Kafulila,Tibaijuka live Star TV

Kafulila,Tibaijuka live Star TV

Tumemvua vyeo vyote kwa kuzingatia maadili ya uongozi.
Hatuna huruma na wezi pamoja na wapokeaji ya pesa za wezi.
Kavuliwa uongozi na nani nenda wizarani jumatatu utamkuta ofisini siasa za kuchafuana haziwezi kumuondoa mtu madarakani.
 
Kuna watu humu sijui kama wanajua hata maana ya ethics.sijui hata mnajua kwa nini Warioba alipendekeza zawadi zitunzwe na serikali.yaani simply because alimuhonga amelipa kodi,upuuzi gani huu mnateletea humu
 
Mhaya mwenza wanamtetea humu xhdfgghjjjk zao.Ndio maana hata mgao wamezingatia u home poti.
 
Kavuliwa uongozi na nani nenda wizarani jumatatu utamkuta ofisini siasa za kuchafuana haziwezi kumuondoa mtu madarakani.

"Nitasimamia maazimio yote ya Bunge kuhakikisha yanatekelezwa" - Pinda

Ina maana ni pamoja na kumshauri Rais awaondoe hao wote. Jumatatu labda atakuwa ofisini akikusanya personal things na kuandika handover notes.
 
"Nitasimamia maazimio yote ya Bunge kuhakikisha yanatekelezwa" - Pinda

Ina maana ni pamoja na kumshauri Rais awaondoe hao wote. Jumatatu labda atakuwa ofisini akikusanya personal things na kuandika handover notes.

Yan fisadi anawahukumu mafisad wenzake
 
ethics za kazi mafisafi nyie mnazijuaas.. mjepo
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada ni miongon mwa wanaolipwa na tibaijuka kumsafisha

Na hizo pesa japo anashindwa kusema yawezekana zilikuwa "uwekezaji wa fisadi huyo" kwenye kampeni ya Tibaijuka kuelekea 2015. Lakini ndio hivyo safari imeisha ata kabla basi halijatoka stand.
 
Kwa habari habari ya ESCROW accounts accounts hajaonewa ila kama ni kwenye ESCROW accounts Viroba akiwemo itabidi anyngwe kabisa. Ila kama kuonewa ni kuonwa wakati umekaa vibaya hiyo ni habari tofauti
 
waziri wa ardh [SUP][/SUP]nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
alivyoanza ilionekana kama angerekebisha kila kitu ardhi, lakini amebakia kutaja matatizo bila kushughuliki kitu. hata kuvunja lile ghorofa bovu la mhindi dar hajaweza. ni lile pacha wake alianguka na kuua watu wengi tu. hivi ukiwa waziri halafu unapitapita kuomba mchango kwa matajiri kwa biashara yako ya shule unadhani watakupa bure?
 
waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
Acha ujinga wewe, ukilipwa mshahara mbona unalipia kodi na mwajiri alishalipia kodi ya mapato. Kwanini shule ama yeye hawakutangaza hayo mapato. Ni mla rushwa tu, au alihusika kwa namna fulani kufanikisha dili, kama si kuuza ardhi yetu mahali. Aende zake kule fisadi bibi kizee.
 
waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.

Ndio nyie mnaofanya mvua zisinyeshe mashambani. Ndio nyie mliozuia katiba ya Warioba. Yaani kimaadili unaona Anna kaonewa?
 
"Nitasimamia maazimio yote ya Bunge kuhakikisha yanatekelezwa" - Pinda

Ina maana ni pamoja na kumshauri Rais awaondoe hao wote. Jumatatu labda atakuwa ofisini akikusanya personal things na kuandika handover notes.

Mweleze takangumu huyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom