MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Mkuu;Hapana mkuu naona ni bora ili tuwe na chama kimoja kikubwa kuliko utitiri wa vyama ikiwezekana hta kina mbowe waivunje chadema na mtatiro aivunje cuf waunde chama kimoja chenye nguvu maana Ukawa haupo kisheria na katiba mpya ambayo ingeweza kutambua coallition za kisiasa ndo imeota mbawa so naona ni kma transition ya kuelekea chama kimoja cha upinzani bara na zanzibar.
Nimesema hii dhana ya kusema Katiba haituruhusu kuungana ni kichaka cha kuficha ukweli kwa sababu kama kweli wanataka kuunda chama kimoja wanaweza kuvunja vyama vingine na kujiunga na chama kimoja.
Hivi unaamini kuna viongozi kwenye kambi ya upinzani wenye uwezo wa kufanya maamuzi unayoyatamani.