganga njaa kina kafulia.

these guys walikuwa na jazba ya kuua mtu. inaashiria ni uchungu kiasi gani wanao kwa kutokutambuliwa katika ushirika wa upinzania rasmi bungeni. huyo wa nccr alitetea mno cuf kiasi kwamba nadhani waliwekwa kikao cha pamoja kuandaliwa lakini huyo wa cuf akawa mtupu zaidi hadi akaishia kugonga meza. so shameful.

halafu wamedai mara kwa mara kwamba eti wananchi ndio wanaotaka kambi moja ya upinzani. wasitusingizie bana mimi sitaki kabisa. kisha wakatoa mfano wa serikali ya umoja ya uingereza lakini hawakueleza masaibu yanayoikumba hiyo serikali sasa hivi, labda kama hawafuatilii

they are just lonely loosers!!!!!!!! chadema msikubali
 
Binafsi yangu nina marafiki ambao ni viongozi ndani ya CDM lakini mara zote hupenda kuwaambia yaliyo ya kweli kwa manufaa ya Tanzania. Ambao hawanielewi wananikwepa kabisa lakini wengine tunakubaliana na kufumbua matatizo pamoja.

ikiwa kweli CDM wanaweza kujisimamia bila msaada wa watu wengine, wakumbuke kuwa chama sio kabila mtu wakati wowote anaweza kubadili chama!!

Nimeipenda hiyo kwenye red, nadhani watanzania wengi wali wa amini CDM kwa sababu hiyo ndo maana wakawapa kura za kutosha ila NEC wakachakachua matokeo! Kuhusu Mafisadi 11 walisema kweli ndo maana mafisadi waligwaya kwenda kwa pilato, kuhusu Richmond kweli tupu, Buzwagi sawia kabisa nk nk. Kafulia na Mtatilo walikuwa wanatapatapa tu. Wakae bench kwenye kambi ya upinzani au wajiunge na waliojiunga nao Zenji. CDM Mwendo mdundo na mambo yatakuwa mambo!
 
umeongeza neno BAADHI.

kama CCM wenyewe wanatekeleza sera za Chadema (wengine wanasusia hata mashangingi), itakuwa halmashauri?

Acha upotoshaji.

Inaelekea hujui unachokisema.

nyamaza.
Hebu tuelezee wewe unachokisema kwa kukijua hapo!:rolleyez:

watu waliofilisika kisiasa wanaona hilo nalo ni hoja.

jambo la kufikirika.

anyway, baba yangu kule kijiji cha Mbala, Chunya hayuko interested na kufahamu uhusiano uliopo kati ya waanzilishi wa Chadema. anachojua sasa ni kuwa angalau kuna chama kinachoziishi fikra za Nyerere.

Kwani don't you feel like giving credit to Leticia and Vincent for joining Chadema, and not NCCR, CUF and other crap?

wivu na chuki binafsi vimewajaa.

poleni sana
fikra za ujamaa na kujitegemea ndani ya Chadema!!? ingelikuwa ndivyo kusinggekuwa na mgogoro wa Kafulila & co. But you did not tell us about Makongoro ambae ndiye mtoto halisi wa Mwalimu. Hapo ndipo mnaponifurahisha hamtaki kusema kwanini Makongoro alikwenda NCCR kisha kurudi CCM na si Chadema!! Mnabaki kumzungumzia Leticia ambae wengi inaonesha mnadhani ni mtoto wa Nyerere pia!! yule alikuwa mkwe tu na alipoachana na mtoto wa Nyerere aliendelea kutumia jina hilo ili kusafisha nyota. Na wengi wa wadanganyika wamelichukulia hivyohivyo. Au hamjui kwanini Makongoro alikwenda kule kufanya kampeni ya CCM na kuuanika ukweli je mmesahau hii leo??

KWANINI HAMTAKI KUUONA UKWELI NA KUUKUBALI?
KWANINI MNAPENDA KUPOTOSHA MAMBO KWA KUKIMBILIA KWINGINE?
JE MWADHANI WADANGANYIKA HAWAJUI NINI KINATAKIWA NA NINI HAKITAKIWI?
JE MWADHANI NI UONGO KUWA CHADEMA ILICHAGULIWA KWA SABABU YA SERA ZAKE? CHADEMA IMECHAGULIWA KWA SABABU TU YA WATU KUICHOKA CCM. WALIPIGA KURA ZA CHUKI! NDIO MAANA KWINGINEKO "NASISITIZA" MADIWANI WA UPINZANI ELIMU YAO NA UWEZO WAO KIUTENDAJI NI VYA KUTIA MASHAKA:embarrassed:
 
