Na hizo pesa japo anashindwa kusema yawezekana zilikuwa "uwekezaji wa fisadi huyo" kwenye kampeni ya Tibaijuka kuelekea 2015. Lakini ndio hivyo safari imeisha ata kabla basi halijatoka stand.
Eti hawakukutana barabarani, ndio maana wakafordiana mahela!Kuna watu humu sijui kama wanajua hata maana ya ethics.sijui hata mnajua kwa nini Warioba alipendekeza zawadi zitunzwe na serikali.yaani simply because alimuhonga amelipa kodi,upuuzi gani huu mnateletea humu
Kavuliwa uongozi na nani nenda wizarani jumatatu utamkuta ofisini siasa za kuchafuana haziwezi kumuondoa mtu madarakani.
hakuna cha kuonewa wala nini....Mbibi mpigaji Period.waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
"Nitasimamia maazimio yote ya Bunge kuhakikisha yanatekelezwa" - Pinda
Ina maana ni pamoja na kumshauri Rais awaondoe hao wote. Jumatatu labda atakuwa ofisini akikusanya personal things na kuandika handover notes.
waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
We kitasa pesa zipi kwani pesa za james lugemalila zimekuwa za taifa mjinga sana wewe.
Mama Tibaijuka akijiuzuru leo itamsaidia sana kuliko kusubiri au kumsubiri Mkuu wake aseme. Na hata akiachwa atakuwa ameua profile yake yote na ile ya UN sijui anagonja nini wakati yuko vizuri. Pls mama mi mwanao mwache Muhongo ang'ang'ngane na hayo madaraka wewe unayajua zaidiwaziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.
akili yako fupi kama kiharage.unajua maana ya ethics wewe au unaropoka tu
waziri wa ardh nyumba na makazi,ameomewa bure maana hata aliyemtumia hela tayari kashalipa kodi.