Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

Kafulila: Nimerejea CHADEMA rasmi leo

LIJINGALAO ulitaka ahamie Chama Cha Mataahira? Kwenda zako na ujinga wako.
 
Ni swali chokonozi juu ya mustakabali wa Ukawa na malengo yake.Inakuwaje member wa Nccr wanahamia Chadema?Ikiwa Ukawa wana nia na lengo moja iwenye chama kimoja ndani ya Ukawa kiendelee kuwanyonya wanachama wa vyama vingine ndani ya Umoja huu?
Kwani kuna tatizo gani kama una nyumba ya vyumba 5 ukaamua kubadili chumba cha kulala?
 
Ni swali chokonozi juu ya mustakabali wa Ukawa na malengo yake.Inakuwaje member wa Nccr wanahamia Chadema?Ikiwa Ukawa wana nia na lengo moja iwenye chama kimoja ndani ya Ukawa kiendelee kuwanyonya wanachama wa vyama vingine ndani ya Umoja huu?
umeandika nn
 
Mkuu;
Nimesema hii dhana ya kusema Katiba haituruhusu kuungana ni kichaka cha kuficha ukweli kwa sababu kama kweli wanataka kuunda chama kimoja wanaweza kuvunja vyama vingine na kujiunga na chama kimoja.

Hivi unaamini kuna viongozi kwenye kambi ya upinzani wenye uwezo wa kufanya maamuzi unayoyatamani.
Kwenye sayansi kuna vitu viwili; mixture na compound,...nadhani mkuu unaelewa tofauti yake.
 
USA Tumezoea marekani ni muungano wa mataifa..zaidi ya kumi na kutengeneza Taifa Moja lenye uchumi mkubwa kabisa hapa duniani.
Lkn RAIA wake wana ruhusiwa kuenda na kuishi jimbo lolote ilimradi afuate bylaw za jimbo hilo..akiamua kukaa carfonia, Chicago, Texas, anKansas ,Virginia ,new york yaani ni yeye tuu...
Sasa shida ni nini chini ya muungano wa ukawa
Mimi sioni shida hapo zaid nikufuata misingi na utaratibu wa chama husika..
Ivi mbara unaweza kuenda kisiwan na kununua eneo na ukaishi bila kubaguliwa kua wewe ni mbara sisi wa znzbar..??nadhan watz shida inaanzia hapo..lkn kwenye muungano ni guru Kweli kweli
 
Tena naona maono yanatimia nafikilia baadae kutakua na muungano wa vyama hivi vikubwa..nccr cuf na nrd na cdm kutengeneza chama kimoja kikubwa ambocho itakua homa ya sisi M
 
Ungerudi CHAMA CHA FURSA ningekuona mjanja..huenda ungeukwaa hata wa viti maalum.
 
Mfuasi wa Kiluteri akihamia Anglikana hajaukana Ukristo wake wala yule wa Sunni akaenda Shia hajauacha Uislamu wake hivyo imani ya Ukawa ipo pale pale ukiwa popote ndani ya vyama washirika.
 
Je Kafulila aliyekabidhiwa kadi na Mbowe leo ni yule yule aliyemtuhumu Mbowe kuwa alimuua Wangwe au ni mwingine? Tena akapanga maandamano Dar wakati viongozi wa CHADEMA wakiwa Tarime kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa Ubunge kufuatia kifo cha Wangwe. Na yote hayo lengo ni kuonyesha Mbowe hafai kuwa mwenyekiti na kuwa Zitto alitakiwa achukue uenyekiti. Kama ndio Kafulila huyo huyo basi wengine hatuiwezi siasa
Kama huijui sayansi ya siasa bora unyamaze. Kumbuka (kama ulikuwa tayari mtu mzima) Mzee Wassira alipohamia NCCR na kuwa mbunge aliyokuwa anasema kuhusu ccm na serikali yake. Lakini Wassira huyohuyo alirudi ccm na kuwa Waziri mwandamizi na Mshauri wa Rais katika mahusiano nafasi ambayo wapo wengi ndani ya ccm pamoja na kuwa hawajawahi kusogeza hata mguu nje ya chama hawawezi kupewa.
Binadamu sio mawe, wanabadilika na kuwa wengine kabisa sio katika siasa tuu bali hata katika dini na maisha ya kawaida. Sauli (Paulo Mtume) alikuwa mpinga kristo tena aliua kabisa, lakini baadae ndiye aliyefanya kazi kubwa kuliko wengine kueneza Ukristo duniani na hakuna aliyekuwa na mashaka naye iweje iwe Kafulila katika kiwango hiki cha chini?
 
Shilingi yaua tena maua nasema[emoji15] [emoji12]
 
Karibu kiumeni! Huku hakuna kuremba na kupokea mlungura kama kule zambarau au cuf ya Tabora~!
 
Back
Top Bottom