Nimeipenda hiyo kwenye red, nadhani watanzania wengi wali wa amini CDM kwa sababu hiyo ndo maana wakawapa kura za kutosha ila NEC wakachakachua matokeo! Kuhusu Mafisadi 11 walisema kweli ndo maana mafisadi waligwaya kwenda kwa pilato, kuhusu Richmond kweli tupu, Buzwagi sawia kabisa nk nk. Kafulia na Mtatilo walikuwa wanatapatapa tu. Wakae bench kwenye kambi ya upinzani au wajiunge na waliojiunga nao Zenji. CDM Mwendo mdundo na mambo yatakuwa mambo!
Hebu nipe tathmini yako: Je CHADEMA BILA KUCHAKACHULIWA ILIPATA WABUNGE WANGAPI??? Kisha tutaenda kwenye majumuisho ya Ushindi wake :teeth:
 
Nijuavyo CHADEMA kama chama na kwa mujibu wa katiba yao kinafuata itikadi za kibepari kama ilivyo kwa upande wa CCM kinapaswa kufuata itikadi za kijamaa. LAkini ama kwa kukosa umakini ama uthubutu wa kisiasa wanasiasa wengi wamekuwa wakikimbilia kupigia debe sera zinazokingana na itikadi rasmi za vyama vyao na kwa kuwa watanzania walio wengi tumekosa nidhamu ya kufuatilia na kupima mambo kwa mapana yake basi huwa tunaishia kuwashabikia wanasiasa wa aina hiyo.

nimependa ulivyozungusha maneno ilipokuja CCM, sijui hata kama ulinotice mkuu
 
Wanasiasa wote duniani wako hivyo, you can imagine sera za wanafunzi wote shule ya msingi watakuwa na computer ili waweze kufundishwa kwa online katika nchi kama yetu hii si upumbavu?
Mi naona kuwe na Technologia mtu akikuudhi na yuko kwenye TV unamshuti apo apo kwenye screen na anakufa huko aliko.

Hii imekaa vizuri!!!!!, Mkwere asingekuwepo.....
 
David Kafulila mbele ya microphone.

Mbele ya macho ya Watanzania.

Anasema (nanukuu):

"Kama Watanzania wangezingatia sera za vyama wakati wa kuchagua viongozi, basi chadema kisingeshinda". Hajasema kivipi.

Sababu?

"Chadema ni chama cha kibepari" (akapigwa swali na mtangazaji, 'kwani ulipokuwa chadema ulikuwa hujui kama chadema ni cha kibepari?' hajajibu mpaka dakika hii). Akaendelea.....

"Sera za kubepari haziuzi Tanzania".

Maoni yangu.

Watanzania wa leo si wakupigia matarumbeta. Unapokosoa vyama vingine, ukumbuke na kutoa alternative. Chama gani ni bora zaidi ya Chadema?

Nilichokiona kwa bwana Kafulia ni uso wa mtu 'aliyetumwa'. wivu na chuki dhidi ya chadema. Chadema kitasimama.

Kama bwana kafulia amechaguliwa kama 'mtu' na si kwa 'sera', basi hilo ni tatizo la wananchi wake. ana kazi ya kutoa elimu ya uraia kwa wananchi wa jimbo lake. na nina uhakika kama wananchi wa jimbo lake wataipata vema hiyo elimu ya uraia 2015 atarajie kupungukiwa wabunge kwenye chama chake au kukosa wabunge kabisa.

kwa ujasiri nasema:

Chadema msikubali kuungana na CUF na hawa waganga njaa kina kafulia.

wananchi wake wangechagua chama basi yeye mwenyewe asingeingia bungeni. chama chake hakijulikani kabisa huko alikotoka.
 
Hivi anaposema ni chama cha kibepari kwani ni uongo? naamini ni ukweli chadema ni cha kibepari kama Muasisi wake Mtei sawa.
Lakini kwani tanzania inataka chama cha namna gani? Jibu litakuwa chama cha kibepari ni mnafiki tu atasema cha kijamaa ambacho hakijawahi kuwepo Tanzania alijaribu Nyerere na alishindwa so tusipotezeane muda Tanzania tunahitaji ubepari na anayehubiri ujamaa tumuogope kama ukoma,

Kuhusu elimu bure na kupunguza kodi kwenye vifaa vya ujenzi siyo sababu tosha kusema chadema siyo chama cha kibepari hata namna ya kuchagua viongozi wa upinzani bungeni wamekiri walitumia method ya kiingereza ambalo ni taifa la kibepari.

Kama tunataka taifa la kijamaa na tusubiri miaka mingine 50,000 ili Tanzania iweze ku- coup na ujamaa, hii ni kwa sababu huwezi kuanza kutembea kabla ya kutambaa wala huwezi kuzaliwa ukiwa na meno na haya yakitokea klabla mara zote ni maajabu.

Russia walijaribu kuishi kijamaa lakini wameshindwa matokea yake kuna matajiri kupindukia wachache na masikini kuliko maelezo lukuki na leo hawa jamaa ni mabepari.

Kafulila kapata na masikini akipata..........??????? napenda kuona wapinzani wakiungana lakini kama wanatofautiana kwa mawazo ya kawaida kama haya sioni umuhimu wa kuungana hi ni kwasababu kuna tofauti kubwa ktkt yao
 
Hii dunia ya ajabu sana.

Ukisikia nchi kama UK, USA, German nk unapata mawazo kuwa huko ndiyo Ubepari umelala.

Ukifika huko unakuta matibabu bure, shule bure, hiki bure kile bure na au serikali inasaidia malipo.

USA wenyewe wameshindwa na system yao na serikali itakuwa inakula meza moja na Mabepari.

Nafikiri cha muhimu kwa hali ilivyo sasa duniani ni kuwa katikati. Kuwasaidia watu pale inapobidi huku ukiweka hali ya ushindani ili kila mwenye bidii basi kipato chake kiwe kikubwa bila ya kuzuiliwa na System. Kwa mvivu na yeye basi walau asife njaa au kulala nje.

Mengine haya tutabishana hadi kesho ni UPUUZI MTUPU.

Kwa anayedai Zitto anapoteza hapa muda kujibu badala ya kwenda kwenye jimbo lake, khaa!!!!

Hii ni Pumba ya siku kwa leo. Kwani Zitto anafikiri kachaguliwa na JF? Hii ni dunia nyingine kabisa.

Hapa anashinda na watu kibao ambao hata kura hawajapiga na si ajabu hata Passport zao si za Tanzania.

Nategemea Zitto anafahamu kupanga muda wake vizuri ili kuwa na sisi JF na kuwahudunia watu wake.

Akijisau na kuwa mlevi wa JF, basi mwaka 2015 itakula kwake. JF haijamzuia mtu kufanya kazi zake.
 
ujamaa as we know it is dead......... Where are the fore runners of ujamaa... Russia?.... China?..... Maybe you can have a case kidogo kuhusu cuba..

my point is mwananchi wa sasa does he care about this so called names ccm (inafata ujamaa wakati viongozi are eating everything without sharing with community) chadema (the ones you are calling mabepari lakini wanafight for free education, afya and etc)

so please lets stop about this labelling.... These are all modes of production as society evolves from gentilian society to feudalism to capitalism or socialism..... Hakuna nchi in the world ambayo its 100% communists nchi karibia zote sasa ni za kipebari



can't agree further!
 
Nchi zilizotajwa, kuna kodi chungu nzima zinalipwa na watu wake kwa sababu ya kulipia huduma mbalimbali za kijamii. hakuna cha bure kwenye nchi za kibepari na ndio Tanzania imeanza kuiga taratibu kitu kinaitwa bima ya afya - tuseme ni wanaohudumiwa ni bure kwa bima hiyo ama walishalipia? danganyeni ambao wako nje ya dunia. Nilishasema mtu akiona pumba - apete ili apate mchele, vinginevyo ni kujilisha upepo
 
(hapo kwenye red sijui umetumia kigezo gani?)

Slaa(PhD) anweza kuhama Chadema. Lakini. ataenda wapi? Labda aanzishe chama chake kingine.

Kuhama kwake CCM na kwenda Chadema, kwa mtu makini kama Slaa(PhD) ilikuwa uamuzi sahihi kwa sababu sera za Chadema zimekaa ki-ukombozi. Alikimbia CCM baada ya kuona sera zimekaa 'kimkate' lakini ukweli ni 'jiwe'.

siamini na sikubali kuwa sera za Chadema ni sera za Slaa(PhD) kama mtu.

Kwa hiyo hoja zenu za ku-personalize mambo hatuzitaki.

Hazina mashiko.

I wonder kama hata hizo sera za Chadema unazijua maana kama unazijua usingekuwa na guts za kudai Chadema ni chama cha Kijamaa na kupinga kuwa ni chenye asili ya maslahi ya Mabwanyenye na sasa kinaelekea kuwa chama cha maslahi ya Kibepari.......

Hivi si Zitto alivyosema anataka kushindana na Mbowe kwenye uenyekiti kwa kuwa Mbowe anaamini katika ubepari na yeye anaamini katika ujamaa mkamzodoa kuwa anapingana na sera za Chadema?

Sera za Chadema zinabaki kuwa za kibepari lakini kwa kuwa wako tayari kupata wanachotaka kwa njia yoyote ile kwao wao haikuwa tatizo kufakamia sera za kijamaa kwani kama alivyosema kafulila Ubepari hauziki kwa watanzania walio wengi na ujamaa bado una mvuto wa kuwezesha kupata kura hata kama huaamini katika sera hizo....

Kumbuka kwa watanzania, tunafikiri kijamaa, tunakula kibepari kwa ladha ya kifisadi.....na hili ni tatizo la kitaifa, no matter which party u belong or sympathies with...
 
Omar,

CHADEMA kwa mujibu wa katiba yake si cha kibepari, ni cha mrengo wa kati. Soma hapa:
Itikadi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo

Mrengo wa kati ni itikadi gani hiyo. Nijuavyo mrengo ni kuwa unaegemea upande fulani wa kiitikadi na sio itikadi yenyewe. Chadema ni Right Centre Party na sio Left Centre Party..Maana ya hili ni kuwa bado Chadema bado wanaamini katika UBEPARI lakini wako tayari kufikiria masuala ya Kijamaa mradi kama yanalipa kisiasa....Hujui kuwa hata CCM ni Left Centre Party?

Chama kingine ambacho kikatiba kinaweza kusema ni Left Centre Party ni NCCR Mageuzi ingawa nao naona wanaendelea kumezwa na fikira za kibepari haswa baada ya kumpumzisha Polisya Mwesigye ambaye kama alivyokuwa Mangula wa CCM, ndio walikuwa mihimili ya kiitikadi katia vyama vyao....
 
Mtu yeyote ambaye anatumiwa na mafisadi au yeye mwenyewe ni fisadi basi mimi simwoni kama ana akili. Huyu dogo anaposema Chadema ni chama cha kibepari ana maana gani kama si kufilisika kimawazo.

Mimi namhurumia huyu dogo maana CCM na mafisadi wanamtumia sana kwa manufaa yao na si yeye anafanya mambo kwa manufaa ya watanzania.

Hana Akili hata kidogo. Ni sawa na watu wengine wa kawaida, hata ubunge wake ameupata kwa usanii wa kupewa hela na mafisadi.
 
watu waliofilisika kisiasa wanaona hilo nalo ni hoja.

jambo la kufikirika.

anyway, baba yangu kule kijiji cha Mbala, Chunya hayuko interested na kufahamu uhusiano uliopo kati ya waanzilishi wa Chadema. anachojua sasa ni kuwa angalau kuna chama kinachoziishi fikra za Nyerere.

Kwani don't you feel like giving credit to Leticia and Vincent for joining Chadema, and not NCCR, CUF and other crap?

wivu na chuki binafsi vimewajaa.

poleni sana


Yaani majimbo 23 tu ambayo ukweli zaidiya nusu yake yamepatikana kutokana na magomvi ya ndani ya CCM na sio kukubalika kwenu kwa dhati tayari arrogance ya power imewazidi kiasi hiki?
 
Only flimsy minds tend to go socialism and communism. It's a lost world cliche that Capitalism is evil whilst the opposite is known to be true.
No better measurement of anything is there than time. In context, history is the only greatest teacher around when we discuss or think about world civilization. Try to google for the trend of two. No comparison, one is deadly path to mayhem the other is, simply, the opposite.

The world over is quite different, very opposite to Tz. For istance Americans now regret the administration of Obama. But in Tz many seem to be igonrants of that simple fact. What we denounce in the size of Kikwete's govt is exactly mirrored in Obama's govt - big and ineffective. Americans see the danger of Obama vision to create another socialist states like most of Europe. They detest it. Probably they could proceed to rectify it in the coming general election.

It's almost five scores since self-autonomous (not yet qalified independece). Ujamaa was bought and embraced as being your servant. My querry, is she a good servant? Is she the right vehicle to carry the massive hopes of millions Tzns to any (small) betterment. Fear is big problem here.

Why are people afraid to think outside that box? There are plenty of alternatives to Ujamaa's failures. One is Ubepari's succcess. Learn from successful ones to become one. Know someone by his friends. Most of ours are known to be perennial loosers "wajamaa". Learn from your neighbors. Can you compare Tz's economy to Kenya's? Why? Forget the vague statistics on economies, balance of trade etc.....Tanzania is long lagging behind Kenya. Rwanda is currently making strides foward why not Tz?

People like Kafulila are mistakenly live in 21st cenetury. Put them in their right middle-age century place.

Over the years Ujamaa is one of the failed policy of Tz. Corruption is a standardized norm in all Ujamaa states.
 
I still am in continous pain when seeing any young man think like an old tortoise. And anyone below 50 is considered young by me.
 
Back
Top Bottom